Hayati Magufuli alifanikiwa kutengeneza kundi lililomuamini na kumtii mithili ya wafia Dini

Umemaliza kila kitu Mkuu !! Kongole πŸ™πŸ™
 
Marekani Ina watu wengi wazuri wa kuongoza sio lazima yule hayawani
Wamarekani wapiga kura wanamtaka Trump arudi kushika usukani !! Hao waliopo kwa sasa wanaweza kusababisha vita kuu vya tatu ambayo ndivyo vitakavyokuwa vita vya mwisho kupiganwa duniani !! Trump alishasema America first β€œ. Hawezi kupoteza pesa za walipa kodi wa πŸ‡ΊπŸ‡Έ USA kupiganisha vita visivyokuwa vinawahusu !!
 
mbona Hittler anajadiliwa hadi leo ?
 


Siasa ni imani
Dini ni imani

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI CCM
 
mbona Hittler anajadiliwa hadi leo ?
Hivi wewe unafikiria kabla hujajibu? Hitler? Kwenye International stand kati ya viongozi makatili Magufuli hayupo. Ruto na Uhuru wali orchestrate mauaji 2007 hadi wakaenda The Hague lakini hamna mtu anawaita makatili sembuse Magu ambaye hana hata body count yoyote chini ya jina lake. Acheni kuishi kwa ubabaishaji. Kwa hoja zenu hizo mlitakiwa mseme BM alitoa order watu wapigwe risasi huko Zanzibar na Mwembe Chai. Hii issue za kutekwa na kupotea hadi leo zinaendelea kwahiyo Sa100 na yeye ni muuaji? Watu siyo wajinga.
 
Acha uzwazwa ww usa bado wapo presidential materials wa kutosha hiyo takataka Trump ipambane kwanza na kesi zake za kuhonga wacheza porn.
 
Wewe huna hoja hata moja , pumzika huyawezi haya mambo
 
Mikutano ya Siasa imeruhusiwa, Mbona mimutano yenyew hamfanyi hatuwaoni πŸ˜‚πŸ˜‚
 
"Strongmen brook no rivals and they're served by faceless men". That goes the old say. Haa waliokuwa wakimtii ni kikundi cha waovu wenzie ili watese watu.
 
Roho ngumu na kusimamia anacho kiamini ili mfanya afanikiwe
 
Ngoja aje johnthebaptist na genge lake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…