#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

Muda mfupi uliopita ulikataa kata kata kumtaja huyo mshirika wako kindaki ndaki.

Migambo mnaruka ruka na kukanyagana.

Ya shetani hayo yako mwaonekana kufahamiana vyema.
Tuzngumzie mambo ya msingi sio petty issues.
 
Nime revise comment.Yes nimemtaja kwa kuwa yeye ndiye anayefanya watu wafanye kila aina ya uovu.

You seem to lack internal coordination. Very poor IQ.

Hukumbuki ulichosema a minute ago!

Uko kilabu gani hapo?
 
Tofautisha malaria na Corona.

Uliwahi kusikia neno Janga?

Uliwahi kusikia neno hilo likitumika kwenye malaria, kisonono, kaswende, degree, kifaduro au pangusa?
kuna janga la ebola ulishawahi kusikia takwimu zake kila siku?.
Magonjwa ya mlipuko Yana kawaida ya kuja na kupotea ila sio Corona umeshakuwa ugonjwa wa kawaida na maisha yanaendelea utatoa takwimu Hadi lini?
 
kuna janga la ebola ulishawahi kusikia takwimu zake kila siku?.
Magonjwa ya mlipuko Yana kawaida ya kuja na kupotea ila sio Corona umeshakuwa ugonjwa wa kawaida na maisha yanaendelea utatoa takwimu Hadi lini?

Uko dunia ipi?

Huko tulishatoka. Sasa hivi ni utaratibu wa kulala mbele na waliopelekea vifo vya wasio na hatia.

Tulipo tuko vizuri maana chanjo tulishapata. Ya sasa mbona si mageni?

Corona: Orodha ya wahanga, sampuli
 
Hakikisha unahusisha vyema matumizi mazuri ya ubongo wako unapotoa mada

No wonder 😁😁!

IMG_20211022_162955_092.jpg
 
Hata waliofuata sayansi inavyotaka wameondoka kwa COVID-19🦠😷
COVID-19🦠😷imeondoa watu wa kila aina, madaktari bingwa, maprofesa

Ungemalizia kabisa mkuu:

".... sembuse wapiga nyungu, wana maombi, wabeza chanjo na wala matango pori?"

IMG-20210725-WA0007.jpg


Kwa hakika ungekuwa umejitendea haki zaidi mkuu.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Watu wengine lazima tu walete siasa ndio maana Tanzania ni miongoni mwa nchi ambao watu wake wana IQ ya chini sana duniani ni kwa sababu ya watu kama hawa, wao kulala kuamka ni vijembe vya siasa kisa wanalipiwa vocha. Very useless folks.
Umeloa!
 
Tushukuru Mungu huo ugonjwa haujawai kua serious kwenye hii nchi kama kwa wenzetu.hizo mambo za magufuli sijui lock down ni ujinga tu wakati hali halisi inajionyesha.Tutumie vichwa vyetu vizuri kufanya tafiti za maana kuliko kukalia tu kua kutokua na lock down ndo maana corona haikutusumbua sana.

How do you know?
 
Jana Bill Gates akiwa Uingereza amekumbana na umati mkubwa wa watu wakimzomea kuwa ni muuaji....

Itafika wakati hapa kwetu watu baadhi yao watashitakiwa

Mahakama za haki hazitawakosa wale waliokuwa waswahili kweri kweri.

Jair Bolsonaro ni mfano mzuri.

Mmoja mmoja hata kama walitangulia mbele za haki:

Hoja za Mawakili wa Serikali dhidi ya Adamoo

Ili upumbafu huu wa kucheza na maisha ya watu usije kujirudia tena.
 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.
Huyu ni marehemu na siyo hayati.
 
Back
Top Bottom