Hayati Magufuli alijiona kama Baba wa Taifa na next to none

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China na mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.

Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.


Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu

Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.

Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.

Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.

Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.

Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.
 
Kuna watu humu wanaamini wasipoanzisha uzi wa kumkandia Magufuli hawatapata replies za kutosha, ndo maana ili uwe maarufu humu we mkandie Magufuli tu

Lakini wenye hekima hufahamu kuwa "kitanda kinacholia ndiyo kibovu"
 
Baba wa taifa la chato, sawa na sio vinginevyo.
 
Mada kama hii, kwa watu kama mkuu 'figga100' nisingetegemea ndiye awe mwanzilishi wake.

Sasa usije ukadhani ninamtetea anayezungumziwa; ila nadhani ingependeza zaidi, picha ya anayesifiwa pia ionekane sambamba na huyo anayesemwa kwenye mada.

Mkuu 'figga100', sikutegemea nawe ungekuwa ni mlamba aslai kiasi cha kukosa soni kiasi hiki.
 
Duuuh sitii neno acha niangalie comments za wazee wa legacy!!
 

mtimawachi kuna wito wa kitume huku
 
Ni mwaka wa 2 huu toka jamaa aondoke ila bado kutwa kumnanga tu ....ina maana matatizo yote ya hii nchi aliyaleta yeye na ameondoka nayo ?.....

Tuendelee kujenga taifa na kukabili changamoto zilizopo, ndio muhimu kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…