#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

HAKUNA CORONA ZAIDI YA PROPAGANDA. Niamini mkuu.Unaweza jiuliza now Corona imeenda wapi?Kabla ya kifo cha Magufuli kila kona zilikua ni kelele za Corona. Baada ya kifo kukawa kimya kama miezi 4 hivi,Corona ilienda wapi?Sababu zilizofanya kuwe na Lockdown na sheria kali mwaka jana mbona saiz hazipo ilhali variety iliyopo sasa inaonesha ni mbaya kuliko mwanzo?Toka imeanza Corona sijawahi tumia kitu kinaitwa sanitizer au kufuata njia zao za kujikinga, Ninafanya kazi ktk mazingira ambayo ni hatari sana ktk kuenea kwa Corona lkn sijawahi sikia miongoni mwetu kaondoka au kalazwa Corona. Inawezekana vipi?Uganda hadi leo wamefunga shule kujikinga na Corona, ni kwamba Uganda Corona yao ni hatari sana kuliko Nchi zingine au wanatumia sayansi gani?Tuliona bungeni eti watakua wanaingia mchana ili kujikinga na Corona, Hii ni sayansi gani inayosema wakiingia Asubuhi watapata Corona?Kulikua na mazuio ya kutembea usiku huko Kenya na RSA,hii ni sayansi gani inayosema Corona inasambaa sana usiku kuliko mchana na ukiangalia usiku population huwa ndogo sana?

Umeikosha roho yangu mkuu shukrani kumbe tupo wengi
 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.

Hata taarifa ya kifo chake!
 
Sawa kulikuwa na Covid wakati wa JPM ulitaka afanyeje?
Waliofanya tofauti na JPM kama Kenya, Uganda na nchi zingine walifanikiwa kiasi gani kumzidi JPM kwenye mapambano dhidi ya Covid?

JPM alijua kuna Covid lakini alijua akiwatia hofu wananchi hofu ingewamaliza, alijua kabisa lock down sio suluhisho ndio maana hata nchi zilizowekwa lock down bado watu walikufa sana na saiv wamekuja kugundua JPM alikuwa sahihi kutoweka lock down

Kama mke wa Salim Ahmed hatukujua kuwa ilikuwa Corona hali yeye alijua vipi kuhusu wengine wengi akiwamo yeye waliofariki ghafla?

WHO inaposema visa 6 katika 7 vya UVIKO Afrika vinapita bila kutambuliwa, nini kinakufanya ujue Tanzania iliathiriwa vipi kulinganisha na nani hali hata takwimu rasmi za ugonjwa huu hadi leo hazipo?

Kiuhalisia kwa takwimu hizi hapa:

#COVID19 - Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

Tanzania itakuwa imeathirika pakubwa na uwezekano ni kuliko nchi yoyote Afrika na labda among the highly affected duniani.

Ndiyo maana kuwatia adabu watu waliotufikisha hapa ni kuwatendea haki wahanga wote walio finishes huko na wapuuzi wa aina ya Jair Bolsonaro wa Brazil.
 
Issue ya korona legendary John Pombe alikuwa great asee, pingeni tu.

Canal Powel alikuwa kadungwa chanjo zote mpaka immunity booster vaccine, now tumesikia nini?.

Huu ugonjwa kuna hidden scenerio inachezwa hapo na wasiojua ndiyo tunachezeshwa midundo vururu vururu!.

Twendeni taratibu na hii mikopo kwanza as if kunywa supu nyama zipo chini!.
 
Issue ya korona legendary John Pombe alikuwa great asee, pingeni tu.

Canal Powel alikuwa kadungwa chanjo zote mpaka immunity booster vaccine, now tumesikia nini?.

Huu ugonjwa kuna hidden scenerio inachezwa hapo na wasiojua ndiyo tunachezeshwa midundo vururu vururu!.

Twendeni taratibu na hii mikopo kwanza as if kunywa supu nyama zipo chini!.
Fear of unknown
 
Ndo kusema corona si ugonjwa unaoua bali watu kwenye nchi za wenzetu walikufa kutokana na kutangaziwa uwepo wa ugonjwa huo na kuwekwa lockdown na kwamba sisi tulisalimika kutokana na msimamo wa Magufuli. Seriously?

Hawa ni accomplice wana kesi ya kujibu. Hawa ni ile lot nyuma ya usukani.

IMG_20210911_000004_180.jpg


They ought to know we will pursue them relentlessly.
 
Wajinga na wapumbavu ndio wanamlaumu JPM kwenye covid.JPM alifanikiwa sana.

Watu nyuma ya usukani:

IMG_20210911_000004_180.jpg


mlioshirikiana naye kwenye jinai zote zikiwamo za Corona na hizi hapa:

IMG_20211015_144814_546.jpg


Mtatuwia radhi.

We will pursue you relentlessly.

Habari ndiyo hiyo.
 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.
Pambana na kesi ya mtemi wenu ya corona waachie wenye nayo.
 
JPM anapaswa kushtakiwa kwa kuficha ugonjwa na kusababisha vifo vya maelfu.

Washirika wake wangalipo hao ndiyo wanaoendelea kutupa taabu. Wanadai rais si mtu bali ni taasisi haijulikani ni kwa kifungu kipi kwenye katiba wala walikampeni wapi kuupata huo urais wa kitaasisi.

Hao wala siyo CCM. Ni wahuni tu.
 
Sawa kulikuwa na Covid wakati wa JPM ulitaka afanyeje?
Waliofanya tofauti na JPM kama Kenya, Uganda na nchi zingine walifanikiwa kiasi gani kumzidi JPM kwenye mapambano dhidi ya Covid?

JPM alijua kuna Covid lakini alijua akiwatia hofu wananchi hofu ingewamaliza, alijua kabisa lock down sio suluhisho ndio maana hata nchi zilizowekwa lock down bado watu walikufa sana na saiv wamekuja kugundua JPM alikuwa sahihi kutoweka lock down

Hakuna walichomzidi jp ee?
Mbona wao hadi sasa wanaendelea kuhonga wine huku jp akinyofolewa macho na mchwa huko chini futi 6?
 
Back
Top Bottom