Hayati Magufuli alikuwa akielekeza vitendo vya kihalifu?

Hayati Magufuli alikuwa akielekeza vitendo vya kihalifu?

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
 
Inaonekana ni kweli, ndio maana Sabaya licha ya kurekodiwa na camera akivamia maeneo ya watu na silaha mkononi, lakini hakuwahi kuwa na hofu yoyote na hilo.

Hili linathibitisha kweli alikuwa anatumwa akijua ana ulinzi wa kutosha upande wake, ndio maana siku ya kumuaga Magufuli jamaa alilia kama mtoto akijua fika mwisho wake umewadia.

Lakini pia hili linazidi kuthibitisha yale madai kuwa utawala wa Magufuli ulikuwa unaichukia mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, huu unyama uliokuwa unafanywa na Sabaya, akitanguliwa na Mnyeti mikoa hiyo, haukuwahi kuonekana ukifanywa mikoa mingine Tanzania.
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Sabaya alikua anatumwa kuwashughulikia wahalifu. Sasa msigeuze maneno kama yeye na aliekua anamtuma ndo wahalifu.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Hivi kila mtu akisemacho kwa mbaya wako huwa unakiamini na kukikomalia? Tunajua mlimchukia JPM.
Vile mwendakuzimu amefurahia comment yako kutokea huko kuzimu😁😁😁
162869316286936.jpg
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Kulingana na ulivyoandika inaonekana Milango yako yote mitano ya fahamu haifanyi kazi vizuri kwa sababu Sabaya siyo mwehu kwa kinywa chake kutamka hayo maneno.Na bila shaka kutokana na mazoea ya kutumwa na huyo mkuu wake(We fanya kazi tembea kifua mbele mimi ndiye rais nitakulinda) Sabaya kwa sababu ya utoto na ukada zaidi aliwadharau baadhi ya wateule wa rais ambao walikuwa juu yake(Rejea ya mama Mghwira) utajua tu alipitiliza.

Vile vile yale yote tuliyoyaona,tuliyoyasikia,tuliyoyashuhudia kwenye utawala wa awamu ya tano,inaonekana kuna akina Sabaya zaidi ya hamsini ila tu huyu alidharau baadhi ya wateule wa JPM ndiyo maana anakomolewa.Ingekuwa haki kuna watu wengine wangekuwa kwenye kundi hili kama vile

Mnyeti,Kihongosi,Polepole,Bashiru Ally,Bashite,Gwajima,Waitara,Ally Hapi,Mahera,Biswalo,Mrisho Gambo,Homela,Chalamira,Amos Makala,IGP Sirro na wengineo wengi.
Hilo swala la Sabaya mnalichukulia kimzaha sana,kumbuka huyu ndiye aliyeiweza ngome ya Mbowe,hivyo basi alipewa mamlaka na madaraka ambayo mimi na wewe hatufahamu.

Kama kuna Chatu huwa anacheza karibu na nyumba yako na ulishamwona siku nyingu siku ukipoteza mbuzi wako na chatu humwoni unafikiri mwizi wa mbuzi wako ni nani?
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Si ndio maana watu walifanya sherehe alipokufa
 
Unajua mods nao sijui wanakuwa wap..!! Wapi Sabaya kasema alitumwa akafanye ujambazi? Hamjui kusoma au uelewa ni finyu?
Sabaya alikua anatumwa kuwashughulikia wahalifu. Sasa msigeuze maneno kama yeye na aliekua anamtuma ndo wahalifu.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Polisi, TAKUKURU, TRA wana kazi gani?
Rais amtume DC, tena nje ya Wilaya yake wakati ana vyombo vya kisheria?
Kuna namna hapo.
 
Kulingana na ulivyoandika inaonekana Milango yako yote mitano ya fahamu haifanyi kazi vizuri kwa sababu Sabaya siyo mwehu kwa kinywa chake kutamka hayo maneno.Na bila shaka kutokana na mazoea ya kutumwa na huyo mkuu wake(We fanya kazi tembea kifua mbele mimi ndiye rais nitakulinda) Sabaya kwa sababu ya utoto na ukada zaidi aliwadharau baadhi ya wateule wa rais ambao walikuwa juu yake(Rejea ya mama Mghwira) utajua tu alipitiliza.
Vile vile yale yote tuliyoyaona,tuliyoyasikia,tuliyoyashuhudia kwenye utawala wa awamu ya tano,inaonekana kuna akina Sabaya zaidi ya hamsini ila tu huyu alidharau baadhi ya wateule wa JPM ndiyo maana anakomolewa.Ingekuwa haki kuna watu wengine wangekuwa kwenye kundi hili kama vile Mnyeti,Kihongosi,Polepole,Bashiru Ally,Bashite,Gwajima,Waitara,Ally Hapi,Mahera,Biswalo,Mrisho Gambo,Homela,Chalamira,Amos Makala,IGP Sirro na wengineo wengi.
Hilo swala la Sabaya mnalichukulia kimzaha sana,kumbuka huyu ndiye aliyeiweza ngome ya Mbowe,hivyo basi alipewa mamlaka na madaraka ambayo mimi na wewe hatufahamu.Kama kuna Chatu huwa anacheza karibu na nyumba yako na ulishamwona siku nyingu siku ukipoteza mbuzi wako na chatu humwoni unafikiri mwizi wa mbuzi wako ni nani?
Usijipe matumaini.
Maovu aliyifanya Sabaya yanayotokana na kutumwa na Magufuli sasa ni wazi.
Sasa aliyemtuma kafariki na alikuwa mshiriki wa huo uhalifu.
Ndio maana Sabaya anashitakiwa.
Suala la Sabaya linaibua mambo mengi yaliyo ya kihalifu ambayo watu walihisi Magufuli kuhusika moja kwa moja.
Wizi wa mabenki Arusha
Risasi za Lissu
Kutekwa Mo
.............
Tutasikia Mengi!
 
Back
Top Bottom