Mbilima yimo
JF-Expert Member
- Sep 14, 2020
- 286
- 348
Na nyie mfe tu!Wale wase.nge walikua wasaliti wa taifa hili..tena kama wapo wengne wapigwe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyie mfe tu!Wale wase.nge walikua wasaliti wa taifa hili..tena kama wapo wengne wapigwe tu
Kwani hamna madhaifu ambayo mliyadiscuss humu 😁😁😁Alichofanikiwa zaidi ni kutengeneza mfumo wa kusiwa yeye tu! Magazeti, redio na TV vilipigwa pini ili kumsifu yeye! Angeruhusu na madhaifu yake yatangazwe na yabainishwe kwa raia sidhani kama ungetuandikia pambio kama hili! R.I.P JPM ulifanya yako kama walivyofanya watangulizi wako
Wapinzani ndio wajuaji na dawa ya wajuaji na wasaliti ni kuwa eliminate tu 😁 he did a wonderful job ambayo inastahili pongezi. Huwezi kuwa unafundisha halafu wanafunzi wapumbavu wanapiga makelele huko backbenchazAtakumbukwa kwa jinsi alivyokuwa mjuaji na kuonea watu waliokuwa hawakubaliani na mawazo yake hasa wapinzani
Achana na humu ambako kuna watu wachache! Angeacha magazeti, redio na luninga ziwe huru kujadili mazuri na madhaifu yake!Kwani hamna madhaifu ambayo mliyadiscuss humu [emoji16][emoji16][emoji16]
MUNGU AMLIPE KWA KILA ALILOTUFANYIA. nimekuja kumjua huyu bwana huku mwishoni mwishoni alikuwa ni kiongozi wa aina ya pekee saana , itachukuwa muda mno TANZANIA KUMMPATA MTU KAMA HUYU .Legacy ya JPM itadumu sana, so far tangu kuzaliwa Tanganyika Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ndo na Hayati John Pombe Joseph Magufuli ndo maraisi pekee ambao watakumbukwa sana katika historia ya nchi hii. Pamoja na sababu nyingi ikiwemo kutetea wanyonge na kuataka Tanzania isonge mbele kimaendeleo kwa kuhakikisha rasilimali inanufaisha watu wote. Ni mtu ambaye amekuwa akijichanganya na watu wa kila aina.
Pamoja kuwa Rais bado yeye na familia yake wamekuwa wakiishi maisha ya kawaida sana pasipo kujiinua, pamoja na mapungufu machanche ya kujiiinua kama personality badala ya kuimarisha taasisi kwa kipindi kifupi amekuwa taaa na mwanga kwa alipotufikisha. Aliweza kutoa majibu ya hapo kwa hapo kulingana na shida za wananchi. Kwake mabo ya machakato na process haikuwa na nafasi katika utawala wake.
Rest in peace Hard Rock, chuma imara, Mungu akulaze mahala pema panapostahili peponi kulingana na matendo yako.
Alifanikiwa nini sasa?Wapinzani ndio wajuaji na dawa ya wajuaji na wasaliti ni kuwa eliminate tu 😁 he did a wonderful job ambayo inastahili pongezi. Huwezi kuwa unafundisha halafu wanafunzi wapumbavu wanapiga makelele huko backbenchaz
Sawa CAGWapinzani ndio wajuaji na dawa ya wajuaji na wasaliti ni kuwa eliminate tu [emoji16] he did a wonderful job ambayo inastahili pongezi. Huwezi kuwa unafundisha halafu wanafunzi wapumbavu wanapiga makelele huko backbenchaz
Legacy ya JPM itadumu sana, so far tangu kuzaliwa Tanganyika Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ndo na Hayati John Pombe Joseph Magufuli ndo maraisi pekee ambao watakumbukwa sana katika historia ya nchi hii. Pamoja na sababu nyingi ikiwemo kutetea wanyonge na kuataka Tanzania isonge mbele kimaendeleo kwa kuhakikisha rasilimali inanufaisha watu wote. Ni mtu ambaye amekuwa akijichanganya na watu wa kila aina.
Pamoja kuwa Rais bado yeye na familia yake wamekuwa wakiishi maisha ya kawaida sana pasipo kujiinua, pamoja na mapungufu machanche ya kujiiinua kama personality badala ya kuimarisha taasisi kwa kipindi kifupi amekuwa taaa na mwanga kwa alipotufikisha. Aliweza kutoa majibu ya hapo kwa hapo kulingana na shida za wananchi. Kwake mabo ya machakato na process haikuwa na nafasi katika utawala wake.
Rest in peace Hard Rock, chuma imara, Mungu akulaze mahala pema panapostahili peponi kulingana na matendo yako.
Nimejaribu kuangalia wapi alipo hukumu sijaona hapoHakuna binadamu aliyekamilika chiniya jua, kazi ya kuhumu ni ya Mungu mwenyewe
Risasi alizopigwa Tundu Lissu..
Na kupotea Kwa Ben Saanane
AkhsanteeSawa CAG
1.Nidhamu serikaliniAlifanikiwa nini sasa?
Uwajibikani ndiyo huu ambao tayari wateule wake wamefanya ufisadi siku mbili baada ya kuzikwa?1.Nidhamu serikalini
2.Uwajibikaji
3.Uchumi wa kati
wamepiga baada ya mzee kufaUwajibikani ndiyo huu ambao tayari wateule wake wamefanya ufisadi siku mbili baada ya kuzikwa?
Uchumi wa kati...ulimsikiliza JK wakati Mkapa anazikwa?
Huna unalojua wwHakuna binadamu aliyekamilika chiniya jua, kazi ya kuhumu ni ya Mungu mwenyewe
Walichofanyiwa vyama vya upinzani uchaguzi uliopita nchi nzima ni sawa mbele za Mungu?