#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

Hujaona bandiko langu ila ni comments tu 😁😁.

Unajua hata unaongea nini?

Hiiiiii bagosha!

Ama kweli hujui hata tofauti maneno "bandiko" na "comments" unayoyatumia wewe mwenyewe?!

Kwamba ulikuwa awarded Ph.D? Hiyo si ya kwako? Nani kakwambia kuna mashindano ya CV hapa? Au umesikia kunatafutwa employment hapa?

The rest, you can honestly tell it to the birds.

Ninakazia:

Hiiiiii bagosha!
Comeon Brazaj you have just told me I have a low IQ,aren't you by saying that comparing yourself to me?How all of a sudden do you say we are not competing.Be serious Brazaj.
 
Kuhu
Hayo umesema wewe, lakini nikwambie hata walioweka lockdown wamekufa sana inawezekana ndo wamekufa wengi zaidi.

Uweke lock down nchi kama hii ambayo mtu asipotoka nyumbani hali, watu watakufa kwa njaa badala ya Covid.
Punguzeni kulaumu JPM hiyo lock down haikuwa na tija na wala haina tija ndio maana nchi nyingi zimeondoa lock down
Mimi pia siamini lockdown ilikuwa na tija katika kuzuia kusambaa kwa corona. Ninachopishana naye ni kuficha ukweli kuhusu maradhi na vifo vilivyotokana na ugonjwa huu na akaficha jina lake halisi kwa kuuita "changamoto ya upumuaji"
 
Comeon Brazaj you have just told me I have a low IQ,aren't you by saying that comparing yourself to me?How all of a sudden do you say we are not competing.Be serious Brazaj.

There're saying in Swahili which describe you right to the core:

"Debe tupu haliachi kuvuma."

"Simba mwenda kimya ndiye mla nyama."

"Hawavumi lakini wamo!"

Nota Bene:

JF is comprised all sorts of people. Useful to safeguard one's own problems.

Knowledge, ignorance, experience, exposure etc those are one's own problems.

Everyone has those to himself and to the very best.

Long live JF 😁😁.

Hiiiiii bagosha!
 
"Taharuki ya corona" unamaanisha nini?
Nina maana pana sana, mfano tu kuna muda tulifikia hadi watu wenye magonjwa hatari kama ya moyo walikuwa wanaogopa kwenda kwenye clinic zao kwa kuhofia kupata corona hadi Madoctor wakawa wanashangaa hao wagonjwa wanatibiwa wapi?
 
Kuhu

Mimi pia siamini lockdown ilikuwa na tija katika kuzuia kusambaa kwa corona. Ninachopishana naye ni kuficha ukweli kuhusu maradhi na vifo vilivyotokana na ugonjwa huu na akaficha jina lake halisi kwa kuuita "changamoto ya upumuaji"
Ile hali ya kila kifo kuhusishwa na corona ndio kitu ambacho ulikuwa unataka iwe? na huo kwako ndio ukweli ambao unaona Magu alikuwa akiuficha?

Nakumbuka Ummy mwalimu alipokuwa akitangaza vifo, utamsikia akisema "Marehemu alikuwa na maradhi mengine pia" Ilifika muda maradhi mengine yalipumzika kuwa chanzo cha vifo.
 
Kuhu

Mimi pia siamini lockdown ilikuwa na tija katika kuzuia kusambaa kwa corona. Ninachopishana naye ni kuficha ukweli kuhusu maradhi na vifo vilivyotokana na ugonjwa huu na akaficha jina lake halisi kwa kuuita "changamoto ya upumuaji"
Angeweka orodha ya waliokufa kwa Covid wewe ungenufaikaje na takwimu hiyo kama sio kutishana tu?

Kuna watanzania mnapoteza muda sana kwenye kufuatilia mambo yasiyo na ulazika, JPM alisema Covid ipo watu chukueni tahadhari lakini bado mnatafuta sababu oooh mbona hatangazi wanaokufa? Ivi vyombo vya habari kazi yake ni kutangaza vifo vya Covid tu??

Kazi ya Rais iwe ni kutisha watu tu? Sote tutakufa issue ni kutangulia tu
 
Magufuli na wale wasaidizi wake wote waliondoka kwasababu ya nini vile? ugonjwa wa moyo!.

Watu mna kumbukumbu ndogo sana, wenzenu wamezika ndugu zao sababu ya Corona, nyie mnasema simple tu; "hakuna Corona, ni uongo wa wazungu"
Kwanini Corona isiondoke na ndugu zao wanaolala na kula pamoja na ikaondoa Magufuli na wasaidizi wake tu?Yaani Magufuli awe hatarini sana kuliko ndugu wa wasaidiz wake?
 
Back
Top Bottom