#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

Magufuli kwenye covid aliona mbali na alijitahidi sana.

Magufuli hakutaka kuwajaza watu hofu na ujinga maana covid ipo tu. Hofu siku zote ni mbaya kuliko ugonjwa wenyewe.

Kwenye covid Magufuli anapaswa kupongezwa 100%.

WHO inasema covid itaendelea kuwepo labda hadi 2025 huko, miaka yote hiyo ungefungia watu ndani wasile chochote eti covid, hizo ni akili au matope.

Toka Covid imeanza mwaka juzi mwishoni imeua watu milioni 4, njaa huua watu milioni 18 kwa mwaka, kwa hiyo kwa miaka 2 hii njaa tayari imeua watu milioni 37 huku covid imeua watu milioni 4, kwamba vifo vya covid ni muhimu kuliko vifo vya njaa?

Mlitaka Magufuli afungie watu ndani wafe kwa njaa kuliko kufa kwa covid? Hizo akili ama mavi?

Achana na hao wajinga, wanajikuta wanamchukia JPM hata kama hoja yake ilikuwa na mantiki lakini kwa sababu wao hawampendi hata alichosema kwa maslahi ya nchi nacho wanakichukia.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuweka locke down nchi kama hii ambayo mtu ili apate chakula lazima atoke kwenda kutafuta, ukiweka lock down unawaua watu wengi zaidi
 
Hivi corona ipo kweli au ni ugonjwa mwingine tu huu...ha ha haa.Mi naona tumwache tu apumzike baba wa watu.Kama kuvuna alichopanda alishavuna
 
Hakuna walichomzidi jp ee?
Mbona wao hadi sasa wanaendelea kuhonga wine huku jp akinyofolewa macho na mchwa huko chini futi 6?
Hauna proof kama JPM alikufa kwa Covid hivyo tulia tu.

Alaf si kila anayekufa amekufa na Covid, ujio wa Covid uliweka marufuku ya kufa kwa vifo vya sababu zingine?
After all hata wewe unayeona ni mwerevu utakufa tu
 
Wajinga na wapumbavu ndio wanamlaumu JPM kwenye covid.JPM alifanikiwa sana.
Mkuu isingekuwa hyo Mwamba kusimama kidete kabisa, sa iv tz ingekuwa Ni nchi ya tatu kutoka chini kwa umasikini na ufukara uliopindukia,

Mwamba alijua kabisa, leo wale waliokataa Yale aliyosema wanayafuata, au unabisha nikukumbushe??[emoji15][emoji15][emoji15]

Walijifungia akasema hlo si suruhisho, walitoka wenyewe[emoji1][emoji1]

Haya wakasema hatuwezi kuishi na ugonjwa, wamekili wenyewe kuwa lazima tuishi na ugonjwa,[emoji2956][emoji2956]

Wakasema sijui chanjo, akawauliza virus huwa wanachanjooo?? Wasema ipo, sawa kabisa, mpka Sasa dunia haina chanjo rasmi zooote Ni majaribio na bado wanakili virus wanazaliana mpka Sasa cjui yupo wa aina ya nne,[emoji15][emoji15]

Niongeze??[emoji1][emoji1][emoji1] Anyway the man was genuines..umependa au hujapenda,
 
Kwani Kabla ya Magufuri watu walikuwa hawafi?Dkt Sengondo Mvungi alikufa lini,Mwandishi wa abari Daudi Mwangosi,akina Dkt Horimboka walingolewa kucha na meno bila ganzi,watu wengi walikufa ata utawala wa Kikwete, uwezi kuzingua , serikali makini ikakuacha, utawala wote wako hivi,ni eli Mtu mmoja apotee kuliko kuangamiza taifa,Mwanadamu anapita lakini taifa linaendelea, Ndio maana Sasahivi Mbowe yuko nyuma ya nondo kwa kesi ya ugaidi,akipatikana na atia anapotezwa.

Kwa maana kamili ya maneno yako, mwendazake ni mhusika #1 kwenye:

1. Lijenje kupotea
2. Azory kupotea
3. Ben kupotea
4. Lissu kushambuliwa
5. Watu kwenye viroba
6. Malaki kufa kwenye Corona
7. Nk.

Uthibitisho wako mkuu itasaidia sana kwenye tafutishi za haki.
 
Hauna proof kama JPM alikufa kwa Covid hivyo tulia tu.

Alaf si kila anayekufa amekufa na Covid, ujio wa Covid uliweka marufuku ya kufa kwa vifo vya sababu zingine?
After all hata wewe unayeona ni mwerevu utakufa tu

Very petty generic statements he thought he could masquerade with. He didn't know he could also be a victim.

Essence ya uzi hata Amne hatukujua.

Ila usahihi 6 out 7 aren't recognized in Africa.

Zaidi sana macho tunayo:

#COVID19 - Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona
 
Chadema hamna pa kushikilia!
Watu wengine lazima tu walete siasa ndio maana Tanzania ni miongoni mwa nchi ambao watu wake wana IQ ya chini sana duniani ni kwa sababu ya watu kama hawa, wao kulala kuamka ni vijembe vya siasa kisa wanalipiwa vocha. Very useless folks.
 
Hayo umesema wewe, lakini nikwambie hata walioweka lockdown wamekufa sana inawezekana ndo wamekufa wengi zaidi.

Uweke lock down nchi kama hii ambayo mtu asipotoka nyumbani hali, watu watakufa kwa njaa badala ya Covid.
Punguzeni kulaumu JPM hiyo lock down haikuwa na tija na wala haina tija ndio maana nchi nyingi zimeondoa lock down
Tushukuru Mungu huo ugonjwa haujawai kua serious kwenye hii nchi kama kwa wenzetu.hizo mambo za magufuli sijui lock down ni ujinga tu wakati hali halisi inajionyesha.Tutumie vichwa vyetu vizuri kufanya tafiti za maana kuliko kukalia tu kua kutokua na lock down ndo maana corona haikutusumbua sana.
 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.

Wewe una matatizo. Mtu ameshalala hawezi tena kujitetea bado unaendelea kumsema. Kukosa akili na busara kwa Hali ya juu
 
Hauna proof kama JPM alikufa kwa Covid hivyo tulia tu.

Alaf si kila anayekufa amekufa na Covid, ujio wa Covid uliweka marufuku ya kufa kwa vifo vya sababu zingine?
After all hata wewe unayeona ni mwerevu utakufa tu

Una uhakika gani sina...?!? Wewe una proof ya kilichomfyeka ni kitu gani??
 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.


JPM hajafa kumbe?
 
Alijitahidi wakati ilimuondoa? Badala ya kufuata science inasemaje yeye akafuata ujinga? Ulifurahishwa na Kabudi kunyweshwa Ile mikojo mbele ya camera ili kumfurahisha bwana mkubwa? BTW Ile stock ya Madagascar ipo wapi Kwa sasa? Iligawiwa vipi? Ilisambazwa vipi? Akina nani walitumia? Maana takwimu za Jensen tunapewa kila siku, ni vyema tupewe na takwimu ya Ile kitu ya Kabudi, maana ni Kodi zetu zilitumika kuifuata
Vibosile [emoji23][emoji23][emoji23],ila corona jamani,,, mh, we acha tu...
 
Back
Top Bottom