Hayati Magufuli alikamata kila mwenye akili ya kuhoji, alitaka kuongoza nchi ya Wajinga tu, Hata hivyo ilishindikana

Mbowe kafanikiwa kuwalisha limbwata.

Mwaka wa 50 huu ni mwenyekiti wenu na hakuna mwenye guts za kumuuliza lini atastep down.

Wote mpo kimya mnamuita mwamba.
Nje ya mada
 
Una tatizo kwenye hilo dish lako, leo ni mada ngapi umeanzisha za kumkashifu hayati jpm?!, kwa jibs ulivyompumbavu huoni hata mchango ya wajumbe inakutukana!?. Una fikra mbirikimo na akili zenye matege.
 
Una tatizo kwenye hilo dish lako, leo ni mada ngapi umeanzisha za kumkashifu hayati jpm?!, kwa jibs ulivyompumbavu huoni hata mchango ya wajumbe inakutukana!?. Una fikra mbirikimo na akili zenye matege.
Usilie , ndio kwanza tunaanza
 
Na nyie wekeni mbo yenuachafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…