kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Kuna watu huku JF ukitaja JPM wanakosa raha na wanafanya kila liwezekanalo ili wazime nyota yake.
Ila sipo uko
Kipindi cha JPM watanzania tulitembea kifua mbele sana.
JPM alifanya Tanzania tujulikane nje ya Tanzania sana kwa wale ambao wanatembea sana katika nchi nyingine watakubaliana na mimi ila kwa wabishi watabisha.
Kuna siku mwalimu wangu wa shule huku Canada alifanya reaction ya video za JPM ndani ya darasa sijui alimuona wapi yeye alikuja ndani ya darasa kabla ya kuanza kufundisha akaweka video ya JPM ile video yake ambayo alikuwa anapiga ngoma.
Halafu akatuhuliza eti amesikia huyu (JPM) ni raisi lakini alikuwa hajui ni wa nchi gani, wanafunzi wenzangu wakajibu na kusema ni Rais wa Tanzania kwao na akina wakataja jina langu.
Nilivimba ndani ya darasa wanafunzi wote wakaanza kusema il est meilleur président africain (yaani ni Rais bora Afrika)
Halafu mwalimu wangu akasema nimependa uchangamfu wake sana
Siyo hivyo tu kipindi cha JPM kila mtu alikuwa anajua Tanzania kwa style yake.
Tulikuwa tukisema nimetoka Tanzania utasikia wanasema kwa Magufuli
Wengine kwa yule Rais aliyekataa kufunga mipaka yake
Kama ninyi ni wafuatiliaji wazuri wa mitandao ya kijamii South Africa kuna comedian fulani hivi alikuwa anahojiwa kwa bahati mbaya alitaja jina la JPM vibaya alitukanwa na watu kwenye comment.
Nakumbuka kuna mtandao mmoja wa Ghana ulipost picha ya JPM halafu wakaandika maneno haya JPM Rais mpendwa zaidi Africa comment zilishuka apo mpaka raha.
Ukuu wa JPM uko nje ya Tanzania.
Sasa hivi nchi imepoa kama ugali wa muhogo, tulikuwa tumeshazoea matukio na vimbwanga vya mwanaume wa shoka.
Ila sipo uko
Kipindi cha JPM watanzania tulitembea kifua mbele sana.
JPM alifanya Tanzania tujulikane nje ya Tanzania sana kwa wale ambao wanatembea sana katika nchi nyingine watakubaliana na mimi ila kwa wabishi watabisha.
Kuna siku mwalimu wangu wa shule huku Canada alifanya reaction ya video za JPM ndani ya darasa sijui alimuona wapi yeye alikuja ndani ya darasa kabla ya kuanza kufundisha akaweka video ya JPM ile video yake ambayo alikuwa anapiga ngoma.
Halafu akatuhuliza eti amesikia huyu (JPM) ni raisi lakini alikuwa hajui ni wa nchi gani, wanafunzi wenzangu wakajibu na kusema ni Rais wa Tanzania kwao na akina wakataja jina langu.
Nilivimba ndani ya darasa wanafunzi wote wakaanza kusema il est meilleur président africain (yaani ni Rais bora Afrika)
Halafu mwalimu wangu akasema nimependa uchangamfu wake sana
Siyo hivyo tu kipindi cha JPM kila mtu alikuwa anajua Tanzania kwa style yake.
Tulikuwa tukisema nimetoka Tanzania utasikia wanasema kwa Magufuli
Wengine kwa yule Rais aliyekataa kufunga mipaka yake
Kama ninyi ni wafuatiliaji wazuri wa mitandao ya kijamii South Africa kuna comedian fulani hivi alikuwa anahojiwa kwa bahati mbaya alitaja jina la JPM vibaya alitukanwa na watu kwenye comment.
Nakumbuka kuna mtandao mmoja wa Ghana ulipost picha ya JPM halafu wakaandika maneno haya JPM Rais mpendwa zaidi Africa comment zilishuka apo mpaka raha.
Ukuu wa JPM uko nje ya Tanzania.
Sasa hivi nchi imepoa kama ugali wa muhogo, tulikuwa tumeshazoea matukio na vimbwanga vya mwanaume wa shoka.