Nasikitika sana!
Mimi ni kijana mmoja wapo kati ya vijana wengi walioharibiwa maisha yao!
Siku zote ukweli hujitenga na uongo, sisemi uongo utawala wote wa awamu ya tano nimehangaika sana.
Nilihitimu chuo 2015 kada ya afya!
Kutokana na uhaba wa ajira nilikaa sana kitaa nikifanya mishe mishe mpaka nikaamua kwenda kuomba kufundisha shule ya private kwakuwa nilikua ninaufaulu mzuri wa masomo ya physics na hesabu, japo mshahara ulikuwa kiduchu lakini niliendelea kukomaa.
Nimefanya kazi pale baadae ukatoka waraka kuwa shule zote zifundishwe na walimu proffesionally sisi hatutakiwi! Mkurugenzi wa shule alinishauri nikasomee ualimu nikirudi atanipa nafasi tena, sikuamua kufanya hivyo kwakuwa tayari nilikua nina fani ya Afya na ugumu wa ajira ndio ulionileta hapo! Baasi nikapewa barua ya kuachishwa kazi, tulikua wawili wote tuliachishwa kazi kwa kigezo hicho kilichotoka Serikalini!
Nilikaaa bila ramani na baada ya muda nilijikita kwenye mambo ya habari nilifungua blog baada ya kuvutiwa na blog ya jamaa yangu aliyekua anavuta hela kupitia blog yake!
Kweli nilijitahidi sana mpaka nilianza kupata matangazo nakumbuka tangazo la kwanza kabisa nilipewa kutangaza ibada za hija na kanisa flani hivi, na tangazo la pili nilipewa kutangaza cables na dawa za mitishamba kupitia blog yangu!
Kiasi flani nilikua napata pata pesa japo zilikuwa kidogo.
Sikuchukua muda sana Serikali ya awamu ya tano ikazuia kuchapisha maudhui bila leseni na leseni ilikuwa mpaka 3M. Hapo ndo ukawa mwisho wa blog yangu nikajielekeza pengine kutafuta kipato!
Kiufupi ni kuwa mitego yangu yote awamu ya tano iligoma! JPM ametuharibia maisha wengi.
Nashukuru kwa sasa naendelea vizuri na ajira za mama nimebahatika hivyo naanza maisha upya.
Asante SSH, wakumbuke vijana wengi wanaishi maisha ya shida sana.
Mimi ni kijana mmoja wapo kati ya vijana wengi walioharibiwa maisha yao!
Siku zote ukweli hujitenga na uongo, sisemi uongo utawala wote wa awamu ya tano nimehangaika sana.
Nilihitimu chuo 2015 kada ya afya!
Kutokana na uhaba wa ajira nilikaa sana kitaa nikifanya mishe mishe mpaka nikaamua kwenda kuomba kufundisha shule ya private kwakuwa nilikua ninaufaulu mzuri wa masomo ya physics na hesabu, japo mshahara ulikuwa kiduchu lakini niliendelea kukomaa.
Nimefanya kazi pale baadae ukatoka waraka kuwa shule zote zifundishwe na walimu proffesionally sisi hatutakiwi! Mkurugenzi wa shule alinishauri nikasomee ualimu nikirudi atanipa nafasi tena, sikuamua kufanya hivyo kwakuwa tayari nilikua nina fani ya Afya na ugumu wa ajira ndio ulionileta hapo! Baasi nikapewa barua ya kuachishwa kazi, tulikua wawili wote tuliachishwa kazi kwa kigezo hicho kilichotoka Serikalini!
Nilikaaa bila ramani na baada ya muda nilijikita kwenye mambo ya habari nilifungua blog baada ya kuvutiwa na blog ya jamaa yangu aliyekua anavuta hela kupitia blog yake!
Kweli nilijitahidi sana mpaka nilianza kupata matangazo nakumbuka tangazo la kwanza kabisa nilipewa kutangaza ibada za hija na kanisa flani hivi, na tangazo la pili nilipewa kutangaza cables na dawa za mitishamba kupitia blog yangu!
Kiasi flani nilikua napata pata pesa japo zilikuwa kidogo.
Sikuchukua muda sana Serikali ya awamu ya tano ikazuia kuchapisha maudhui bila leseni na leseni ilikuwa mpaka 3M. Hapo ndo ukawa mwisho wa blog yangu nikajielekeza pengine kutafuta kipato!
Kiufupi ni kuwa mitego yangu yote awamu ya tano iligoma! JPM ametuharibia maisha wengi.
Nashukuru kwa sasa naendelea vizuri na ajira za mama nimebahatika hivyo naanza maisha upya.
Asante SSH, wakumbuke vijana wengi wanaishi maisha ya shida sana.