figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China na mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.
Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.
Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu
Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.
Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.
Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.
Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.
Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.
Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China na mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.
Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.
Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu
Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.
Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.
Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.
Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.
Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.