Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nikweli ila one man army ni ngumu kutoboa, Taasisi ndiyo mfumo mzuri.....spirit ya kujitegemea Yes,Serikalini kulikuwa bado hakuna nidhamu bado bila Rushwa hupati huduma,ulinzi wa rasilimali bado aliwaamini walikuwa wanapiga tu fresh, akiambiwa anadhani ni majungu tu bila kujua ile imani aliyowapa inawapa kiburi cha kuibaMagufuli ana mengi mazuri aliyotuachia ikiwemo:
Pia kuna mengine mapungufu lakini hayo hapo juu imetuweka kwenye mstari mnyoofu
- Mapambano ya rushwa na ufisadi,
- Ulinzi wa rasilimali,
- Nidhamu serikalini na
- Dhana ya Kujitegemea ambavyo ni lazima vienziwe
Kweli wacha tumfichie aibu hayatiwamepiga baada ya mzee kufa
Tanzania iliingia kwenye hovyo hovyo na nilikuwa nimechoka mno kuona bado miaka mingine mitano, Mungu si Athmani.Legacy ya JPM itadumu sana, so far tangu kuzaliwa Tanganyika Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ndo na Hayati John Pombe Joseph Magufuli ndo maraisi pekee ambao watakumbukwa sana katika historia ya nchi hii. Pamoja na sababu nyingi ikiwemo kutetea wanyonge na kuataka Tanzania isonge mbele kimaendeleo kwa kuhakikisha rasilimali inanufaisha watu wote. Ni mtu ambaye amekuwa akijichanganya na watu wa kila aina.
Pamoja kuwa Rais bado yeye na familia yake wamekuwa wakiishi maisha ya kawaida sana pasipo kujiinua, pamoja na mapungufu machanche ya kujiiinua kama personality badala ya kuimarisha taasisi kwa kipindi kifupi amekuwa taaa na mwanga kwa alipotufikisha. Aliweza kutoa majibu ya hapo kwa hapo kulingana na shida za wananchi. Kwake mabo ya machakato na process haikuwa na nafasi katika utawala wake.
Rest in peace Hard Rock, chuma imara, Mungu akulaze mahala pema panapostahili peponi kulingana na matendo yako.
[emoji3][emoji3][emoji3]aiseewamepiga baada ya mzee kufa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kabisaHakuna binadamu aliyekamilika chiniya jua, kazi ya kuhumu ni ya Mungu mwenyewe
Acha nijibu salamu kwa niaba yake,"Marhaba!!!".Hatimaye Mama Samia Suluhu Hassan ameanza kwa style ileile ya Magu, tumbua mama, lete heshima, ngoa visiki, toa machaka ya wapigaji,
Tunakungalia kwa siku 100 mama, shikamoo mazaaaaa
Ukweli mkuu huyu Baba atakumbukwa vizazi na vizazi historia itasimulia. Mambo ya swala fulani lipo kwenye mchakto, mara tuunde kamati ya uchunguzi hakutaka kuyasikia kabisa yaaani alimaliza papo kwa papo jibu lake lilikuwa kama digital watch yaani yes or no. Hizi ni sifa za watu wenye IQ kubwa. Hakupenda kucheleweshwa wala kukwamishwa daaah! tazimiss sana hotuba za Rais wangu JPM. sikuwahi choka kumsikiliza akiwa anhutubia maana hakutaka kuandikiwa hotuba alizungumza real fact.Legacy ya JPM itadumu sana, so far tangu kuzaliwa Tanganyika Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ndo na Hayati John Pombe Joseph Magufuli ndo maraisi pekee ambao watakumbukwa sana katika historia ya nchi hii. Pamoja na sababu nyingi ikiwemo kutetea wanyonge na kuataka Tanzania isonge mbele kimaendeleo kwa kuhakikisha rasilimali inanufaisha watu wote. Ni mtu ambaye amekuwa akijichanganya na watu wa kila aina.
Pamoja kuwa Rais bado yeye na familia yake wamekuwa wakiishi maisha ya kawaida sana pasipo kujiinua, pamoja na mapungufu machanche ya kujiiinua kama personality badala ya kuimarisha taasisi kwa kipindi kifupi amekuwa taaa na mwanga kwa alipotufikisha. Aliweza kutoa majibu ya hapo kwa hapo kulingana na shida za wananchi. Kwake mabo ya machakato na process haikuwa na nafasi katika utawala wake.
Rest in peace Hard Rock, chuma imara, Mungu akulaze mahala pema panapostahili peponi kulingana na matendo yako.
Ngapi huko injiniaHatimaye Mama Samia Suluhu Hassan ameanza kwa style ileile ya Magu, tumbua mama, lete heshima, ngoa visiki, toa machaka ya wapigaji,
Tunakungalia kwa siku 100 mama, shikamoo mazaaaaa
Alichofanikiwa zaidi ni kutengeneza mfumo wa kusiwa yeye tu! Magazeti, redio na TV vilipigwa pini ili kumsifu yeye! Angeruhusu na madhaifu yake yatangazwe na yabainishwe kwa raia sidhani kama ungetuandikia pambio kama hili! R.I.P JPM ulifanya yako kama walivyofanya watangulizi wako
Wapinzani ndio wajuaji na dawa ya wajuaji na wasaliti ni kuwa eliminate tu [emoji16] he did a wonderful job ambayo inastahili pongezi. Huwezi kuwa unafundisha halafu wanafunzi wapumbavu wanapiga makelele huko backbenchaz
1.Nidhamu serikalini
2.Uwajibikaji
3.Uchumi wa kati
wamepiga baada ya mzee kufa
Sasa kwani hata wewe kipindi unaruka ukuta wa shule form 2 pale ulikuwa ukiuruka mbele ya mwalimu wenu wa Nidhamu?Sasa mbona unasema aliweka nidhamu serikalini!
Halafu akishavifuta mseme mmenyang'anywa demokrasia?Kwa nini asingepeleka mswaada bungeni avifute vyama vingi kama alivyopeleka wa kuhamishia ATCL Ikulu isifanyiwe ukaguzi bila ridhaa yake?
Mbona jamaa kaongea ukweli mtupu,au we ndo yule mkalimani.We jamaa una roho mbaya sana na ubaya wa roho yako utakutesa wewe mwenyewe.