Hayati Dkt. Magufuli anapohukumiwa kwa kifo chake

kwa kweli andiko lako wel researched.nakupongeza sana kwa udadavuaji huo mtoa uzi.Aluta Contimua.
 
Good afternoon Mr. Slow Slow
 
Kweli mkuu na wanafanya kwa mateso kwa wenzao bila huruma
 

sukuma gand bado tunakula bata,pole kwenu ambao hata baada ya ngariba wenu kuondoka bado mnateseka.
 
sukuma gand bado tunakula bata,pole kwenu ambao hata baada ya ngariba wenu kuondoka bado mnateseka.
Sukuma gand Bado tunakula Bata!
Bata gwa konyo wewe kilaza buku Saba zilienda kugharamia mazishi ya Mwendakuzimu jiwe,
Muda huu mmepauka midomo Kama mmelamba konyagi na sigara Kali,
Poleni Sana now siwaoni mkipita hapa road ya Lumumba mkiwahi mgao wenu maana nilikua nawazoom baadhi yenu kutoka ghorofani jengo la Summit tower mkiwahi na moka zenu zilizochakaa visigino mkiwahi mgao pale Lumumba headcorter!
Saahizi siwaoni Tena mfadhili wenu chaliiii
Mmebaki
Njaa! Njaa! Njaa!

Mayala!
😁😁😁😁
 
S
Chama chakavu vs chama chakavu

Dodoki refuu la kumsafisha marehemu la nn?

Kama alitenda mabaya atahukumiwa kwa maovu yake haina haja ya dodoki la kumsafisha marehemu

2015-2021 UCHUMI WA NCHI ULIKUWA HATIANI SANA KAMA S MUNGU SIJUI INGEKUWAJE
Soma mathayo 26:52 yesu alisemaje?
 
Magufuli ilifaa azaliwe tu simba au hata chui akae huko Serengeti au Mikumi hakuwa binadamu kabisa yule.

Thank God for taking his soul early, the guy was so beastly.
 
Kweli mkuu na wanafanya kwa mateso kwa wenzao bila huruma
na Mkuu amini maneno haya "hao watesaji hawatakufa ila wamepata adhabu ya dunia, hawataishi kwa amani wala furaha katika vyeo au mali za dhulma walizoshiriki" narudia tena HAWATAKUFA HADI WADHALILIKE NA KUANZA KUIONA DUNIA WALIYOIPENDA IKIWA JEHANAMU.
Walioshangilia na kuwashangilia (waliitwa wanyonge wapiga kura) tayari kilio kimeanza kuwaangukia.
Labda watubu kwelikweli sirini na hadharani
 
Niseme mm binafsi nilifurahi sana kwa tukio tajwa. Niseme pia nilifurah sana kwa tukio la bwana HAMZA R.I.P hamza
Ninayo tu
 

pole mkuu.
 
Naungana nawe kaka. Naskia wakati mwendazake anatokwa roho alikuwa analia na mwenye kichaa ni Kama alikuwa akinyongwa au kupigwa na mtu katili. Ninaamini alipigwa na Lijenje komando wa kweli
 
Unamfananisha Magufuli na Yesu ?
 
Kwani Marehemu Dikteta Mwendakuzimu Nani amemhukumu na Hukumu yake ni ipi ?
Kumbuka Kanisa Katoliki linatambua Watakatifu, na Dikteta alikuwa Mkatoliki, Kama Kanisa hakijamtambua Kama Mkatoliki Means ana ticket ya Motoni
 
Bado unarudia kosa la Kumfananisha Magufuli na Yesu
Amini Nakwambia, Yesu ni Mungu, huwezi kumfananisha na Binadamu, hili ni Moja ya vitu vilivyom cost Magufuli, Maana hakurudisha Utukufu wa Mungu aliopewa na watu Kama nyie.
Nakutahadharisha, Acha Kumfananisha Binadamu yeyote na Mungu, Mungu atakuadhibu
 
Hawa ni vichaa sawa na marehemu dikteta uchwara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…