Hayati Dkt. Magufuli anapohukumiwa kwa kifo chake

Mwambieni Gwajima amfufuwe, yeye si Askofu wa Ufufuo na uzima?

Tumechoka makelele yenu, Dikteta is died and buried. Fullstop.
Hayo ni yako hayako kwenye mada yangu. Mwenyekelel ni weye unaeropoka bila kujua mada yahusu nini!
 
Tunataka tu iwe fundisho kwa viongozi wetu kwamba wao sio miungu na ipo siku watu watakuwa huru kuongea. Ukijua maovu ya bwana huyu hutamuonea huruma yoyote, aliharibu mno, hayo lazima tuyazungumze akiwa hai au mfu.
Kuongea na maiti au marehemu, ni fundisho gani! Kila mtu atakufa ufanye yaliyo mema au maovu. Kikubwa hukumu hutoa Mungu!
 
Narudia soma mada nzima uelewe usiokoteze sentensi na kukalia kuongelea hiyo sentensi muda wote. Be wide and think wider! Kama yey ni shetani basi shetani uhujuana kwani hakuna mwanadamu alie muona shetani! Na marehemu utukane yeye hakusikii wala hana haja ya kifo chako. Kikubwa ni Hukumu ambayo hutolewa na Mungu! Si hukumu ya mwanadamu.
 
Mwenye hukumu ni Mungu pekee na si mwanadamu.
 
Tulisema sana humu wewe ulikuwa wapi! Hakuna kitu kibaya kama mahaba ni kama rushwa ambayo tabia yake kubwa ni kupofusha macho.
Siongelei mahaba hapa naongelea mwenye uwezo wa kuhukumu ni Mungu pekee. Hiyo misemo yenu ya mahaba wala kwangu haina maana na wala haina athari kwangu. Watu manapenda kukariri. Nakupeni ukweli sibabahiki na vijisemo vyeno unadhani vitaninyamazisha. Hukumu utolewa na Mungu!
Sina tabia ya kujipendekeza, bali usema ukweli! Na mtu hata mahakani akifa kesi au jalada ufungwa. Kama ulisema ilikuwa kwa muda huo sasa kesha ondoka hata akusikii.
Usihukumu ukaja hukumiwa!
 
Si ndio sasa akatenda kwa wakati muafaka.
Mungu ufikiria tofauti na binadamu! Mungu si mwanadamu mpaka apangiwe! Lililo la Mungu si la mwanadamu! Tusijiweke sawa nae, na kuongea kauli kuona Mungu ni wakawaida tu!
 
Hiyo sentensi moja tu imetosha kujua jinsi hujui kitu. Umekomaa nisome mada nzima, unauhakika sijasoma? Sasa ngoja nikuoneshe vile huelewi
 
Hiyo sentensi moja tu imetosha kujua jinsi hujui kitu. Umekomaa nisome mada nzima, unauhakika sijasoma? Sasa ngoja nikuoneshe vile huelewi
Unajiona unajua, wendawazimu ni kufanya jambo kwa staili ilele na kurudia yaleyale na kujiona unaakili! Kuna msemo usemao, baharini avumae ni papa lakini....! So usijione much know nakuleta lugha za dharau. Mtu mwelevu hata sikumoja ajisifii bali usifiwa!
Kuja na lugha za kujifanya unajua huo ni ulimbukeni na ushamba! jenga hoja acha kujifanya unadharau! Unajitutumua weee! pole sana!
 
Mkuu maisha ya Yesu hayahusiani na upuuzi wa magufuli na hata vifo havifanani. Yesu yupo hai kama wewe ni mmuumini wa dini ya kikristo. Kusema aliishi miaka 33 sijui nini unamaanisha.

Pia, nakusihi, usifananishe maisha na kifo cha MTUME MUHAMAD na takataka.
Wewe simamia hukumu ya huyo marehemu.

Pia usijidandanye viongozi wote wa nchi huwekwa na Mungu. Umetumia maandiko gani? Acha kupotosha watu ukidhani maandiko hatuyajui.

Unaandika mambo ya imani unachanganya na siasa, ndio ulitaka nisome huu upupu
 
Wewe nadhani hujui uttheolojia, Maisha ya Yesu duniani yalikuwa miaka mingapi, na alianza kazi ya mahubiri yake akiwa na miaka mingapi! Usilinganishe Thelojia na kuwa nyumbani ukasoma Biblia.
Unaposema Yesu yupo hai kwa maana ipi? Tofautisha kuishi kwa Yesu duniani akiwa kama mwanadamu, na uishi wa kiroho ambao uwezi ongea. Na uelewe sijamfananisha Yesu na Mtume Muhamad S.W.A ila nimeongelea kuwa walikufa wakiwa na umri mdogo bado vijana. Huku si kufananisha.
Naona akili yako ipo kutafuta vijisababu. Narudi kwenye Mada. Kufa mapema si tatizo, Siri ya kifo aijue Mungu. Na hukumu hutoa Mungu si Mwandamu.
Usihukumu ukaja kuhukumiwa!
 
Mkuu wewe ni mkristo? Tuanzie hapo. Unajua kwanini yesu alikuja duniani? Unajua kwanini aliishi maisha dunian kama binadamu wa kawaida? Unajua lengo la yeye kukubali kufa? Je alijua kuwa atakufa au hata kufa?

Nimejaribu kuyasema hayo ili nikuoneshe kuwa kuna vitu hujui. Huyo magu kuna mtu kamchoma moto au kumpeleka peponi? Nani kamhukumu?
Mseme hapa kuwa flani baada ya jiwe kufa, sasa roho yake umeipeleka kuzimu.

Furaha siyo hukumu, huyo kafa duniani tunafurahi. Mungu naye atatoa hukumu yake kulingana na matendo ya marehemu wakati wa maisha yake.

Huelewi mkuu, unaweka mifano ya MITUME then unakanusha tena. Unasema Mungu hupanga kifo baadae unakanusha.
 
Hukumu utolewa na Mungu, Ole wake anaehukumu nae atahukumiwa! Over!
 
Unawezaje kumfananisha Yesu na shetani?

Kama unawafananisha mwambieni na yeye afufuke sasa kama Yesu kisha apae mbinguni kwenda kuwafagiloa malaika.
 
Watumushi wa umma hatutomsahau maisha yetu yote...[emoji124][emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…