#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.

Cowen powell waziri wa mambo ya nje mstaafu wa marekani kafa na corona juzi wakati wao ndo watoa chanjo na waathirika wakubwa, je hilo ni jina kubwa je wale ambao hawana majina hwatangazwi je?
Sema wewe leo wagonjwa au watu waliokufa marekani kwa corona ni wangapi, unawajua?
Mambo mengine muwe mnatuliza vichwa na sio kufyatuka tu.
 
Sawa kulikuwa na Covid wakati wa JPM ulitaka afanyeje?
Waliofanya tofauti na JPM kama Kenya, Uganda na nchi zingine walifanikiwa kiasi gani kumzidi JPM kwenye mapambano dhidi ya Covid?

JPM alijua kuna Covid lakini alijua akiwatia hofu wananchi hofu ingewamaliza, alijua kabisa lock down sio suluhisho ndio maana hata nchi zilizowekwa lock down bado watu walikufa sana na saiv wamekuja kugundua JPM alikuwa sahihi kutoweka lock down
Kosa lake siyo kutokutangaza lockdown, kosa lake kubwa ni watu walipokufa kwa Covid (hasa waheshimiwa) alificha kuusema ukweli na alizizuia familia za wahanga zisiseme ukweli (japo zenyewe zilitamani kudisclose). Na ndo unaona leo Salim Ahmed Salim Foundation imefunguka rasmi baada ya kuzibwa mdomo.

Kutangaza vifo vya Covid kungeongeza umakini wa watu kujilinda,kutokutangaza kukafanya watu wajiachie na waambukizwe zaidi (akiwemo yeye mwenyewe). NA NINAFURAHI KWAMBA ILIMUONDOA kwa upumbavu wake.Mawaziri wake walikuwa wanatamani wajikinge sana publicly yeye akawa anawakejeli na kuwadhalilisha.

Kwani Corona ni ugonjwa wa aibu sana?Mbona Dr.Kenneth Kaunda aliwatangazia Wazambia kuwa mwanae amekufa kwa Ukimwi? Mbona Nelson Mandela alitangaza mjukuu wake amekufa kwa Ukimwi? Lengo ilikuwa ni kuwakumbusha watu kuwa UKIMWI UPO na unaua bila kujali hadhi ya mtu. Sasa CORONA ni ugonjwa wa aibu sana hadi JPM aone aibu kutangaza kufa Corona inaua na sasa imeshaua 'waheshimiwa' kadhaa na 'wanyonge' kadhaa?
 
Cowen powell waziri wa mambo ya nje mstaafu wa marekani kafa na corona juzi wakati wao ndo watoa chanjo na waathirika wakubwa, je hilo ni jina kubwa je wale ambao hawana majina hwatangazwi je?
Sema wewe leo wagonjwa au watu waliokufa marekani kwa corona ni wangapi, unawajua?
Mambo mengine muwe mnatuliza vichwa na sio kufyatuka tu.

Nani alikwambia watoa chanjo hawafi kwa Corona? Hivi hata unaelewa unaongea au huongei nini?

Watoa chanjo wanahimiza tahadhari hata kama umechanjwa. Wewe kapuku unadai chanjo ni upigaji , una discourage chanjo na bila aibu unahamasisha nyungu?

IMG-20210725-WA0007.jpg


Seriously?!

Tumepoteza watu wangapi kwenye huu utopolo?
 
Sawa kulikuwa na Covid wakati wa JPM ulitaka afanyeje?
Waliofanya tofauti na JPM kama Kenya, Uganda na nchi zingine walifanikiwa kiasi gani kumzidi JPM kwenye mapambano dhidi ya Covid?

JPM alijua kuna Covid lakini alijua akiwatia hofu wananchi hofu ingewamaliza, alijua kabisa lock down sio suluhisho ndio maana hata nchi zilizowekwa lock down bado watu walikufa sana na saiv wamekuja kugundua JPM alikuwa sahihi kutoweka lock down
Dokta John Magufuli aliwajali zaidi watanzania kuliko hata alivyoijali familia yake.
 
Dokta John Magufuli aliwajali zaidi watanzania kuliko hata alivyoijali familia yake.

Yuko wapi Moses Lijenje, Azory, Ben na nani walikuwa kwenye viroba?

Nani alikuwa nyuma shambulizi la Lissu?

Nani alikuwa nyuma ya SABAYA?

Nani alikuwa nyuma ya vifo hivi?

#COVID19 - Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

Ipo tofauti ya msingi baina ya watanzania na wanachato aka genge la wasukuma. Pia baina ya wasukuma na genge la wasukuma.
 
Magufuli na wale wasaidizi wake wote waliondoka kwasababu ya nini vile? ugonjwa wa moyo!.

Watu mna kumbukumbu ndogo sana, wenzenu wamezika ndugu zao sababu ya Corona, nyie mnasema simple tu; "hakuna Corona, ni uongo wa wazungu"
Wewe umezika ndugu zako wangapi akiwemo mama yako mkuu!
 
Magufuli kwenye covid aliona mbali na alijitahidi sana.

Magufuli hakutaka kuwajaza watu hofu na ujinga maana covid ipo tu. Hofu siku zote ni mbaya kuliko ugonjwa wenyewe.

Kwenye covid Magufuli anapaswa kupongezwa 100%.

WHO inasema covid itaendelea kuwepo labda hadi 2025 huko, miaka yote hiyo ungefungia watu ndani wasile chochote eti covid, hizo ni akili au matope.

Toka Covid imeanza mwaka juzi mwishoni imeua watu milioni 4, njaa huua watu milioni 18 kwa mwaka, kwa hiyo kwa miaka 2 hii njaa tayari imeua watu milioni 37 huku covid imeua watu milioni 4, kwamba vifo vya covid ni muhimu kuliko vifo vya njaa?

Mlitaka Magufuli afungie watu ndani wafe kwa njaa kuliko kufa kwa covid? Hizo akili ama mavi?



Kufungia watu ndani ndiyo pekee unachojua au ulichowahi kusikia kwenye UVIKO?

Hiiiiii bagosha!

1. Hukuwahi kuvisikia vita vya uchumi dhidi ya Tanzania?
2. Hukuwahi kuzisikia njama za mabeberu dhidi ya Tanzania?
3. Hukuwahi kusikia chanjo kuwa ni upigaji wa mabeberu wakitaka pesa zetu?
4. Hukuwahi kusikia corona haipo?
5. Hukuwahi kusikia mambo ya nyungu, maombi wala matango pori mengine kama sera rasmi ya serikali kuhami watu?
6. Uliwahi kusikia takwimu rasmi za janga hili hapa nchini?
7. Nk nk

Vipi ni kujitoa ufahamu au ndiyo kuwasili kutokea sayari nyingine?

Muda upi wa kukuelimisha wewe. Ngoja kiumane kwa Bolsonaro na hapa kazeni mkao wa kula.

Haijali itachukua muda gani.

Kwani una tatizo gani wewe hapo? Au na wewe ni accomplice?
 
JPM anapaswa kushtakiwa kwa kuficha ugonjwa na kusababisha vifo vya maelfu.

Maelfu yapi Mkuu au tunabeba hadi takwimu za Ecuador na Brazil?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, katika kuhandle issue ya Covid 19 JPM alijitahidi sana.
 
Watu wenye nia ovu walifanya kazi kubwa sana kumchafua Dkt Magufuli

Watu wenye nia ovu. Hii taasisi kuwa rais ni taasisi, uliwahi kuisikia kabla ya 2015?

Taasisi hii imetajwa wapi kwenye katiba?

Wajumbe wake ni nani?

Kwamba walipanga kumchafua na hakujua wala kuwajua?

Seriously?!
 
Watu wenye nia ovu. Hii taasisi kuwa rais ni taasisi, uliwahi kuisikia kabla ya 2015?

Taasisi hii imetajwa wapi kwenye katiba?

Wajumbe wake ni nani?

Kwamba walipanga kumchafua na hakujua wala kuwajua?

Seriously?!
Unauliza maswali irrelevant kiongozi
 
Maelfu yapi Mkuu au tunabeba hadi takwimu za Ecuador na Brazil?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, katika kuhandle issue ya Covid 19 JPM alijitahidi sana.

Kwanini takwimu rasmi zilizimwa na zinaendelea kuzimwa?

WHO wanasema cases 6 katika 7 Afrika hazitambuliwi (hii ni leo). Hapo nyuma ilikuwa je?

Takwimu zaidi ziko hapa:

#COVID19 - Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

Wewe waona maelfu wangapi hapo?

Mnyonge? Hakuna mnyonge hapo bali mhalifu wa kuadhibiwa!
 
There is something fishy going on.Mimi huku nilipo sijasikia mwenye.Hospitali zetu vijijini in business as usual,Referal Hospital yetu ni business as usual.Hivi Corona ipo kwenye midomo yenu tu na mitandaoni.Yes watu wanaugua na kufa,but this is usual tumezoea!Why the fearmongering.Ni ushetani mtupu.Jamani Satan uses fear to intimidate and dominate,tuwe
smart.

Mkuu hiki kitu hakipo,ni fabricated.Kipimo chenyewe "RT-PCR kit," kinapima false positives, tena by design,halafu kila ugonjwa sasa ni Corona.Labda nikufahamishe kama hujui kwamba mazingira yetu wameyachafua
sana, tena kwa makusudi.Sisi pia wenyewe tumeyachafua,ila kwa ujinga wetu.Hivi watu wanajiuliza kwa mfano fossil fuels zinazokuwa burnt na magari zinaenda wapi.Na hivi watu wanajua kwamba hata lami ya barabara inatoa toxic fumes ambazo zinatuletea respiratory problems?Halafu eti wanasingizia ni Corona,ni uongo mtupu.Halafu vikohozi vingine hivi ni Allergy tu ambazo kwa ajili ya masumu mbalimbali hewani na kwenye mazingira tunayoishi kwa ujumla,nazo zimeongezeka sana.Kwanza kwa mtu mwenye akili timamu hata jina lenyewe ni la kitapeli!Kweli nimeamini wajinga ndio waliwao.

Hata Amne Salim Ahmed Salim bila shaka hata sasa hujamsikia. Kagua masikio yako mkuu:

IMG_20210829_163746_049.jpg


Kama kungali kukavu fikiria fikiria pia kuchukua ubini sahihi.

Yawezekana wewe siyo bin Adamu 😁😁.
 
Magufuli kwenye covid aliona mbali na alijitahidi sana.

Magufuli hakutaka kuwajaza watu hofu na ujinga maana covid ipo tu. Hofu siku zote ni mbaya kuliko ugonjwa wenyewe.

Kwenye covid Magufuli anapaswa kupongezwa 100%.

WHO inasema covid itaendelea kuwepo labda hadi 2025 huko, miaka yote hiyo ungefungia watu ndani wasile chochote eti covid, hizo ni akili au matope.

Toka Covid imeanza mwaka juzi mwishoni imeua watu milioni 4, njaa huua watu milioni 18 kwa mwaka, kwa hiyo kwa miaka 2 hii njaa tayari imeua watu milioni 37 huku covid imeua watu milioni 4, kwamba vifo vya covid ni muhimu kuliko vifo vya njaa?

Mlitaka Magufuli afungie watu ndani wafe kwa njaa kuliko kufa kwa covid? Hizo akili ama mavi?



Cases 6 out 7 according to WHO aren't detected in Africa as of today.

Hii ni factor popote kwenye maelezo yako? Kama huna hayo ndiyo mavi yenyewe sasa!

Magufuli anapaswa kupongezwa na wapumbavu. Bado pia ni pongezi. Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom