Hayati Dkt. John Magufuli alikuwa na Unique Style of Leadership

Hatimaye Mama Samia Suluhu Hassan ameanza kwa style ileile ya Magu, tumbua mama, lete heshima, ngoa visiki, toa machaka ya wapigaji,
Tunakungalia kwa siku 100 mama, shikamoo mazaaaaa
 
Kwani hamna madhaifu ambayo mliyadiscuss humu 😁😁😁
 
Atakumbukwa kwa jinsi alivyokuwa mjuaji na kuonea watu waliokuwa hawakubaliani na mawazo yake hasa wapinzani
Wapinzani ndio wajuaji na dawa ya wajuaji na wasaliti ni kuwa eliminate tu 😁 he did a wonderful job ambayo inastahili pongezi. Huwezi kuwa unafundisha halafu wanafunzi wapumbavu wanapiga makelele huko backbenchaz
 
Kwani hamna madhaifu ambayo mliyadiscuss humu [emoji16][emoji16][emoji16]
Achana na humu ambako kuna watu wachache! Angeacha magazeti, redio na luninga ziwe huru kujadili mazuri na madhaifu yake!
 
MUNGU AMLIPE KWA KILA ALILOTUFANYIA. nimekuja kumjua huyu bwana huku mwishoni mwishoni alikuwa ni kiongozi wa aina ya pekee saana , itachukuwa muda mno TANZANIA KUMMPATA MTU KAMA HUYU .
 
Wapinzani ndio wajuaji na dawa ya wajuaji na wasaliti ni kuwa eliminate tu 😁 he did a wonderful job ambayo inastahili pongezi. Huwezi kuwa unafundisha halafu wanafunzi wapumbavu wanapiga makelele huko backbenchaz
Alifanikiwa nini sasa?
 
Wapinzani ndio wajuaji na dawa ya wajuaji na wasaliti ni kuwa eliminate tu [emoji16] he did a wonderful job ambayo inastahili pongezi. Huwezi kuwa unafundisha halafu wanafunzi wapumbavu wanapiga makelele huko backbenchaz
Sawa CAG
 

Awamu ya 5 ndio ilikuwa awamu ya hovyo sana.
 
One Man Show.

Hakuna la maana kwa mvunja katiba kama jpm.

He was horrible.
 
Hujazungumzia vitendo vya kidikteta alivyovileta nchini ambavyo tulikuwa hatujawahi kushuhùdia
 
Alikuwa anachonga jeneza kwenda kuizika nchi kama unabisha muulize mama SAMIA kakuta financial status gani huko HAZINA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…