Haya yote aliyofeli Rais Magufuli ni madogo sana, mradi wa Stiglers Gorge ndiyo utakuwa tsunami kwenye kushindwa!

Tatizo la huyu jamaa sio mbunifu, yeye ile miradi ambayo wenzake waliona ni hasara kwa taifa ndiyoo anajitutumua nayo ili aonekane kuwa Tanzania hii hajawahi kutokea na hatakaa atokee kama yeye. Mfano tu ni huo wa stieglers gorge na kuhamia dodoma
 
Amefeli kwenye nini kwa mfano?

Maana stiegler gorge tokea ianze kutekelezwa miezi sita haijafika na mradi wa miaka mitatu,utasema umefeli au unaombea afeli?

Na akifeli wewe utafaidika na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi uwe unasoma mada na kuielewa kabla ya kukimbilia kutoa mapovu. Mbona mada inaeleweka hata kwa std 4 wa st. kayumba
 
Uzushi mtupu .mnaombea mabaya wakati mazuri yanakuja
 
yaani umeandika kiumbea balaa, unapenda sana kuona jpm akifeli. kwanza ulicho andika ni kama vile hata wewe huna uhakika kama atafeli, jpm ndo rais wetu hadi 2025
 
JPM amebakiza miaka 7 ya kutawala Tz.
Muhimu jitahidini thread za JPM ziwe fupifupi maana miaka 7 ni mingi mnaweza pumzi ikakata

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi bakiwa na miaka 7; kwani 2020 anaondoka ; na Mimi ndie nitakayemuondoa kupitia ccm pale chimwaga mjini dodoma.

Hakuna mwana ccm atakayesimama kuchukua form but mimi nitasimama na nitamtoa nje ya ulingo.

Muda utaongea; subiri uone maajabu.
 
Uzushi mtupu .mnaombea mabaya wakati mazuri yanakuja
Hakuna mazuri; huyu bana amevuruga sana uchumi wa nchi na uchumi wa wananchi hivyo hata sisi wana ccm hatumtaki sema wengi wetu ni waoga na tunatetea matumbo yetu endapo tukimpinga unajua hasira/visasi vya huyu jamaaa.
 
Amefanikiwa kulipa mishahara kwa watumishi kwa wakati muafaka.
 
Ule usemi aliokuwa anapenda kuusema "Tuna hela" naona umepungua sasa hv, nadhani akili imeanza kumkaa sawa!!!!
Na itamkaa sawa pale atakapoona 2020 watu wamemgeuka pale chimwaga ukumbini ili hali yeye ni mwenyekiti wa chama chetu.

I swear ; in 2020 ndani ya chama nitasimama kuchukua form ya kumpinga huyu jamaaa ili mimi ndo nipeperushe bendera.

I will rule only for 5 years ili niipitishe nchi katika kipindi cha mpito 2025 namwachia mwingine wakati huo kila kitu nimekirekebisha
 
Zidumu fikra za mwenyekiti wa chama
Mwisho ni 2020; nitakuwa mgombea mpinzani wa huyu jiwe ndani ya chama. Japo najua upo chama kile but so long as najua misimamo yako nitakukumbuka katika ufalme hapo magogoni.....hahahaha

It sounds like a joke but we have to wait, muda utakuwa hakimu mzuri
 
Hata kupika chai na kukuletea ofisini, mradi jina langu liko kwenye payroll niachane na kupika chapati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…