#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

#COVID19 Hayati Magufuli alificha taarifa ya Vifo vya Corona at our Risk

Kwani ni lazima waambukizwe au waugue serious na pengine wafe? Umeshikiwa akili zako na Gwajima ee...!?
Unataka kusema wewe hujawahi kuwa karibu au kukutana na wagonjwa wa corona?? Je uliambukizwa, na kama uliambukizwa ni kwa kiwango uliuugua..!?

Kagua masikio yake. Kama makavu bora achana naye tu, labda kama una mpango wa kutafuta damu japo ya kunyunyizia 😁😁.
 
Kwahiyo family ya Magufuli iliambukizwa na haikujulikana?Na inawezekana vipi kwa ugonjwa hatari sana kama Corona kuwe na kificho?Umekazania Habari za Anna,una uhakika ni kweli alikufa Corona au ni Propaganda za kutisha watu wasalim amri ktk Corona?

Anna ndiyo nani?

Kama ni Amne rejea kwenye mada kujua msingi wa hoja kumbe umerukia treni kwa mbele tu?

Hiiiiii bagosha!
 
Chako ni kipaji [emoji16][emoji16]
Magufuli kafa Corona, inawezekana vipi mke na family waliokaribu hawakupata na tuliowaona msibani wako safi tu?We unaleta blah blah
 
Hizi ni baadhi ya nyuzi zetu JF baada ya awamu ya tano kuhusiana na ugonjwa huu:

1.Yanayotukonga nyoyo zetu kutoka kwa Rais Samia Suluhu

2.Corona: EU Yafungua Milango kwa Wageni hali Inapotengamaa

3.Chanjo ni dhidi ya Waafrika? Namba Hazidanganyi!

4.Kwanini kama Taifa Corona ni tishio kubwa?

5.Corona: Kama Taifa, inafurahisha Busara inapoendelea kutamalaki

Hisia zako zina makengeza mkuu?

Si mbaya kujifunza ku search. Itakusaidia kuacha kuandika unaoweza kuonekana kuwa ni utopolo.

Ziko nyingi za kumwaga.

Hiiiiii bagosha!
siongelei nyuzi za Jf ww katika maoni yako hapo juu umeeka makala ya zitto kuhus korona je baada ya kukubali chanjo umemsikia huyo zitto akipongeza hatua ya serikali?
hiyo ndo maana yangu na km jibu ni ndio tupe link ya hiyo makala
 
Unaelewa kwanini kuna social distancing?Unaelewa kwanini wagonjwa wa Corona hutibiwa kwa wauguzi kuvaa mavazi maalum?Au Corona ya bongo ni tofaut na tunayooneshwa huko MAGHARIBI?

Wewe hayo yote unafanya hadi hivi sasa? Ikiwemo social distancing?
Nimekuuliza maswali rahisi tu, lakini unambwela tu! Hovyo kabisa hiyo brain yako...
 
Wewe hayo yote unafanya hadi hivi sasa? Ikiwemo social distancing?
Nimekuuliza maswali rahisi tu, lakini unambwela tu! Hovyo kabisa hiyo brain yako...
Sijawahi fanya na sijawahi dhurika coz HAKUNA CORONA. Ingekuwepo ngekua nimekufa kitambo sana maana mazingira nayoishi ni rahisi 100% kupata Corona.
 
Salim Ahmed Salim foundation imetoa mchango wa 100m/- MUHAS kuunga mkono jitihada dhidi ya UVIKO-19.

Hatua ya kupongezwa kabisa yenye kustahili kuungwa mkono bila kujali nani haoni umuhimu huo.

Hata hivyo wakfu huo wamesema walisukumwa kutoa pesa hizo katika kuyaenzi maisha ya marehemu mke wa Waziri Mkuu mstaafu huyu, ambaye alifariki 20 Oct 2020 kwa ugonjwa hatari wa UVIKO.




Hayati Magufuli kwa wakati huo Rais wa JMT kumbe alijua akamuombea ila akaendelea kudai hakukuwa na Corona nchini.


Roho ngumu kabisa za binadamu zenye kustahili kuangaliwa vinasaba vyake.

Ni lini Magufuli alisema hakuna korona?
Kwa kumbukumbu zangu alisema ipo na tuishi nayo!
Alijitahidi sana kihusu korona ndio maana hatujali na tunadunda tu!
 
siongelei nyuzi za Jf ww katika maoni yako hapo juu umeeka makala ya zitto kuhus korona je baada ya kukubali chanjo umemsikia huyo zitto akipongeza hatua ya serikali?
hiyo ndo maana yangu na km jibu ni ndio tupe link ya hiyo makala

Kwenye purple ni bandiko lako:

IMG_20211023_110925_752.jpg


Tuote vipi unachotaka wewe usichokiandika? Kama unamwulizia Zitto mfuate ACT.

Kweli wewe kwenye ile cadre ni Fungakazi 😁😁:

IMG_20211023_110845_377.jpg


Miaka 10 ya kazi 😁😁.

Nakazia:

"Miaka 10 ya kazi hata msingi huna, aaaeeeh!" - alisikika mwanamuziki mmoja nguli.
 
Sijawahi fanya na sijawahi dhurika coz HAKUNA CORONA. Ingekuwepo ngekua nimekufa kitambo sana maana mazingira nayoishi ni rahisi 100% kupata Corona.

Wee jamaa kumbe kilaza hivyo? Yaani unavyojichanganya inadhihirisha akili zako ni mbovu mahali!
Hao wagonjwa wa corona uliwasema kwenye hii comment yako wapo dunia gani?
Hiyo social distancing uliyoitaja ni ya dunia ipi?
Hao wauguzi wanaovaa mavazi maalum kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wa corona uliowataja wanahudumia dunia ipi ambayo wewe unasema hakuna corona?
IMG_8105.jpg

Angalia maelezo yako yanavyopingana....!!
Akili zako kazikamata Gwajima, kichwa kimebaki behewa tu!
 
Ni lini Magufuli alisema hakuna korona?
Kwa kumbukumbu zangu alisema ipo na tuishi nayo!
Alijitahidi sana kihusu korona ndio maana hatujali na tunadunda tu!

Mambio ya sakafuni ya nini bro? Tulia, pole pole, utaishia ukingoni 😁😁:

IMG_20211023_094112_713.jpg


Hapo ni wenzio wafuasi kindaki ndaki wa shujaa wako. Hawana noma wala nini.

Hiiiiii bagosha!

Au nasema uongo ndugu MISULI?
 
Wee jamaa kumbe kilaza hivyo? Yaani unavyojichanganya inadhihirisha akili zako ni mbovu mahali!
Hao wagonjwa wa corona uliwasema kwenye hii comment yako wapo dunia gani?
Hiyo social distancing uliyoitaja ni ya dunia ipi?
Hao wauguzi wanaovaa mavazi maalum kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wa corona uliowataja wanahudumia dunia ipi ambayo wewe unasema hakuna corona?
View attachment 1984032
Angalia maelezo yako yanavyopingana....!!
Akili zako kazikamata Gwajima, kichwa kimebaki behewa tu!
Inatakiwa uwe unajibu nachokuuliza uone ulivyo empty.
 
Kwenye purple ni bandiko lako:

View attachment 1984027

Tuote vipi unachotaka wewe usichokiandika? Kama unamwulizia Zitto mfuate ACT.

Kweli wewe kwenye ile cadre ni Fungakazi 😁😁:

View attachment 1984028

Miaka 10 ya kazi 😁😁.

Nakazia:

"Miaka 10 ya kazi hata msingi huna, aaaeeeh!" - alisikika mwanamuziki mmoja nguli.
😀😀hii kwangu sio kazi mkuu ni mitandao ya kijamii nnayoitumia kurefresh mind nnapokuwa free kwa kubadilishana mawazo na watu tofauti siingizi hata mia huku, the same me nnaeza pitisha mwaka sijagusa fb wala insta unless its about the money sinaga muda wa kupoteza
sina ushamba wa teknolojia
 
Mleta mada siku zote nilishakwambia wewe ni kapumbavu!

Haya Magu hayupo, niambie kipi cha tofauti kilichofanyika baada ya Magu kufariki ambacho kimesababisha corona kuondoka?
Na ajue mapambano makali dhidi ya korona ni kipindi Cha JPM

Shule zilifungwa

Matumizi ya Maji, sanitaiza, vilisimamiwa kwa nguvu kwenye taasisi

Mikutano, kumbi za burudani, michezo alizuia

Elimu dhidi ya korona ilitolewa kwa bidii

Vipimo vya korona vilifanyika

MUNGU anayetulinda hadi sasa dhidi ya makali ya covid aliletwa na JPM
 
Wenzio akina nani?Mimi niko peke yangu na inatakiwa uwe unajibu nachouliza

Niwe najibu unachouliza siyo😁😁? Najua uko peke yako? Wenzako na wewe unawasoma wapi?

Hivi kumbe Kiswahili ni kigumu hivyo?
 
Back
Top Bottom