Hayati Dkt. Magufuli alishindwa kupambana na ufisadi, alikuwa mkali tu

Hayati Dkt. Magufuli alishindwa kupambana na ufisadi, alikuwa mkali tu

Huwezi kupambana na ufisadi kwa one man show, kuudhubiti ufisadi ni suala la kimfumo zaidi.
Kwenye uongozi wa kiafrika ukishaleta mambo ya kujuana ushkaji basi


Ova
 
Chadema Ninyi hamna jema lolote Nyie mmelifanyia nini taifa hili? Mliapata ridhaa ya kuongoza Majiji mlifanya nini?

Kipindi cha jakaya mliponda hivi hivi tena mkasema Anatakiwa Rais Mkali Adhibiti wizi rushwa na Ufisadi kaja Magufuli Mnageuza tena nakuanza kuponda.

Mwingine Mchungaji msigwa kwenye Msiba kalamba Matapishi Yake zitto kabwe naye kalamba matapishi yake.


Wacheni unafiki wenu. Kila kitu mnajifanya mnajua mkipewa nchi hata robo ya Laliyofanya Magufuli Hamtaweza kufanya. Kama mmeshindwa hata kujenga Ofc za chama mtaweza kuongoza nchi? Nchi sio kijiwe cha kahawa.
 
Kuna wajinga huko TBC utawakuta wanamsifia.

Karudisha nidhamu kazini.

Mtu mwenye nidhamu anaweza kuficha hadi milion mia4 ndani!

Hovyo kabisa.
mil 400 za wapi tena mkuu? Mbona wanakula sn kodi zetu hawa
 
Alishindwa au alikuwa sehemu ya ufisadi? Kama ndege kanunua bila idhini yabunge, SGR, Stiglers, nk una semaje hakuwa sehemu ya ufisadi?

Ukiona kiongozi ana zuia uhuru wa habari, huyo ni ukoma. JPM alikuwa namna hiyo. Mungu amuweke anapi stahili.
Chato International Airport?
 
Alishindwa au alikuwa sehemu ya ufisadi? Kama ndege kanunua bila idhini yabunge, SGR, Stiglers, nk una semaje hakuwa sehemu ya ufisadi?

Ukiona kiongozi ana zuia uhuru wa habari, huyo ni ukoma. JPM alikuwa namna hiyo. Mungu amuweke anapi stahili.
Of course alikuwa fisadi naye. Hakuna mwana CCM msafi, hata iweje
 
Kuna mambo ambayo binadamu sisi wasahaulifu sana. Wale walamba miguu waliojua kumpaka mzee mafuta kwa mgongo wa chupa walijawa unafki na hawa ndio waliokua wakimwibia na kumdanganya. Sitaki kulisema hili sana nakazia pia alivyosema Mtani wangu James Ile Millya.

Kama kweli hayati Rais Magufuli aliweza kupambana na ufisadi haya mabilioni ya bandarini hayakuibwa akiwa mzima? Haya mabilioni ambayo inasemekana kuna tatizo BoT si ndio wasimamizi ni wale wale aliowaweka yeye? Waliiba vipi wakati wao ndio waliokua wakiimba kua mzee anapambana na mafisadi na waliompinga pia mafisadi?

Mabilioni yaliyochotwa bandarini na tetesi zilizopo BOT inakosemekana kuna shida huko, huu ni mwanzo tu. Vipi kuhusu pesa zinazotolewa kujenga SGR na STIGLERS kule? Vipi mamlaka ziingine kama TANAPA na TRA hawaibi kweli?

Nilichogundua huenda awamu hii ufisadi ulikua mkubwa kuliko awamu zilizopita na ilikua ngumu watu kujulikana maana walilala kwenye kumsifia mzee ili asiwastukie. TAKUKURU wachape kazi hii nchi bado inapigwa sana na Rais wetu Mama Samia asimame imara.
Umerudi tena. Keshakufa huyo anza na walio hai
 
Kuna mambo ambayo binadamu sisi wasahaulifu sana. Wale walamba miguu waliojua kumpaka mzee mafuta kwa mgongo wa chupa walijawa unafki na hawa ndio waliokua wakimwibia na kumdanganya. Sitaki kulisema hili sana nakazia pia alivyosema Mtani wangu James Ile Millya.

Kama kweli hayati Rais Magufuli aliweza kupambana na ufisadi haya mabilioni ya bandarini hayakuibwa akiwa mzima? Haya mabilioni ambayo inasemekana kuna tatizo BoT si ndio wasimamizi ni wale wale aliowaweka yeye? Waliiba vipi wakati wao ndio waliokua wakiimba kua mzee anapambana na mafisadi na waliompinga pia mafisadi?

Mabilioni yaliyochotwa bandarini na tetesi zilizopo BOT inakosemekana kuna shida huko, huu ni mwanzo tu. Vipi kuhusu pesa zinazotolewa kujenga SGR na STIGLERS kule? Vipi mamlaka ziingine kama TANAPA na TRA hawaibi kweli?

Nilichogundua huenda awamu hii ufisadi ulikua mkubwa kuliko awamu zilizopita na ilikua ngumu watu kujulikana maana walilala kwenye kumsifia mzee ili asiwastukie. TAKUKURU wachape kazi hii nchi bado inapigwa sana na Rais wetu Mama Samia asimame imara.
Ngoja nikuulize swali kwa maksudi mazima; na usikurupuke kunijibu, kwa sababu ni swali fikirishi.

Ni kipi bora (hili neno "bora", sikupata mbadala mzuri katika kueleza hali hii):

Kumpiga risasi Lissu takribani 32, kwa lengo la kutaka kumuua, au kumpiga risasi na kumuua fisadi/mwizi aliyetambuliwa kitaratibu kuwa ni fisadi/mwizi?
 
Tumuache Hayati JPM apumzike kwa amani katuachia kila kitu kaenda mwenyewe, maana hata hajapiga chafya.

Koo ile mahakama ya mafisadi kazi yake ilikuwa ya akina nani?
Alikuwa anawatafuta wapinzani tu ndio awashitaki huko
 
Kuna mambo ambayo binadamu sisi wasahaulifu sana. Wale walamba miguu waliojua kumpaka mzee mafuta kwa mgongo wa chupa walijawa unafki na hawa ndio waliokua wakimwibia na kumdanganya. Sitaki kulisema hili sana nakazia pia alivyosema Mtani wangu James Ile Millya.

Kama kweli hayati Rais Magufuli aliweza kupambana na ufisadi haya mabilioni ya bandarini hayakuibwa akiwa mzima? Haya mabilioni ambayo inasemekana kuna tatizo BoT si ndio wasimamizi ni wale wale aliowaweka yeye? Waliiba vipi wakati wao ndio waliokua wakiimba kua mzee anapambana na mafisadi na waliompinga pia mafisadi?

Mabilioni yaliyochotwa bandarini na tetesi zilizopo BOT inakosemekana kuna shida huko, huu ni mwanzo tu. Vipi kuhusu pesa zinazotolewa kujenga SGR na STIGLERS kule? Vipi mamlaka ziingine kama TANAPA na TRA hawaibi kweli?

Nilichogundua huenda awamu hii ufisadi ulikua mkubwa kuliko awamu zilizopita na ilikua ngumu watu kujulikana maana walilala kwenye kumsifia mzee ili asiwastukie. TAKUKURU wachape kazi hii nchi bado inapigwa sana na Rais wetu Mama Samia asimame imara.
Kwangu mimi magufuli alikuwa siyo fisadi na pia alikuwa hapendi ufisadi. Ila alikuwa na udhaifu ambao wengi waliutumia kujinufaisha. Magufuli alikuwa hapendi mawazo mbadala. Alikuwa anapenda watu wa ''ndiyo baba'' na watu wa kumsifia. Matokeo yake ''wajanja'' walitumia hii loophole kupewa uteuzi ili wapige. Hii ni cha mtoto. Mtu kama Makonda, Kigwangala, na wote waliokuwa wanasifia kama wanamsifu Mungu wamepiga fedha ndefu sana. Kingine alikuwa hatengenezi system bali alikuwa anafanya one man show. Tanzania ni kubwa hangeweza kudhibiti kila mtu yeye peke yake. Na mabaya zaidi aliua upinzani ambao ndiyo ungeweza kusema vitu kama hivi.
 
Kwangu mimi magufuli alikuwa siyo fisadi na pia alikuwa hapendi ufisadi. Ila alikuwa na udhaifu ambao wengi waliutumia kujinufaisha. Magufuli alikuwa hapendi mawazo mbadala. Alikuwa anapenda watu wa ''ndiyo baba'' na watu wa kumsifia. Matokeo yake ''wajanja'' walitumia hii loophole kupewa uteuzi ili wapige. Hii ni cha mtoto. Mtu kama Makonda, Kigwangala, na wote waliokuwa wanasifia kama wanamsifu Mungu wamepiga fedha ndefu sana. Kingine alikuwa hatengenezi system bali alikuwa anafanya one man show. Tanzania ni kubwa hangeweza kudhibiti kila mtu yeye peke yake. Na mabaya zaidi aliua upinzani ambao ndiyo ungeweza kusema vitu kama hivi.
TANROAD SYNDICATE
 
Back
Top Bottom