#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

Ndo kusema corona si ugonjwa unaoua bali watu kwenye nchi za wenzetu walikufa kutokana na kutangaziwa uwepo wa ugonjwa huo na kuwekwa lockdown na kwamba sisi tulisalimika kutokana na msimamo wa Magufuli. Seriously?
Sisi tulipunguza vifo vinavyo sababishwa na ile taharuki ya corona, hao majirani zetu maigizo waliyokuwa wanafanya yaliwasaidia nini?
 
Kazi yenu imebaki hiyo kumlaumu marehemu.Ushenzi tu huo.

Hata Iddi Amini, Hitler, Mussolini na wababe wengine wa kuvita kama kina General Farah Adid hufika wakati wakakumbukwa.

Kuna Ahmed Salim foundation imetoa mchango kumkumbuka mpendwa wao hatukujua alikuwa mhanga wa UVIKO kwa sababu yake.

Kuna pia wa kufanana naye huko Brazil atakuwa anapanda kizimbani karibuni kwa kama yake.

Ndiyo ulio msingi wa hoja.

Umekurupuka kutokea kilabu cha wapi mkuu?

Nawa angalau uso basi?
 
Unataka kusema nini? The best wa kuficha takwimu na kuacha watu wafe bila hatua zozote? Na yeye mwenyewe kafia hiyo hiyo, na unamwona "the best"! Watanzania tupo nyuma sana kifikra.
Kwa hyo takwimu ndo dawa ya Corona?
 
Uwezi pata haki hapa duniani mkuu,hata Mungu tunayemsema anatenda haki,ukimzingua anakukatilia mbali, jaribu kusoma maneno yake,alafu uone waliopingana nae uone walichofanywa au watakachofanywa,Sembuse mwanadamu ambaye si mkamilifu;ishi kwa kufuata sheria na taratibu tulizojiwekea,hautaona usumbufu.

Ubinafsi mkubwa. Unategemea walioguswa na udhwalimu huu wamshangilie mwuaji wao kuwa ni shujaa?

Unajua kuna familia zimeachwa yatima kwenye dhuluma hizi. Unajua kuna watu wamebakia vilema hawawezi kujimudu tena nk kwenye dhuluma hizi. Wewe unaona sawa?!

Mafikara yako ni kama binadamu wengine jweli?

Unajua kina Ben, Lijenje, Azory na wote walikuwa na dependants wakiwategemea mno?

Ilikuwa muhimu mkaangaliwa vinasaba wandugu. Something is not right.

Yawezekana tunashughulika na wala watu!
 
unajua kila siku watu wangapi wanakufa kwa malaria,tb n.k hapa Tanzania?
Kwanini takwimu ziwe za korona peke yake?

Tofautisha malaria na Corona.

Uliwahi kusikia neno Janga?

Uliwahi kusikia neno hilo likitumika kwenye malaria, kisonono, kaswende, degree, kifaduro au pangusa?
 
This is fearmongering.Sasa kutomsikia Salim ndio nini,anaugua Corona!Wewe ni fearmonger tu unayetumiwa na Shetani.Hii Corona mnayo ongelea mitandaoni ambayo mitaani hatuioni ni Corona gani.Tatizo lenu pia ni kwamba siku hizi mnaamini kwamba kila ugonjwa including respiratory illnesses ni Corona.Change your mind set,that is not true.

By the way tell me why you believe Salim anaugua Corona.That is give me the symptoms he has.

Shetani tena? Ulikutana naye wapi ukufanya naye mazungumzo na kujuzana kuwa hutuma watu.

Kwanini uliyetumwa naye usiwe wewe?

Mitaani hata ukimwi, kaswende, kifaduro, kipindu pindu nk navyo havipo.

Magonjwa hujui yaliko?

Nani kakwambia Salim anaugua Corona?

Soma mada kuelewa. Usirukie treni kwa mbele ni hatari kwa afya yako.
 
Umeambiwa chanjo si warranty ya kutokuugua.

Ipo tofauti ya magonjwa na ndiyo maana mengine kama malaria hata kupata chanjo tu imekuwa vigumu.

Kigezo kikubwa kikiwa ni muda gani kumbukumbu za taarifa za chanjo (kinga yaani antibodies) zinaweza kudumu mwilini.

Chanjo zinauandaa mwili kupambana na ugonjwa wala si kuwa chanjo yenyewe ndiyo inapambana na ugonjwa.

Kipi hapo usichoelewa kuwa kwanini mtu aliyechanjwa anaweza kuugua akaona au hata akafa ila anayo nafasi nzuri zaidi ya kupambana kuliko aliyechanjwa?!
Naomba uyawaze haya:
1.80% ya panya waliofanyiwa majaribio na chanjo hii walikufa.
2.Hii chanjo ni ya majaribio na humans are test animals or Guinea
3.Technology inayotumika ni mpya kabisa na haijafanyiwa utafiti wa kutosha.
4.Wataalamu independent wame-prove kwamba hii sio vaccine, Microsoft Windows 666 mRNA Operating System na ina nia ovu ya kubadilisha DNA so as to lower the immune system na hivyo kuweza kupata magonjwa mengi.Hii ndio maana Powell alikufa.

Considering the above facts wewe ungechanjwa?
 
Shetani tena? Ulikutana naye wapi ukufanya naye mazungumzo na kujuzana kuwa hutuma watu.

Kwanini uliyetumwa naye usiwe wewe?

Mitaani hata ukimwi, kaswende, kifaduro, kipindu pindu nk navyo havipo.

Magonjwa hujui yaliko?

Nani kakwambia Salim anaugua Corona?

Soma mada kuelewa. Usirukie treni kwa mbele ni hatari kwa afya yako.
Shetani si ndiye anaye wafanye watu wafanye ujinga wa kila aina!
 
Tofautisha malaria na Corona.

Uliwahi kusikia neno Janga?

Uliwahi kusikia neno hilo likitumika kwenye malaria, kisonono, kaswende, degree, kifaduro au pangusa?
Acha kushikiliwa akili na mashoga wa west
 
Sijamtaja Shetani mkuu,soma comment yangu vizuri.

Comment yako iko appended below 😁😁:

IMG_20211022_160205_069.jpg
 
Alijitahidi wakati ilimuondoa? Badala ya kufuata science inasemaje yeye akafuata ujinga? Ulifurahishwa na Kabudi kunyweshwa Ile mikojo mbele ya camera ili kumfurahisha bwana mkubwa? BTW Ile stock ya Madagascar ipo wapi Kwa sasa? Iligawiwa vipi? Ilisambazwa vipi? Akina nani walitumia? Maana takwimu za Jensen tunapewa kila siku, ni vyema tupewe na takwimu ya Ile kitu ya Kabudi, maana ni Kodi zetu zilitumika kuifuata
Hata waliofuata sayansi inavyotaka wameondoka kwa COVID-19🦠😷
COVID-19🦠😷imeondoa watu wa kila aina, madaktari bingwa, maprofesa
 
Hata Iddi Amini, Hitler, Mussolini na wababe wengine wa kuvita kama kina General Farah Adid hufika wakati wakakumbukwa.

Kuna Ahmed Salim foundation imetoa mchango kumkumbuka mpendwa wao hatukujua alikuwa mhanga wa UVIKO kwa sababu yake.

Kuna pia wa kufanana naye huko Brazil atakuwa anapanda kizimbani karibuni kwa kama yake.

Ndiyo ulio msingi wa hoja.

Umekurupuka kutokea kilabu cha wapi mkuu?

Nawa angalau uso basi?
Kwani ulizuiwa kujikinga dhidi ya UVIKO?Acha kujifanya ulishikiwa akili na mtu.
 
Shetani si ndiye anaye wafanye watu wafanye ujinga wa kila aina!

Muda mfupi uliopita ulikataa kata kata kumtaja huyo mshirika wako kindaki ndaki.

Migambo mnaruka ruka na kukanyagana.

Ya shetani hayo yako mwaonekana kufahamiana vyema.
 
Back
Top Bottom