Mama anaponya nchi ..walamba asali wamebaki na masega kabisaHatuna kiongozi shupavu, mkali aisependa utani ndio maana sasa hiv tunachezewa Sana na Tena unakuta wanatoa sababu za kitoto cos wanajua hawawezi kuwajibishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama anaponya nchi ..walamba asali wamebaki na masega kabisaHatuna kiongozi shupavu, mkali aisependa utani ndio maana sasa hiv tunachezewa Sana na Tena unakuta wanatoa sababu za kitoto cos wanajua hawawezi kuwajibishwa
Hujui kitu wewe unasikitisha sanaTumechoka na nyinyi waabudu maiti!! Kila kitu Magufuli alisema, mara angekuwako Magufuli!! Hamna lolote ni ujinga mtupu mnaendekeza.
Huyo Magufuli alikuwapo na maji yalikatika vilevile, hata umeme ulikatika. Acheni kuabudu ujinga
Wewe unajuwa nini? Kumuabudu Mwendazake tu ndiyo ujinga wenuHujui kitu wewe unasikitisha sana