Hayati Magufuli alikataza maji na umeme kukatika

Hayati Magufuli alikataza maji na umeme kukatika

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Pamoja na mvua kunyesha maeneo ya Pwani bado maeneo mengi hakuna maji; it's like kuna mgao zaidi ya mwezi sasa. Ila magari yakuuza maji yanaongezeka mjini that means wapo watu wanahujumu juhudi za serikali kusambaza maji ili wao wauze maji.

Matokeo yake ni haya kila siku Bomba limepasuka , mgawo nk.

Mdogo wangu Jumaa Awesu hii migawo ikutoe ofisini uende field ukaangalie hizi hujuma zinatokana na nn? Na sasa hivi kutangaza Kwa umma kukatika Kwa maji hakuna.....kimya kimya
 
kuna baadhi ya watendaji ambao sio waaminifu wanaihujumu Serikali ya awamu hii ya 6, hao virusi wanapaswa wasafishwe vinginevyo lengo lao ni kuwacjongamisha wananchi na Serikali Yao, lengo ni wananchi waichukie Serikali.
 
kuna baadhi ya watendaji ambao sio waaminifu wanaihujumu Serikali ya awamu hii ya 6, hao virusi wanapaswa wasafishwe vinginevyo lengo lao ni kuwacjongamisha wananchi na Serikali Yao, lengo ni wananchi waichukie Serikali.
Hao virus ni wao wenyewe.
Mara baada ya kuwa Waziri wa Nishati,Mh. Makamba alisema wanakarabati mitambo ambayo ilikua haijakarabatiwa kwa muda mrefu hivyo shida ya kukatika umeme ikaanzia hapo
Kutoka hapo akawa anakuja na sababu kila mara hapo nani wa kusema awamu ya 6 inahujumiwa zaidi ya wao wenyewe awamu ya 6 kujihujumu.
 
Pamoja na mvua kunyesha maeneo ya Pwani bado maeneo mengi hakuna maji; it's like kuna mgao zaidi ya mwezi sasa. Ila magari yakuuza maji yanaongezeka mjini that means wapo watu wanahujumu juhudi za serikali kusambaza maji ili wao wauze maji.

Matokeo yake ni haya kila siku Bomba limepasuka , mgawo nk.

Mdogo wangu Jumaa Awesu hii migawo ikutoe ofisini uende field ukaangalie hizi hujuma zinatokana na nn? Na sasa hivi kutangaza Kwa umma kukatika Kwa maji hakuna.....kimya kimya
Tumechoka na nyinyi waabudu maiti!! Kila kitu Magufuli alisema, mara angekuwako Magufuli!! Hamna lolote ni ujinga mtupu mnaendekeza.

Huyo Magufuli alikuwapo na maji yalikatika vilevile, hata umeme ulikatika. Acheni kuabudu ujinga
 
Tumechoka na nyinyi waabudu maiti!! Kila kitu Magufuli alisema, mara angekuwako Magufuli!! Hamna lolote ni ujinga mtupu mnaendekeza.

Huyo Magufuli alikuwapo na maji yalikatika vilevile, hata umeme ulikatika. Acheni kuabudu ujinga
Umeandika ujinga aisee
 
kuna baadhi ya watendaji ambao sio waaminifu wanaihujumu Serikali ya awamu hii ya 6, hao virusi wanapaswa wasafishwe vinginevyo lengo lao ni kuwacjongamisha wananchi na Serikali Yao, lengo ni wananchi waichukie Serikali.
Hao watendaji huwa wapo siku zote yawezezekana hata we ni mmojawapo. Huwa inategemea uwezo wa aliyepo juu. Ukiwa dhaifu ndio kama hivyo.

Na hao ndio kila siku wanaimba nyimbo za kumponda Magu mbele ya huyu bibi huku ye anafurahia akiambiwa anaupiga mwingi.
 
Yan siku hizi dawasa kila siku ni kukata maji,mbezi malamba mawili,king'azi,kwembe wiki sasa maji hamna na ndiko kilipo kisima kikubwa cha maji kilichozinduliwa na magufuli@
 
Tumechoka na nyinyi waabudu maiti!! Kila kitu Magufuli alisema, mara angekuwako Magufuli!! Hamna lolote ni ujinga mtupu mnaendekeza.

Huyo Magufuli alikuwapo na maji yalikatika vilevile, hata umeme ulikatika. Acheni kuabudu ujinga
Wewe kweli kilaza kisa wewe unapata umeme na maji toka Ikulu ndio unataka kunyamazisha watu! Wapi ambapo muanzisha uzi amemtaja Magufuli!? Hebu onesha alipotajwa.
 
Pamoja na mvua kunyesha maeneo ya Pwani bado maeneo mengi hakuna maji; it's like kuna mgao zaidi ya mwezi sasa. Ila magari yakuuza maji yanaongezeka mjini that means wapo watu wanahujumu juhudi za serikali kusambaza maji ili wao wauze maji.

Matokeo yake ni haya kila siku Bomba limepasuka , mgawo nk.

Mdogo wangu Jumaa Awesu hii migawo ikutoe ofisini uende field ukaangalie hizi hujuma zinatokana na nn? Na sasa hivi kutangaza Kwa umma kukatika Kwa maji hakuna.....kimya kimya
Nendeni mkadanganye watoto wenu na wazazi wenu. Nyie ndiyo misukule ya yule Bwana wa Chato, mkumuita Mheshimiwa mungu??

Magufuli alikuwa na uwezo gani wa kukataza maji au umeme usikatike? Hii ni kufuru tu sawa na Aggrrey Mwanri akiwa RC wa Tabora alivyosema Mungu amshukuru Magufuli kwa kazi anayotenda.

Hivi ni kweli mwaka 2015-21 maji na umeme havikukatika?

Wekeni hoja zenye mashiko tutaunga mkono lakini mkiandika UTOPOLO kama huu lazima tuwazodoe
 
Pamoja na mvua kunyesha maeneo ya Pwani bado maeneo mengi hakuna maji; it's like kuna mgao zaidi ya mwezi sasa. Ila magari yakuuza maji yanaongezeka mjini that means wapo watu wanahujumu juhudi za serikali kusambaza maji ili wao wauze maji.

Matokeo yake ni haya kila siku Bomba limepasuka , mgawo nk.

Mdogo wangu Jumaa Awesu hii migawo ikutoe ofisini uende field ukaangalie hizi hujuma zinatokana na nn? Na sasa hivi kutangaza Kwa umma kukatika Kwa maji hakuna.....kimya kimya
Kati ya mawaziri kuwahi kutokea ni Makamba na Aweso na wote wanatoka Tanga
 
Wewe kweli kilaza kisa wewe unapata umeme na maji toka Ikulu ndio unataka kunyamazisha watu! Wapi ambapo muanzisha uzi amemtaja Magufuli!? Hebu onesha alipotajwa.
Maadui wa Samia ni wanufaika wa Magufuli na mfumo wake, ambao hawana nafasi tena. Kila kitu wana exaggerate kulinganisha na Magufuli. Hata wasopomtaja Magufuli kama una akili zinafanya kazi sawa sawa utajuwa wanamaanisha yeye.
 
Pamoja na mvua kunyesha maeneo ya Pwani bado maeneo mengi hakuna maji; it's like kuna mgao zaidi ya mwezi sasa. Ila magari yakuuza maji yanaongezeka mjini that means wapo watu wanahujumu juhudi za serikali kusambaza maji ili wao wauze maji.

Matokeo yake ni haya kila siku Bomba limepasuka , mgawo nk.

Mdogo wangu Jumaa Awesu hii migawo ikutoe ofisini uende field ukaangalie hizi hujuma zinatokana na nn? Na sasa hivi kutangaza Kwa umma kukatika Kwa maji hakuna.....kimya kimya
Kwa hiyo alimaliza tatizo la maji Tanzania au? Kwamba Kila sehemu Kuna maji? 🤪🤪
 
Back
Top Bottom