Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukabila wake basi,ukanda wake basi,uchama wake basi pole sana.Wanamageuzi huwa hawafi ndugu, mawazo yao yanaishi milele. Alikotutoa Hayati haturudi kamwe, ndio imeshatoka hiyo, tutahakikisha hivyo mpaka tone letu la mwisho la damu. Kama unadhani sadaka ya damu yake kwa taifa hili imeenda bure pole sana.
Kwani vyeti feki si wamerudishwa kazini?Ukiwa mwovu sana, Dunia yote itakufahamu.
Kuna mtu hapa Tanzania ambaye hajawahi kuwasikia PANYAROAD?
Mu7 alisema hii makufuli imekufa kizembe Sana hii sio ugonjwa ya kuua mutu kama yeyeHuyu alikuwa mwanaume kweli wa africa. Kila kiongozi wa africa alitamani kuja kuonana nae. Viongozi walikuwa wanamfuata hadi chato.
Nakumbuka Kenyatta alisema nimekuja huku chato ukiwa likizo ili nipate muda mzuri na wewe.
Rais Magufuli hakufa kwa ugonjwaMu7 alisema hii makufuli imekufa kizembe Sana hii sio ugonjwa ya kuua mutu kama yeye
Alikufa kwa nn?Rais Magufuli hakufa kwa ugonjw
Muulize Lisu anajua, yeye ndio alikua wa kwanza kutangaza huko twitter kua Rais wetu kafa. Alisema kahakikishiwa hilo na source zake za marekaniAlikufa kwa nn?