ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Pumbafu we sio CCM acha kujichetua..JPM atosha mpk 2025 utake usitake shauri yakoHakuna mazuri; huyu bana amevuruga sana uchumi wa nchi na uchumi wa wananchi hivyo hata sisi wana ccm hatumtaki sema wengi wetu ni waoga na tunatetea matumbo yetu endapo tukimpinga unajua hasira/visasi vya huyu jamaaa.
Km huyajui Basi hakuna haja ya kukuelezea maana hutaamini
Mkwele aliposema nawaleteeni Chuma, Sasa chuma kinaonekana, Wapinzani wa JPM wapokatika wakati mgumu maana hawana pakushika, waliyosema hayawezekani yeye anaelekea kuyamaliza kabla ya miaka mitano ya kwanza.Sijui ilianza sukari, uhakiki, kodi za hovyo, makinikia, mbaazi, korosho, ndege vyote hivyo Rais wetu anashindwa vibaya sana na hii ni kutokana na one man show.
Ngoja niwapeni kuhusu mbaazi. Aliyekuwa msambazaji mkuu wa zao hilo kule kwa wahindi alikuwa Yusuph Manji. Serikali ikampiga stop kisha waziri wa kilimo akaenda huko kudai kuwa sasa atakayekuwa msambazaji mkuu wa mbaazi kwao ni serikali ya Tanzania badala ya Yusuph Manji. Akajibiwa kama ni hivyo basi hata hizo mbaazi zenu hatuzitaki tena. Soko likaenda shimoni.
Kaenda kwenye makinikia kisha sasa wanatoa kinyemela kupeleka Japan kusafisha. Matokeo yake mategemeo yao yamekuwa sifuri na imekuja hasara ya kufa mtu.
Rais Magufuli amefeli kila jambo. Sasa kuna mradi mmoja huko nyanda za juu wa umeme unaojulikana kama Stiglers Gorge. Huu mradi kwanza huo umeme tunaoambiwa kuwa tutapata hautofikia hata nusu yake. Mradi ukikamilika pamoja na kutumia fedha nyingi sana za ndani (maana nje tumenyimwa) utaenda kuwa msiba kwa mazingira, hasara ya mradi husika na hatimaye utatuletea umeme wa kusuasua. Tusubiri tuone! Wapi amewahi kufanikiwa? Mbona wenzake wote hawakuthubutu kuugusa? Si ulikuwepo? Haya tuone ila hajawahi kufanikiwa.
Ngoja niishie hapo maana mtu unaweza kula kifungo cha maisha jela kutokana na uhochezi na hakimu akapewa "promosheni" mchana peupeeee! Mambo ni vululu vululu ukiugusa utawala na dola ni kifungo cha kufa mtu.
Kaka samahani kama nimekukwaza,Pumbafu we sio CCM acha kujichetua..JPM atosha mpk 2025 utake usitake shauri yako
Anaombea ifeili ili apate nini?Mimi nilifikiri wivu wa mwanaume ni kupata maendeleo,kumbe umegeuka roho mbaya?Amefeli kwenye nini kwa mfano?
Maana stiegler gorge tokea ianze kutekelezwa miezi sita haijafika na mradi wa miaka mitatu,utasema umefeli au unaombea afeli?
Na akifeli wewe utafaidika na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Facts mkuu.Anaombea ifeili ili apate nini?Mimi nilifikiri wivu wa mwanaume ni kupata maendeleo,kumbe umegeuka roho mbaya?
Watu sampuli hiyo wanatakiwa kusamehewa kwani hawajui wanalosema.
Mwenye wabunge wengi ndio mwamba,Raisi bila wabunge ataondelewa.Mwisho ni 2020; nitakuwa mgombea mpinzani wa huyu jiwe ndani ya chama. Japo najua upo chama kile but so long as najua misimamo yako nitakukumbuka katika ufalme hapo magogoni.....hahahaha
It sounds like a joke but we have to wait, muda utakuwa hakimu mzuri
Acha upumbafu JPM Ni mpaka 2025..subiri mpk 2025 ndo ukachukue formKaka samahani kama nimekukwaza,
I assure bro, mimi ni ccm pure lakini sio ccm mbumbu! Najielewa na pia najua haki ya watanzania. Naumia sana kuona nchi yangu ikiteketea kwa ujinga wa kumuogopa mtu mmoja.
As I told, tukutane 2020 dodoma ofisi ndogo ya ccm pale wakati nachukua form; utakaposikia kuna mtu mmoja amejitokeza kuchukua form ya kugombea urais kupitia ccm akimpinga jiwe wala usijiulize mara mbili...tambua ni mimi uliyenitukana hapo juu.
yaani wamisri watoke makwao waache wake zao waje kujenga mradi utakaofeli...
chadema hamjui mnachotaka.. mmeishia kupinga kila kitu..
reliii ilee imeshaaamka.... haya umeme nao huooooo unakujaaaaa
Sijui ilianza sukari, uhakiki, kodi za hovyo, makinikia, mbaazi, korosho, ndege vyote hivyo Rais wetu anashindwa vibaya sana na hii ni kutokana na one man show.
Ngoja niwapeni kuhusu mbaazi. Aliyekuwa msambazaji mkuu wa zao hilo kule kwa wahindi alikuwa Yusuph Manji. Serikali ikampiga stop kisha waziri wa kilimo akaenda huko kudai kuwa sasa atakayekuwa msambazaji mkuu wa mbaazi kwao ni serikali ya Tanzania badala ya Yusuph Manji. Akajibiwa kama ni hivyo basi hata hizo mbaazi zenu hatuzitaki tena. Soko likaenda shimoni.
Kaenda kwenye makinikia kisha sasa wanatoa kinyemela kupeleka Japan kusafisha. Matokeo yake mategemeo yao yamekuwa sifuri na imekuja hasara ya kufa mtu.
Rais Magufuli amefeli kila jambo. Sasa kuna mradi mmoja huko nyanda za juu wa umeme unaojulikana kama Stiglers Gorge. Huu mradi kwanza huo umeme tunaoambiwa kuwa tutapata hautofikia hata nusu yake. Mradi ukikamilika pamoja na kutumia fedha nyingi sana za ndani (maana nje tumenyimwa) utaenda kuwa msiba kwa mazingira, hasara ya mradi husika na hatimaye utatuletea umeme wa kusuasua. Tusubiri tuone! Wapi amewahi kufanikiwa? Mbona wenzake wote hawakuthubutu kuugusa? Si ulikuwepo? Haya tuone ila hajawahi kufanikiwa.
Ngoja niishie hapo maana mtu unaweza kula kifungo cha maisha jela kutokana na uhochezi na hakimu akapewa "promosheni" mchana peupeeee! Mambo ni vululu vululu ukiugusa utawala na dola ni kifungo cha kufa mtu.
Bora upigwe kifungo cha maisha kuliko risasi ipigwe hewani halafu itue kwenye kisogo au kifua chakoSijui ilianza sukari, uhakiki, kodi za hovyo, makinikia, mbaazi, korosho, ndege vyote hivyo Rais wetu anashindwa vibaya sana na hii ni kutokana na one man show.
Ngoja niwapeni kuhusu mbaazi. Aliyekuwa msambazaji mkuu wa zao hilo kule kwa wahindi alikuwa Yusuph Manji. Serikali ikampiga stop kisha waziri wa kilimo akaenda huko kudai kuwa sasa atakayekuwa msambazaji mkuu wa mbaazi kwao ni serikali ya Tanzania badala ya Yusuph Manji. Akajibiwa kama ni hivyo basi hata hizo mbaazi zenu hatuzitaki tena. Soko likaenda shimoni.
Kaenda kwenye makinikia kisha sasa wanatoa kinyemela kupeleka Japan kusafisha. Matokeo yake mategemeo yao yamekuwa sifuri na imekuja hasara ya kufa mtu.
Rais Magufuli amefeli kila jambo. Sasa kuna mradi mmoja huko nyanda za juu wa umeme unaojulikana kama Stiglers Gorge. Huu mradi kwanza huo umeme tunaoambiwa kuwa tutapata hautofikia hata nusu yake. Mradi ukikamilika pamoja na kutumia fedha nyingi sana za ndani (maana nje tumenyimwa) utaenda kuwa msiba kwa mazingira, hasara ya mradi husika na hatimaye utatuletea umeme wa kusuasua. Tusubiri tuone! Wapi amewahi kufanikiwa? Mbona wenzake wote hawakuthubutu kuugusa? Si ulikuwepo? Haya tuone ila hajawahi kufanikiwa.
Ngoja niishie hapo maana mtu unaweza kula kifungo cha maisha jela kutokana na uhochezi na hakimu akapewa "promosheni" mchana peupeeee! Mambo ni vululu vululu ukiugusa utawala na dola ni kifungo cha kufa mtu.
JPM amebakiza miaka 7 ya kutawala Tz.
Muhimu jitahidini thread za JPM ziwe fupifupi maana miaka 7 ni mingi mnaweza pumzi ikakata
Sent using Jamii Forums mobile app
6yrs mkuu sio 7yrsJPM amebakiza miaka 7 ya kutawala Tz.
Muhimu jitahidini thread za JPM ziwe fupifupi maana miaka 7 ni mingi mnaweza pumzi ikakata
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upumbafu JPM Ni mpaka 2025..subiri mpk 2025 ndo ukachukue form
Hapa kazi TU
Kidumu chama Cha mapinduzi
Kama wewe hujamwelewa Rais Basi ni wewe kivyako.wengine tunamwelewa na tunamkubali.hatuyumbishwi na upuuzi wa watu wasiojua ukweli.takwimu halisi za uchumi zinaonyesha uchumi unapanda aasa sijui we unachobishia Ni nn
Nadhani ww unamchukia hata wazai wako kwa kukuleta Duniani!!!Sijui ilianza sukari, uhakiki, kodi za hovyo, makinikia, mbaazi, korosho, ndege vyote hivyo Rais wetu anashindwa vibaya sana na hii ni kutokana na one man show.
Ngoja niwapeni kuhusu mbaazi. Aliyekuwa msambazaji mkuu wa zao hilo kule kwa wahindi alikuwa Yusuph Manji. Serikali ikampiga stop kisha waziri wa kilimo akaenda huko kudai kuwa sasa atakayekuwa msambazaji mkuu wa mbaazi kwao ni serikali ya Tanzania badala ya Yusuph Manji. Akajibiwa kama ni hivyo basi hata hizo mbaazi zenu hatuzitaki tena. Soko likaenda shimoni.
Kaenda kwenye makinikia kisha sasa wanatoa kinyemela kupeleka Japan kusafisha. Matokeo yake mategemeo yao yamekuwa sifuri na imekuja hasara ya kufa mtu.
Rais Magufuli amefeli kila jambo. Sasa kuna mradi mmoja huko nyanda za juu wa umeme unaojulikana kama Stiglers Gorge. Huu mradi kwanza huo umeme tunaoambiwa kuwa tutapata hautofikia hata nusu yake. Mradi ukikamilika pamoja na kutumia fedha nyingi sana za ndani (maana nje tumenyimwa) utaenda kuwa msiba kwa mazingira, hasara ya mradi husika na hatimaye utatuletea umeme wa kusuasua. Tusubiri tuone! Wapi amewahi kufanikiwa? Mbona wenzake wote hawakuthubutu kuugusa? Si ulikuwepo? Haya tuone ila hajawahi kufanikiwa.
Ngoja niishie hapo maana mtu unaweza kula kifungo cha maisha jela kutokana na uhochezi na hakimu akapewa "promosheni" mchana peupeeee! Mambo ni vululu vululu ukiugusa utawala na dola ni kifungo cha kufa mtu.