EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #41
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Ukiona mtu anaogopa kukuta, ujue anatukanaga watu au lugha kali kwa watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Ukiona mtu anaogopa kukuta, ujue anatukanaga watu au lugha kali kwa watu
Poa mkuu enjoy your drinkYeah mchai chai upo wakutosha.
Pole na safari mkuu kesho nayo sikuNgoja kwanza nipo napambana na safari tangu asubuhi mpaka sasa,kifika no saa tano usiku.Kuleni bata tu.
Napenda watoto ila utoto ndio sipendi.Bandidu halaa [emoji41][emoji41]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] unatenganishaje utoto na watoto??Napenda watoto ila utoto ndio sipendi.
Nimepita barabarani hapo naona desperados wanafanya yao hapo today.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1316] nikitua tu nipo hapo leo, maana nakaribia kupewa u ambassador wa desperados navyozipenda
Nipo Samaki Samaki ya mlimani city, nikitoka hapa nitajua chaka lingine la kwenda malizia, kulala hadi kesho [emoji41][emoji41]
Ok kaa omBado sija Pata kiwanja cha kufanya replacement ya Board Room
Karibu mamaaNaasoma comments tyuuh mie.
Nchi ndogo bado zinaburuzwa[emoji29]Home watching Belgium Vs Italy
Yanga hatoboi leoKwa Mkapa Yanga wanashinda, kaungane nao ili uwe mshindi!
Nyie ndio wale kila weekend mnaenda kutazama viwanja vyenu ? Na wakati hamjengi [emoji28]Kwasisi wengine "free time from work" kama weekend na sikukuu, huwa tunatumia KUTENGENEZEA KESHO YETU itakayosababisha TUACHANE NA AJIRA.
INVESTMENT is BETTER than BUSINESS...!!!
View attachment 1837979
#YNWA
Did that as well by force 😅😅😅Home watching Belgium Vs Italy
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wanaangalia utafikiri kinaumwaNyie ndio wale kila weekend mnaenda kutazama viwanja vyenu ? Na wakati hamjengi [emoji28]
(Natania tu)