Haya Wanayanga tutabiri matokeo ya leo

Deal28

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
96
Reaction score
114
Leo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanacheza mechi kubwa. Kulingana na rekodi zao na wapinzani wao.

Je, unadhani nani atachomeka au kuchomoa?
 
Kwanini tutabiri wakati mechi itachezwa masaa machache kutoka sasa.

Ila Al hilal anapigwa kama ngoma leo 🥁🥁🥁🥁
 
Nimejaribu tu kufikiria hii mechi binafsi matokeo nayaona magumu sana, ila timu mojawapo lazima ilie.
 
Diara atapelekwa marikiti mara tatu leo hayo mengine sijui
 
Mi nimempa Al hilal anashinda au ana draw nikaweka stack ya 100k.
 
Reactions: BRN
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…