#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.

IMG_20211021_145327_728.jpg

Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.
 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.
Sawa kulikuwa na Covid wakati wa JPM ulitaka afanyeje?
Waliofanya tofauti na JPM kama Kenya, Uganda na nchi zingine walifanikiwa kiasi gani kumzidi JPM kwenye mapambano dhidi ya Covid?

JPM alijua kuna Covid lakini alijua akiwatia hofu wananchi hofu ingewamaliza, alijua kabisa lock down sio suluhisho ndio maana hata nchi zilizowekwa lock down bado watu walikufa sana na saiv wamekuja kugundua JPM alikuwa sahihi kutoweka lock down
 
nawakumbusha tuu ni miezi 7 sasa tokea magu kafariki
na raisi ni wa sasa ni samia!!
 
Pamoja na udhaifu wote wa J.P.M kwenye hili suala la covid 19 alijitahid sana.Hapo hata kama huyo mama yetu alifariki kwa huu ugonjwa bado kitendo cha magufuri kusimama na msimamo wake kulikuwa na faida zaidi kuliko hiyo misimamo wa maraisi wengine
 
Kuhusiana na corona JPM alijitahidi pakubwa
Alijitahidi wakati ilimuondoa? Badala ya kufuata science inasemaje yeye akafuata ujinga? Ulifurahishwa na Kabudi kunyweshwa Ile mikojo mbele ya camera ili kumfurahisha bwana mkubwa? BTW Ile stock ya Madagascar ipo wapi Kwa sasa? Iligawiwa vipi? Ilisambazwa vipi? Akina nani walitumia? Maana takwimu za Jensen tunapewa kila siku, ni vyema tupewe na takwimu ya Ile kitu ya Kabudi, maana ni Kodi zetu zilitumika kuifuata
 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.

Wajinga na wapumbavu ndio wanamlaumu JPM kwenye covid.JPM alifanikiwa sana.
 
Sawa kulikuwa na Covid wakati wa JPM ulitaka afanyeje?
Waliofanya tofauti na JPM kama Kenya, Uganda na nchi zingine walifanikiwa kiasi gani kumzidi JPM kwenye mapambano dhidi ya Covid?

JPM alijua kuna Covid lakini alijua akiwatia hofu wananchi hofu ingewamaliza, alijua kabisa lock down sio suluhisho ndio maana hata nchi zilizowekwa lock down bado watu walikufa sana na saiv wamekuja kugundua JPM alikuwa sahihi kutoweka lock down
Lockdown ndiyo utetezi pekee kwa huyo Mhutu. Hakuna jipya wala ubunifu kwenye lockdown zaidi sana jiwe alijificha nyumbani kwake huku akiwaasa watu wasijifungie ndani.

Lile boya la mzizima nalo likawa linawakusanya watu mikutanoni halafu anawaasa wasikusanyike
 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.

Unatia aibu mno kwenye swala la Corona Magu ni mshindi......
aliwapa watu ujasili mkubwa nenda kapite barabarani ujionee wangapi wanavaa barakoa !!?
 
Sawa kulikuwa na Covid wakati wa JPM ulitaka afanyeje?
Waliofanya tofauti na JPM kama Kenya, Uganda na nchi zingine walifanikiwa kiasi gani kumzidi JPM kwenye mapambano dhidi ya Covid?

JPM alijua kuna Covid lakini alijua akiwatia hofu wananchi hofu ingewamaliza, alijua kabisa lock down sio suluhisho ndio maana hata nchi zilizowekwa lock down bado watu walikufa sana na saiv wamekuja kugundua JPM alikuwa sahihi kutoweka lock down
Ndo kusema corona si ugonjwa unaoua bali watu kwenye nchi za wenzetu walikufa kutokana na kutangaziwa uwepo wa ugonjwa huo na kuwekwa lockdown na kwamba sisi tulisalimika kutokana na msimamo wa Magufuli. Seriously?
 
Magufuli kwenye covid aliona mbali na alijitahidi sana.

Magufuli hakutaka kuwajaza watu hofu na ujinga maana covid ipo tu. Hofu siku zote ni mbaya kuliko ugonjwa wenyewe.

Kwenye covid Magufuli anapaswa kupongezwa 100%.

WHO inasema covid itaendelea kuwepo labda hadi 2025 huko, miaka yote hiyo ungefungia watu ndani wasile chochote eti covid, hizo ni akili au matope.

Toka Covid imeanza mwaka juzi mwishoni imeua watu milioni 4, njaa huua watu milioni 18 kwa mwaka, kwa hiyo kwa miaka 2 hii njaa tayari imeua watu milioni 37 huku covid imeua watu milioni 4, kwamba vifo vya covid ni muhimu kuliko vifo vya njaa?

Mlitaka Magufuli afungie watu ndani wafe kwa njaa kuliko kufa kwa covid? Hizo akili ama mavi?

 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.

There is something fishy going on.Mimi huku nilipo sijasikia mwenye Corona wala kumuona.Hospitali zetu vijijini ni business as usual,Referal Hospital yetu ni business as usual.Hivi Corona ipo kwenye midomo yenu tu na mitandaoni.Yes watu wanaugua na kufa,but this is usual tumezoea!Why the fearmongering.Ni ushetani mtupu.
Ni obvious shida ipo kwenye chanjo,na ndio maana every effort is being used to create fear,ili watu wakubali kuchanjwa.The intelligent see the truth however,wajinga watachanjwa.

Let me say this,chanjo ni nightmare ya humanity.Already people are sick as a result of the vaccine,there are injuries,and there are lot of deaths.Mimi nashangaa watu sana,utakubalije kuwekewa kitu cha majaribio mwilini mwako,which has not even been tested in animals,wewe ndiye unakuwa test animal?Halafu mind you,hata hujapewa taarifa ya kutosha kuhusu hicho kitu.

Huku vijini watu wanadungwa tu,no education what soever, kitu ambacho ni kinyume cha Nuremberg Codes.Yaani yanoendelea ni umafia and Big Pharma tyranny in collaboration with World governments.Very sad indeed.
 
There is something fishy going on.Mimi huku nilipo sijasikia mwenye.Hospitalitzetu vijijini in business as usual,Referal Hospital yetu ni business as usual.Hivi Corona IPO kwenye midomo yenu tu na mitandaoni.Yes watu wanaugua na kufa,but this is usual tumezoea!Why the fearmongering.Ni ushetani mtupu.

ivi huu ugonjwa upo kweli au ni mimi tu naona vibaya
 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.

There is something fishy going on.Mimi huku nilipo sijasikia mwenye.Hospitali zetu vijijini in business as usual,Referal Hospital yetu ni business as usual.Hivi Corona ipo kwenye midomo yenu tu na mitandaoni.Yes watu wanaugua na kufa,but this is usual tumezoea!Why the fearmongering.Ni ushetani mtupu.Jamani Satan uses fear to intimidate and dominate,tuwe
smart.
ivi huu ugonjwa upo kweli au ni mimi tu naona vibaya

Mkuu hiki kitu hakipo,ni fabricated.Kipimo chenyewe "RT-PCR kit," kinapima false positives, tena by design,halafu kila ugonjwa sasa ni Corona.Labda nikufahamishe kama hujui kwamba mazingira yetu wameyachafua
sana, tena kwa makusudi.Sisi pia wenyewe tumeyachafua,ila kwa ujinga wetu.Hivi watu wanajiuliza kwa mfano fossil fuels zinazokuwa burnt na magari zinaenda wapi.Na hivi watu wanajua kwamba hata lami ya barabara inatoa toxic fumes ambazo zinatuletea respiratory problems?Halafu eti wanasingizia ni Corona,ni uongo mtupu.Halafu vikohozi vingine hivi ni Allergy tu ambazo kwa ajili ya masumu mbalimbali hewani na kwenye mazingira tunayoishi kwa ujumla,nazo zimeongezeka sana.Kwanza kwa mtu mwenye akili timamu hata jina lenyewe ni la kitapeli!Kweli nimeamini wajinga ndio waliwao.
 
ivi huu ugonjwa upo kweli au ni mimi tu naona vibaya
HAKUNA CORONA ZAIDI YA PROPAGANDA. Niamini mkuu.Unaweza jiuliza now Corona imeenda wapi?Kabla ya kifo cha Magufuli kila kona zilikua ni kelele za Corona. Baada ya kifo kukawa kimya kama miezi 4 hivi,Corona ilienda wapi?Sababu zilizofanya kuwe na Lockdown na sheria kali mwaka jana mbona saiz hazipo ilhali variety iliyopo sasa inaonesha ni mbaya kuliko mwanzo?Toka imeanza Corona sijawahi tumia kitu kinaitwa sanitizer au kufuata njia zao za kujikinga, Ninafanya kazi ktk mazingira ambayo ni hatari sana ktk kuenea kwa Corona lkn sijawahi sikia miongoni mwetu kaondoka au kalazwa Corona. Inawezekana vipi?Uganda hadi leo wamefunga shule kujikinga na Corona, ni kwamba Uganda Corona yao ni hatari sana kuliko Nchi zingine au wanatumia sayansi gani?Tuliona bungeni eti watakua wanaingia mchana ili kujikinga na Corona, Hii ni sayansi gani inayosema wakiingia Asubuhi watapata Corona?Kulikua na mazuio ya kutembea usiku huko Kenya na RSA,hii ni sayansi gani inayosema Corona inasambaa sana usiku kuliko mchana na ukiangalia usiku population huwa ndogo sana?
 
Back
Top Bottom