Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikua ni noma sana
Viongozi we2 wanajisahau,,utazani wana mkataba na Mungu wa kuishi milele,,,kwani ukiwafanyia mazuri wananchi wako utaharibikia nini, dhima kubwa mno wanabeba. Watakutana na Mola waoHakuwa na unafiki na alikuwa mkweli na kila kitu ni vitendo tu
Ila mtu mweusi huyo mdudu yumo kichwani hana dawa?
Tatizo letu ni wizi na uongo
Hata hao kina nyerere walikuwa ni maneno tu vitendo sifuri
Ila gadafi atabaki kuwa kiongozi bora kwa wananchi wake kuliko kiongozi yeyote afrika, hakuna cha nyerere wala mandela
Viongozi we2 wanajisahau,,utazani wana mkataba na Mungu wa kuishi milele,,,kwani ukiwafanyia mazuri wananchi wako utaharibikia nini, dhima kubwa mno wanabeba. Watakutana na Mola wao
Haswaa
Hilo neno zito sana
Kuwafanyia wananchi mazuri”
Unakuta jamii yote ni wachache sana wanakuwa na roho ya upendo nina maana hata maisha ya kawaida ya familia
Wengine ni wabaya sana kwa familia zao tu sasa ndio hawa hawa wanakuja kuwa makatili
Aliesema wakinichagua watalimia meno
Hapo wasingempa kabisa
Watu wawe wanaangaliwa matendo yao na kauli zao
Kama wale wote waliokuwa wanakubali kila kitu na leo wanakataa kila kitu hao wanajulikana wangekatwa mapema kwenye teuzi zote maana ni wanafiki
Mungu atupe viongozi wenye hekma na wasikivu Amiin
akili wanazo, tamaa ndio shidaTatizo ni akili na uthubutu