#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

Hata Amne (RIP) watakuwa wamemsingizia tu hajafa kwa Corona.

Corona haipo.

Ila ngoja tunyooshe jinga moja moja. Tutaelewana mbele kwa mbele.
Jibu hoja acha mihemko
 
Mimi najua alifariki kwa tatizo la moyo.
We mjuaji tuambie Rais wetu alifariki kwa sababu gani unayoijua wewe

Si nishakuambia au unataka nitoe sababu gani zaidi ya niliyoisema ambapo wee unaipinga? Inaonekana kichwa chako kimejaa matope kisichoelewa wala kuwa na kumbukumbu!!
 
Jibu hoja acha mihemko

Kwenye red ni unachoita hoja.

Kwenye kijani ni majibu yake taslimu.

Kwenye purple tayari Jair Bolsonaro keshaingia kwenye 18 za wanaume 😁😁.

IMG_20211023_094112_713.jpg


Kipi huelewi?

Mwenye mihemko ni wewe. Wacha hiyo haikusaidii.

Hiiiiii bagosha!
 
Kwenye red ni unachoita hoja.

Kwenye kijani ni majibu yake taslimu.

Kwenye purple tayari Jair Bolsonaro keshaingia kwenye 18 za wanaume [emoji16][emoji16].

View attachment 1983935

Kipi huelewi?

Mwenye mihemko ni wewe. Wacha hiyo haikusaidii.

Hiiiiii bagosha!
Kwahiyo hicho ulichobold ndio majibu ya hoja Corona haipo?Kwahiyo hivo vifo walivyosema ni Corona kweli ni Corona na inatakiwa iwe hivo?Vipi now wameacha kufa Corona?
 
JMP aliondoka na Corona pasee hiyo no wazi haina kificho
 
Inawezekana vipi mkewe na watu waliokaribu yake hawakuambukizwa naye?

Kwani ni lazima waambukizwe au waugue serious na pengine wafe? Umeshikiwa akili zako na Gwajima ee...!?
Unataka kusema wewe hujawahi kuwa karibu au kukutana na wagonjwa wa corona?? Je uliambukizwa, na kama uliambukizwa ni kwa kiwango uliuugua..!?
 
Kwani ni lazima waambukizwe au waugue serious na pengine wafe? Umeshikiwa akili zako na Gwajima ee...!?
Unataka kusema wewe hujawahi kuwa karibu au kukutana na wagonjwa wa corona?? Je uliambukizwa, na kama uliambukizwa ni kwa kiwango uliuugua..!?
Unaelewa kwanini kuna social distancing?Unaelewa kwanini wagonjwa wa Corona hutibiwa kwa wauguzi kuvaa mavazi maalum?Au Corona ya bongo ni tofaut na tunayooneshwa huko MAGHARIBI?
 
Inawezekana vipi mkewe na watu waliokaribu yake hawakuambukizwa naye?

Kwani ukiambukizwa lazima ufe?

Au ukiambukizwa lazima useme?

Mbona Amne tunakuja kujua mwaka mmoja baadaye?
 
Kwani ukiambukizwa lazima ufe?

Au ukiambukizwa lazima useme?

Mbona Amne tunakuja kujua mwaka mmoja baadaye?
Kwahiyo family ya Magufuli iliambukizwa na haikujulikana?Na inawezekana vipi kwa ugonjwa hatari sana kama Corona kuwe na kificho?Umekazania Habari za Anna,una uhakika ni kweli alikufa Corona au ni Propaganda za kutisha watu wasalim amri ktk Corona?
 
Back
Top Bottom