Haya yakifanyika uhalifu utaisha, panya road watakwisha na raia watakuwa wanalala milango wazi hadi asubuhi

Kuveta anamjua huyo mwamba.
Ni mmoja ya members wa Yosso kundi la fire.
Umri umeenda hio ni flashback yake
 
JPM alijaribu kwa wale wahuni wa Amboni na Rufiji, wapuuzi akina Zitto na Lissu hadi leo ni kumlaumu
 
Nimeguswa!. Very touching story.
Sijapenda jinsi starring alivyo uwawa bila kosa lolote!.
Wale wote walio husika kumuua kamanda huyu bila kosa lolote, karma inawahusu.

RIP Kuveta, Kamanda wa Commando Yosso.
β€ŠP
Damu ya mchawi, mwizi, jambazi hizi hazina karma wala laana yeyeto,wala hazina password kama damu za watu wasio hatia.
Bullets ndio njia sahihi ya kusafisha takataka kwenye Jamii.Rwanda, South Africa,USA wametumia matokeo ni 100% archive.
 

Kaigiza yule bonge wa mchezo wa Kombolela[emoji1787]
 
Ukitaka kumaliza vibaka, panyaroad ni kuuwa Mkubwa wao watasambaratika. Hakuna njia sahihi ya kudeal na watu primitives nje ya primitives way.
Njia ni watu kupata kazi ajira zinaondoa wahalifu na wauza miili
 
Safi
 
Hili tukio kama nalikumbuka vile jamaa alikua anaitwa Willington
 
Kabisa mkuu Hawa jamaa wa mapindi hayo unakuta linabeba vyuma, walikuwa wanaogopeka mtaani mtu anaibiwa unaona kabisa ila unakausha husemi.
Hivi vya sasa hivi vitoto kabisa tunavilealea yaani ukifanikiwa kukakaba kamoja kwenye angle unakaua kabisa
Hahaha.. unamkuta panya road hana hata kilo 25 za uzito, mlo wake kwa siku ni bagia mbili na jagi zima la maji, mfukoni ana bisibisi au kisu cha mkunjo afu usiku anafunga mtaa mzima πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
RPC Saba sita baba yake tunda aliyasambaratisha makundi ya wahuni Arusha, huku RPC Sanya aliwasambaratisha wahuni wa Mbeya. Tibaigana akayasambaratisha ya Dar. Sasa hawa Ma RPC wa sasa wanafeli wapi.
Hata mimi nashangaa mkuu. RPC ana askari wa kutosha, silaha za kutosha na pia anaweza kupata msaada wa kuwafaham wahalifu kupitia raia wema, afu akaanza kufanya yake kimya kimya, mpaka watu watapokuja kushtuka tayari kaisha wamaliza. Sijui RPC anashindwaje kuanzisha OPARATION MREMA.
 
Yes, ni kama ulivyosema ni alikuwa!. Mtu ametoka jela juzi, hajafanya uhalifu wowote, yuko kwa demu wake, watu unamwingilia usiku kumvamia, kumkatakata mapanga, kumuua na kumjeruhi demu wake!. Wahusika wote karma itawahusu.
P
Yeye aliua wangapi mpaka kufikia hapo? Na vipi kama kilichomkuta ndio ilikua malipo ya Karma kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…