Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kabudi kasema ila wakesahau kutaja kuwa alipiga kampeni kwa kutumia baiskeliNasikia TBC wanatangaza kwamba alianza safari ya kisiasa mwaka 1995 ambapo alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi.
Sijui kwanini wanakwepa kusema ukweli, kuwa mwaka 1990 aligombea Ubunge katika Jimbo tajwa hapo juu na kushindwa!
Mawazo potofuAlama ya risasi 16 mwilini mwa Tundu Lissu ni kubwa sn mkuu
Labda alama ya genge la wasiojulikanaKaacha alama nchini tumuache apumzike sasa
DAS wa morogoro mjini ni mtoto wakeAna watoto 7, HAKUNA aliye kwenye utumishi wa umma
Kwa mujibu wa wasifu uliosomwa leo ana watoto saba...Taarifa sahihi ya watoto wa Mhe. JPM haijawahi kuwekwa wazi na pia yeye akupenda kuingiza familia yake kwenye majukumu yake. Hadi Sasa ni vigumu kujua idadi ya watoto, majina yao pamoja na kazi wanaofanya.
Nichukue fursa hii kuhoji historia ya familia hii kwa kutaka kujua ina ukubwa gani na je familia ya mke mmoja au mke zaidi ya mmoja? Haya ni Mambo muhimu kwa jamii kujua ili kuiga nakufuata Yale yanayoonekana yanafaa
Magufuli kwenye msiba wa Masaburi alikanusha pale pale kwamba masaburi hana mke mmoja bali ana mke zaidi ya mmoja. Hakuwa mtu wa kuficha ficha taarifa.Mwacheni mzee wa watu apumzike jamani kama alifanya Siri iweje akiwa hayupo duniani mjaribu kupekenyua pekenyua ya sirini?
Asante kwa kunisahisha mkuu!!Ruth sio Jessica
Kivipi mkuu?Mawazo potofu
Ramli ......Walikuwa wanakutaarifu hivyo? Ukawasaidiaje Sasa ili wapate furaha?Naamini watoto wake pamoja na baba yao kuwa ndani ya serikali kwa muda wote hawajawahi kuwa na furaha na baba yao kwasababu ya ubabe wa dingi, hakuna furaha kwakuwa hakuna amani.
Upo kitengo gani hapo mbinguni?Yangu na yako zote zimetazama chini, na sote tutakwenda swali ni kwamba utaacha alama gani positive au negative, mwamba amesepa grafu ikiwa negative.
Huyu alikuwa mwizi,alizuia wengine wasiibe,aibe yeye,Taarifa sahihi ya watoto wa Mhe. JPM haijawahi kuwekwa wazi na pia yeye akupenda kuingiza familia yake kwenye majukumu yake. Hadi Sasa ni vigumu kujua idadi ya watoto, majina yao pamoja na kazi wanaofanya.
Nichukue fursa hii kuhoji historia ya familia hii kwa kutaka kujua ina ukubwa gani na je familia ya mke mmoja au mke zaidi ya mmoja? Haya ni Mambo muhimu kwa jamii kujua ili kuiga nakufuata Yale yanayoonekana yanafaa
Magufuli alikuwa first year UDSM 1985Kama ni uongo leta ukweli ww. Magufuli aligombea ubunge 1985 akashindwa na Kabuye na hali ilikuwa hivyo hivyo 1990. Aliukwaa ubunge mwaka 1995 baada ya jimbo la Biharamulo kugawanywa na kuwa mawili. Vinginevyo alikuwa hatoboi kwa Phares Kabuye
Unapenda au hupendi?Jiwe kaacha watoto 7 na wajukuu 10,ujue wasukuma wanapenda Sana kuzaana kama kuku ndo maana kanda ya ziwa ina watu wengi
Mama mmoja??Umeambiwa ana watoto 7 na wajukuu 10 bado tu huelewi
Wewe Upo sahihi maana 1985 alikuwa first year UDSM. Sijaambiwa na mtu bali Jicho langu1985 Kabuye aligombea na mtu aliyeitwa Josephat Rutabuza Mulyakazi sio JPM