mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kwenye uongozi wa kiafrika ukishaleta mambo ya kujuana ushkaji basiHuwezi kupambana na ufisadi kwa one man show, kuudhubiti ufisadi ni suala la kimfumo zaidi.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye uongozi wa kiafrika ukishaleta mambo ya kujuana ushkaji basiHuwezi kupambana na ufisadi kwa one man show, kuudhubiti ufisadi ni suala la kimfumo zaidi.
Na bado,mlisema hata uchumi unapanda kwa kasi had 7 sijui,mala tumefika uchumi wakati!Una uhakika na unachokisema. Au ni akili za kwenye mtandao?
Ni bilioni nneKuna wajinga huko TBC utawakuta wanamsifia.
Karudisha nidhamu kazini.
Mtu mwenye nidhamu anaweza kuficha hadi milion mia4 ndani!!
Hovyo kabisa.
I thought he was dead and gone🤔
mil 400 za wapi tena mkuu? Mbona wanakula sn kodi zetu hawaKuna wajinga huko TBC utawakuta wanamsifia.
Karudisha nidhamu kazini.
Mtu mwenye nidhamu anaweza kuficha hadi milion mia4 ndani!
Hovyo kabisa.
Chato International Airport?Alishindwa au alikuwa sehemu ya ufisadi? Kama ndege kanunua bila idhini yabunge, SGR, Stiglers, nk una semaje hakuwa sehemu ya ufisadi?
Ukiona kiongozi ana zuia uhuru wa habari, huyo ni ukoma. JPM alikuwa namna hiyo. Mungu amuweke anapi stahili.
Of course alikuwa fisadi naye. Hakuna mwana CCM msafi, hata iwejeAlishindwa au alikuwa sehemu ya ufisadi? Kama ndege kanunua bila idhini yabunge, SGR, Stiglers, nk una semaje hakuwa sehemu ya ufisadi?
Ukiona kiongozi ana zuia uhuru wa habari, huyo ni ukoma. JPM alikuwa namna hiyo. Mungu amuweke anapi stahili.
Kuna mtu kakutwa midola kabatini huko.mil 400 za wapi tena mkuu? Mbona wanakula sn kodi zetu hawa
Umerudi tena. Keshakufa huyo anza na walio haiKuna mambo ambayo binadamu sisi wasahaulifu sana. Wale walamba miguu waliojua kumpaka mzee mafuta kwa mgongo wa chupa walijawa unafki na hawa ndio waliokua wakimwibia na kumdanganya. Sitaki kulisema hili sana nakazia pia alivyosema Mtani wangu James Ile Millya.
Kama kweli hayati Rais Magufuli aliweza kupambana na ufisadi haya mabilioni ya bandarini hayakuibwa akiwa mzima? Haya mabilioni ambayo inasemekana kuna tatizo BoT si ndio wasimamizi ni wale wale aliowaweka yeye? Waliiba vipi wakati wao ndio waliokua wakiimba kua mzee anapambana na mafisadi na waliompinga pia mafisadi?
Mabilioni yaliyochotwa bandarini na tetesi zilizopo BOT inakosemekana kuna shida huko, huu ni mwanzo tu. Vipi kuhusu pesa zinazotolewa kujenga SGR na STIGLERS kule? Vipi mamlaka ziingine kama TANAPA na TRA hawaibi kweli?
Nilichogundua huenda awamu hii ufisadi ulikua mkubwa kuliko awamu zilizopita na ilikua ngumu watu kujulikana maana walilala kwenye kumsifia mzee ili asiwastukie. TAKUKURU wachape kazi hii nchi bado inapigwa sana na Rais wetu Mama Samia asimame imara.
I thought he was dead and gone🤔
Ngoja nikuulize swali kwa maksudi mazima; na usikurupuke kunijibu, kwa sababu ni swali fikirishi.Kuna mambo ambayo binadamu sisi wasahaulifu sana. Wale walamba miguu waliojua kumpaka mzee mafuta kwa mgongo wa chupa walijawa unafki na hawa ndio waliokua wakimwibia na kumdanganya. Sitaki kulisema hili sana nakazia pia alivyosema Mtani wangu James Ile Millya.
Kama kweli hayati Rais Magufuli aliweza kupambana na ufisadi haya mabilioni ya bandarini hayakuibwa akiwa mzima? Haya mabilioni ambayo inasemekana kuna tatizo BoT si ndio wasimamizi ni wale wale aliowaweka yeye? Waliiba vipi wakati wao ndio waliokua wakiimba kua mzee anapambana na mafisadi na waliompinga pia mafisadi?
Mabilioni yaliyochotwa bandarini na tetesi zilizopo BOT inakosemekana kuna shida huko, huu ni mwanzo tu. Vipi kuhusu pesa zinazotolewa kujenga SGR na STIGLERS kule? Vipi mamlaka ziingine kama TANAPA na TRA hawaibi kweli?
Nilichogundua huenda awamu hii ufisadi ulikua mkubwa kuliko awamu zilizopita na ilikua ngumu watu kujulikana maana walilala kwenye kumsifia mzee ili asiwastukie. TAKUKURU wachape kazi hii nchi bado inapigwa sana na Rais wetu Mama Samia asimame imara.
Toka mwanzo, ilijulikana wazi kwamba ni mtu wa maigizo tu, akitafuta sifa asizostahili.Huwezi kupambana na ufisadi kwa one man show, kuudhubiti ufisadi ni suala la kimfumo zaidi.
Alikuwa anawatafuta wapinzani tu ndio awashitaki hukoTumuache Hayati JPM apumzike kwa amani katuachia kila kitu kaenda mwenyewe, maana hata hajapiga chafya.
Koo ile mahakama ya mafisadi kazi yake ilikuwa ya akina nani?
Kwangu mimi magufuli alikuwa siyo fisadi na pia alikuwa hapendi ufisadi. Ila alikuwa na udhaifu ambao wengi waliutumia kujinufaisha. Magufuli alikuwa hapendi mawazo mbadala. Alikuwa anapenda watu wa ''ndiyo baba'' na watu wa kumsifia. Matokeo yake ''wajanja'' walitumia hii loophole kupewa uteuzi ili wapige. Hii ni cha mtoto. Mtu kama Makonda, Kigwangala, na wote waliokuwa wanasifia kama wanamsifu Mungu wamepiga fedha ndefu sana. Kingine alikuwa hatengenezi system bali alikuwa anafanya one man show. Tanzania ni kubwa hangeweza kudhibiti kila mtu yeye peke yake. Na mabaya zaidi aliua upinzani ambao ndiyo ungeweza kusema vitu kama hivi.Kuna mambo ambayo binadamu sisi wasahaulifu sana. Wale walamba miguu waliojua kumpaka mzee mafuta kwa mgongo wa chupa walijawa unafki na hawa ndio waliokua wakimwibia na kumdanganya. Sitaki kulisema hili sana nakazia pia alivyosema Mtani wangu James Ile Millya.
Kama kweli hayati Rais Magufuli aliweza kupambana na ufisadi haya mabilioni ya bandarini hayakuibwa akiwa mzima? Haya mabilioni ambayo inasemekana kuna tatizo BoT si ndio wasimamizi ni wale wale aliowaweka yeye? Waliiba vipi wakati wao ndio waliokua wakiimba kua mzee anapambana na mafisadi na waliompinga pia mafisadi?
Mabilioni yaliyochotwa bandarini na tetesi zilizopo BOT inakosemekana kuna shida huko, huu ni mwanzo tu. Vipi kuhusu pesa zinazotolewa kujenga SGR na STIGLERS kule? Vipi mamlaka ziingine kama TANAPA na TRA hawaibi kweli?
Nilichogundua huenda awamu hii ufisadi ulikua mkubwa kuliko awamu zilizopita na ilikua ngumu watu kujulikana maana walilala kwenye kumsifia mzee ili asiwastukie. TAKUKURU wachape kazi hii nchi bado inapigwa sana na Rais wetu Mama Samia asimame imara.
TANROAD SYNDICATEKwangu mimi magufuli alikuwa siyo fisadi na pia alikuwa hapendi ufisadi. Ila alikuwa na udhaifu ambao wengi waliutumia kujinufaisha. Magufuli alikuwa hapendi mawazo mbadala. Alikuwa anapenda watu wa ''ndiyo baba'' na watu wa kumsifia. Matokeo yake ''wajanja'' walitumia hii loophole kupewa uteuzi ili wapige. Hii ni cha mtoto. Mtu kama Makonda, Kigwangala, na wote waliokuwa wanasifia kama wanamsifu Mungu wamepiga fedha ndefu sana. Kingine alikuwa hatengenezi system bali alikuwa anafanya one man show. Tanzania ni kubwa hangeweza kudhibiti kila mtu yeye peke yake. Na mabaya zaidi aliua upinzani ambao ndiyo ungeweza kusema vitu kama hivi.