Hayati Magufuli alikuja kuharibu maisha ya vijana, Mimi ni mmoja wa wahanga

Hayati Magufuli alikuja kuharibu maisha ya vijana, Mimi ni mmoja wa wahanga

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Nasikitika sana!

Mimi ni kijana mmoja wapo kati ya vijana wengi walioharibiwa maisha yao!

Siku zote ukweli hujitenga na uongo, sisemi uongo utawala wote wa awamu ya tano nimehangaika sana.

Nilihitimu chuo 2015 kada ya afya!

Kutokana na uhaba wa ajira nilikaa sana kitaa nikifanya mishe mishe mpaka nikaamua kwenda kuomba kufundisha shule ya private kwakuwa nilikua ninaufaulu mzuri wa masomo ya physics na hesabu, japo mshahara ulikuwa kiduchu lakini niliendelea kukomaa.

Nimefanya kazi pale baadae ukatoka waraka kuwa shule zote zifundishwe na walimu proffesionally sisi hatutakiwi! Mkurugenzi wa shule alinishauri nikasomee ualimu nikirudi atanipa nafasi tena, sikuamua kufanya hivyo kwakuwa tayari nilikua nina fani ya Afya na ugumu wa ajira ndio ulionileta hapo! Baasi nikapewa barua ya kuachishwa kazi, tulikua wawili wote tuliachishwa kazi kwa kigezo hicho kilichotoka Serikalini!

Nilikaaa bila ramani na baada ya muda nilijikita kwenye mambo ya habari nilifungua blog baada ya kuvutiwa na blog ya jamaa yangu aliyekua anavuta hela kupitia blog yake!

Kweli nilijitahidi sana mpaka nilianza kupata matangazo nakumbuka tangazo la kwanza kabisa nilipewa kutangaza ibada za hija na kanisa flani hivi, na tangazo la pili nilipewa kutangaza cables na dawa za mitishamba kupitia blog yangu!

Kiasi flani nilikua napata pata pesa japo zilikuwa kidogo.

Sikuchukua muda sana Serikali ya awamu ya tano ikazuia kuchapisha maudhui bila leseni na leseni ilikuwa mpaka 3M. Hapo ndo ukawa mwisho wa blog yangu nikajielekeza pengine kutafuta kipato!

Kiufupi ni kuwa mitego yangu yote awamu ya tano iligoma! JPM ametuharibia maisha wengi.

Nashukuru kwa sasa naendelea vizuri na ajira za mama nimebahatika hivyo naanza maisha upya.

Asante SSH, wakumbuke vijana wengi wanaishi maisha ya shida sana.
 
Nasikitika sana!

Mimi ni kijana mmoja wapo kati ya vijana wengi walioharibiwa maisha yao!

Siku zote ukweli hujitenga na uongo, sisemi uongo utawala wote wa awamu ya tano nimehangaika sana

Nilihitimu chuo 2015 kada ya afya!

Kutokana na uhaba wa ajira nilikaa sanabkitaa nikifanya mishe mishe mpaka nikaamua kwenda kuomba kufundisha shule ya private kwakua nilikua ninaufaulu mzuri wa masomo ya physics na hesabu, japo mshahara ulikua kiduchu lakini niliendelea kukomaa,

Nimefanya kazi pale baadae ukatoka waraka kua shule zote zifundishwe na walimu proffesionally sisi hatutakiwi! mkurugenzi wa shule alinishauri nikasomee ualimu nikirudi atanipa nafasi tena, sikuamua kufanya hivyo kwakua tayar nilikua nina fani ya Afya na ugumu wa ajira ndio ulionileta hapo! baasi nikapewa barua ya kuachishwa kazi, tulikua wawili wote tuliachishwa kazi kwa kigezo hicho kilichotoka serikalini!

Nilikaaa bila ramani na baada ya mda nilijikita kwenye mambo ya habari nilifungua blog baada ya kuvutiwa na blog ya jamaa yangu aliekua anavuta hela kupitia blog yake!

Kweli nilijitahidi sana mpaka nilianza kupata matangazo nakumbuka tangazo la kwanza kabisa nilipewa kutangaza ibada za hija na kanisa flani hivi, na tangazo la pili nilipewa kutangaza cables na dawa za mitishamba kupitia blog yangu !

Kiasi flani nilikua napata pata pesa japo zilikua kidogo

Sikuchukua mda sana serikali ya awamu ya tano ikazuia kuchapisha maudhui bila leseni na leseni ilikua mpaka 3M hapo ndo ukawa mwisho wa blog yangu nikajielekeza pengine kutafuta kipato!

Kiufupi ni kuwa mitego yangu yote awamu ya tano iligoma! JPM ametuharibia maisha wengi

Nashukuru kwa sasa naendelea vizuri na ajira za mama nimebahatika hivyo naanza maisha upya

Asante SSH wakumbuke vijana wengi wanaishi maisha ya shida sana
Pole sana
 
ninaufaulu mzuri wa masomo ya physics na hesabu, japo mshahara ulikua kiduchu lakini niliendelea kukomaa,

Toka Siaya County nchini Kenya hadi Visiwani Seychelles



je alifikaje huko, alibebwa au mambo yote ya Seychelles ni mtandaoni

Umejaribu nje hapa kisiwani Seychelles n.k fani zote maana nchi zingine wanataka graduates ila kazi usichgue maana wanajua elimu ya chuo kikuu ulionayo unaweza ku - fit popote. Tuachane na kubanana ndani ya mipaka tunangalie na nje.

Meet Eric Mbare, Kenyan Teacher Shaping Young Minds in Seychelles
Source : CHAMS MEDIA TV

N.B Vijana mtandaoni tutumie MB zetu pia kuangalia fursa kibao nje .
 
Nasikitika sana!

Mimi ni kijana mmoja wapo kati ya vijana wengi walioharibiwa maisha yao!

Siku zote ukweli hujitenga na uongo, sisemi uongo utawala wote wa awamu ya tano nimehangaika sana

Nilihitimu chuo 2015 kada ya afya!

Kutokana na uhaba wa ajira nilikaa sanabkitaa nikifanya mishe mishe mpaka nikaamua kwenda kuomba kufundisha shule ya private kwakua nilikua ninaufaulu mzuri wa masomo ya physics na hesabu, japo mshahara ulikua kiduchu lakini niliendelea kukomaa,

Nimefanya kazi pale baadae ukatoka waraka kua shule zote zifundishwe na walimu proffesionally sisi hatutakiwi! mkurugenzi wa shule alinishauri nikasomee ualimu nikirudi atanipa nafasi tena, sikuamua kufanya hivyo kwakua tayar nilikua nina fani ya Afya na ugumu wa ajira ndio ulionileta hapo! baasi nikapewa barua ya kuachishwa kazi, tulikua wawili wote tuliachishwa kazi kwa kigezo hicho kilichotoka serikalini!

Nilikaaa bila ramani na baada ya mda nilijikita kwenye mambo ya habari nilifungua blog baada ya kuvutiwa na blog ya jamaa yangu aliekua anavuta hela kupitia blog yake!

Kweli nilijitahidi sana mpaka nilianza kupata matangazo nakumbuka tangazo la kwanza kabisa nilipewa kutangaza ibada za hija na kanisa flani hivi, na tangazo la pili nilipewa kutangaza cables na dawa za mitishamba kupitia blog yangu !

Kiasi flani nilikua napata pata pesa japo zilikua kidogo

Sikuchukua mda sana serikali ya awamu ya tano ikazuia kuchapisha maudhui bila leseni na leseni ilikua mpaka 3M hapo ndo ukawa mwisho wa blog yangu nikajielekeza pengine kutafuta kipato!

Kiufupi ni kuwa mitego yangu yote awamu ya tano iligoma! JPM ametuharibia maisha wengi

Nashukuru kwa sasa naendelea vizuri na ajira za mama nimebahatika hivyo naanza maisha upya

Asante SSH wakumbuke vijana wengi wanaishi maisha ya shida sana
Yameshapita boss, yote yalikuwa sehemu ya maisha.

Pambana kwa sasa uijenge kesho yako.

Kila laheri...
 
Dah!mi nilikuwa nachukua used zanzibar nakujakuuza dar baada ya mwamba kuingia nilikutana na makodi utafkiri mzigo unatoka UK mwenyewe nilisanda mpaka leo sijaunga .
Tumevurugwa sana
 
Mjomba Magu yeye aljikuta njia panda.
Privatization kutokea Mzee Ruksa,Mkapa zimechangia kushuka kwa uchumi wetu.
Mjomba Magu bila kujua au kufanya tahadhari akatumbukia choo cha kike.

..ulikuwa na umri gani miaka ya mwisho ya utawala wa awamu ya kwanza?

..sera ya ubinafsishaji awamu ya 2 na 3 haikuchangia kushusha uchumi wetu.

..tulichelewa kubinafsisha viwanda vyetu kiasi kwamba vingi vilikuwa vimekufa kabla ya zoezi hilo kuanza.

..Jpm aliahidi Tanzania ya viwanda lakini hakuonyesha commitment yoyote kutekeleza ahadi hiyo.
 
..ulikuwa na umri gani miaka ya mwisho ya utawala wa awamu ya kwanza?

..sera ya ubinafsishaji awamu ya 2 na 3 haikuchangia kushusha uchumi wetu.

..tulichelewa kubinafsisha viwanda vyetu kiasi kwamba vingi vilikuwa vimekufa kabla ya zoezi hilo kuanza.

..Jpm aliahidi Tanzania ya viwanda lakini hakuonyesha commitment yoyote kutekeleza ahadi hiyo.
Sijui enzi hizo ulikuwa wapi,naona unataka kuchakachua sera za ubinafsishaji enzi hizo,mimi nadhani ni mkubwa wako.
Hivi unauza nyumba unapanga guest house bila mbinu thabiti,si utachemka tu!!!!!!@
 
Jiwe alizingua kinyama, vijana wengi waliomaliza 2015 hawana hamu naye, kwenye Afya na ualimu Kikwete aliondoka na clean sheet ya hatar , hakuna raia alikuwa kitaa , aisee jiwe alirundika vijana miaka Mitano , hao unawatoaje sasa hivi, ni aibu kubwa kijana aliyemaliza 2015 anacompete Ajira na kijana aliyemaliza 2021 .... Tatizo kubwa la Ajira hasa ualimu na Afya alaumiwe John Pombe Joseph Maghufuli Kwa kuwa na Sera ya kimaskini sana
 
Jiwe alizingua kinyama , vijana wengi waliomaliza 2015 hawana hamu naye , kwenye Afya na ualimu Kikwete aliondoka na clean sheet ya hatar , hakuna raia alikuwa kitaa , aisee jiwe alirundika vijana miaka Mitano , hao unawatoaje sasa hv , ni aibu kubwa kijana aliyemaliza 2015 anacompete Ajira na kijana aliyemaliza 2021 .... Tatizo kubwa la Ajira hasa ualimu na Afya alaumiwe John Pombe Joseph Maghufuli Kwa kuwa na Sera ya kimaskini sana
Aliamini maendeleo ya vitu na sio watu
 
Sijui enzi hizo ulikuwa wapi,naona unataka kuchakachua sera za ubinafsishaji enzi hizo,mimi nadhani ni mkubwa wako.
Hivi unauza nyumba unapanga guest house bila mbinu thabiti,si utachemka tu!!!!!!@

..serikali ilikuwa haina fedha za kuendesha mashirika na makampuni ya umma.

..Na mashirika / makampuni mengi yalikuwa mis-managed na yalikuwa ktk hali mbaya kifedha na kiuzalishaji.

..Kwa upande mwingine ni lazima tukumbushane kwamba baadhi ya makampuni ya umma yalitokana na mali za watu binafsi zilizotaifishwa.

..Sasa ni vizuri tukadadisi kama serikali ilikuwa ikiendesha kwa ufanisi makampuni iliyotaifisha.

..Kampuni kama National Milling Corporation ilianzishwa kutokana na utafishaji wa mali za familia ya kina Andy Chande. Serikali iliendesha kampuni hiyo vibaya mpaka ikabidi kumuuzia Mzee Bakhresa.

..Yapo pia mashamba ya mkonge. Kabla ya kuyataifisha Tanzania ilikuwa moja ya wazalishaji wakubwa wa mkonge na bidhaa zake. Tulipotaifisha uzalishaji ukapungua mpaka na jitihada za serikali kuendesha kilimo cha mkonge hazikutuletea matokeo mazuri.

..Hiyo ni mifano michache ya makampuni yaliyoendeshwa vibaya, yakawa mzigo kwa walipakodi, na kulazimisha serikali kuyabinafsisha.
 
..serikali ilikuwa haina fedha za kuendesha mashirika na makampuni ya umma.

..Na mashirika / makampuni mengi yalikuwa mis-managed na yalikuwa ktk hali mbaya kifedha na kiuzalishaji.

..Kwa upande mwingine ni lazima tukumbushane kwamba baadhi ya makampuni ya umma yalitokana na mali za watu binafsi zilizotaifishwa.

..Sasa ni vizuri tukadadisi kama serikali ilikuwa ikiendesha kwa ufanisi makampuni iliyotaifisha.

..Kampuni kama National Milling Corporation ilianzishwa kutokana na utafishaji wa mali za familia ya kina Andy Chande. Serikali iliendesha kampuni hiyo vibaya mpaka ikabidi kumuuzia Mzee Bakhresa.

..Yapo pia mashamba ya mkonge. Kabla ya kuyataifisha Tanzania ilikuwa moja ya wazalishaji wakubwa wa mkonge na bidhaa zake. Tulipotaifisha uzalishaji ukapungua mpaka na jitihada za serikali kuendesha kilimo cha mkonge hazikutuletea matokeo mazuri.

..Hiyo ni mifano michache ya makampuni yaliyoendeshwa vibaya, yakawa mzigo kwa walipakodi, na kulazimisha serikali kuyabinafsisha.
🤔
 
Back
Top Bottom