sasa kama dem ndio kapita na mim kikohozi kimenibana nifanyeje sasaaa
inakoelekea utapigana na mleta mada[emoji23][emoji23][emoji23]KENYA HAKUNA TAKO WEWE .HIYO SHERIA HAIWEZI APPLY .KWA KIKUYU AU JALUO
ONE IN A MILLIONKenya hadi mapolisi yenyewe yana huo ujazo, tutakamatwa tuishe
Umejuaje km ni mods?? Yawezakuwa ni mleta mada mwenyewe, ndo kaweka nyota nyota.Mod kwani neno 'una.tiwa' lockup lina nini hadi mumelifanyia masking kwenye kichwa cha huu uzi, sio kila kitu kinahusu mambo yale jameni, hilo ni neno la kiswahili.
Yellow girl ndio color ya huyo msupa au, alafu hiyo sheria isiwatishe sana, amesema usikohoe, cough, cat calling is calling, it's okUiii and i was almost cat calling a yellow yellow girl hapo A town now i knw