Haya Watanzania mlioko huko Marekani tunaomba Maoni yenu je, nyie mnataka nani kati ya Biden au Trump awe Rais huko?

Haya Watanzania mlioko huko Marekani tunaomba Maoni yenu je, nyie mnataka nani kati ya Biden au Trump awe Rais huko?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
GENTAMYCINE nahitaji zaidi Critical Analysis zenu juu ya hili kwani nijuavyo Rais wa Marekani pia ni Rais wa Dunia yote.
 
Kwa wahamiaji Biden na Democrats kwa ujumla ndio the Best.

Ila kuna matutusa yanajiona ni Wamarekani tayari hao ndio utasikia wanamtaka Trump.
 
Kwa wahamiaji Biden na Democrats kwa ujumla ndio the Best.

Ila kuna matutusa yanajiona ni Wamarekani tayari hao ndio utasikia wanamtaka Trump.
Vipi na kwa wale ambao miaka ya 70 walikuwepo Dar es Salaam na Hospitali zilikuwa mbili tu za Ocean Road na Muhimbili ila ya Agha Khan haikuwepo kama ambavyo Wewe Mwenzetu uliyezaliwa Dar es Salaam na Mjanja kuliko Watu wote Tanzania ulituambia?
 
Back
Top Bottom