Hayati Magufuli alikuwa akielekeza vitendo vya kihalifu?

Hayati Magufuli alikuwa akielekeza vitendo vya kihalifu?

Jomba sasa sijui umeandika nini uozo Mtupu. ..hayo yote unayoyasema mbona sio mambo binafsi jomba...nilifikiri yanahusu familia yake kumbe yanahusu jamii au wananchi. Sasa unataka kutuambia hapa wale wananchi wooote wanaoishi maeneo ya kule hawana haki ya kupata uwanja wa ndege benki madaraja mifugo n.k utakuwa mwehu...au labda unadhani wananchi wanaoishi maeneo yale ni wenyeji wa Chato au mwanza pekee.unaumwa wewe. Kule wapo wakwele wahaya wazaramu wanyakyusa wangoni n.kk
Mwalimu hakufanya huo ufisadi.
 
Hayo yote ni mambo mazuri sana anastahili pongezi
, Lakini haki na uhuru wa mtu hata mmoja kuishi una thamani kuliko hayo yote, chachu kidogo huharibu donge zima
Jomba hivi unapoishi hapo huna uhuru wa kuishi. ..aiseee. ..ni wapi unakaa. ..basi kama mtu mmoja wawili hata kumi mnakaa sehemu hatarishi haina impact out of 60milion people..its negligible we dont even need to bother
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
MATAGA kila siku tulikuwa tunawaambia kuwa Marehemu Dikteta Jiwe ni Jambazi mkawanatubishia
Kulikuwa na Sababu gani ya Kummiminia Lissu ma Risasi yote yale
 
Unyama, Ukatili na ufedhuli waliofanyiwa Wafanyabiashara wenye asili ya kiasia na Mashariki ya kati waliopo Dar haujawahi kufanyika kabisa


Watu walirudi kwenye 'Mkeka' wakashtaki kwa Hakimu asie na upendeleo na Majibu yakatoka kwa wakati

1983 ilipita dhulma mbaya sana watu wakavamiwa mjini wakaporwa mali zao fedha zao kwa kigezo cha uhujumu uchumi, watu walirudi kwenye 'Mkeka' wakalia kwa Mtenda haki Mkuu …less than 12 months later ajali ikatokea 'Goli likasawazishwa'

Tuache Dhulma…dhulma ni mbaya sana inaangamiza hadi kizazi…

kuna Mwingine kizazi chake kimejaa Vichaa kwa sababu ya dhulma aliyowafanyia watu…

kuna mwingine alikuwa Mwamba kichizi kuonea watu akitamba chezea Ndevu usichezee Serikali lakin leo hii hata choo cha chumbani kwake hawezi kukalia sink bila ya kushikwa Mkono na kukalishwa


Mafundisho ya kiislam yanatufundisha Dhambi ya Dhulma toba yake inaanza kwa kutaka msamaha kwa uliemdhulumu kabla ya kuomba kwa Mola wake, imagine umedhulumu uhai wa mtu hapo unamuombaje msamaha
Huyu mwenye kizazi cha vichaa nimempata, pamoja na hela zote ameshindwa kuwatibu wajukuu.
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Tunangojea akina Makonda, Gambo, na wasiojulikana wenzao
 
Hii nchi ni ngumu sana,fikiria leo hii risiti feki za efd zipo kariakoo tena wazi wazi nje ya maduka.
Zinauzwa hadi laki moja kutokana na uhitaji wako.Hapa serikali na vyombo vyake vipo na yote yanaendelea.Unatarajia wasipojitokeza watu kama Sabaya mambo yataenda kweli?
Mfanyabiashara anafanya uhuni na yeye afanyiwe hivyo aone kama ni vizuri
 
Uhalifu gani alioufanya? Polisi akienda kukamata mtuhumiwa anafanya uhalifu? Hebu tusubiri mahakama ifanye kazi yake tusiwe wepesi wa kuhukumu masuala tusiyoyajua kwa kufuata mkumbo. Ndo yale yale mtu anatuhumiwa kwa ugaidi wengine wanaandamana mahakamani kupinga.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Hivi wewe hapo ulipo, hadi umsikie huyo mtu ndio akili yako ijuwe kwamba Magufuli alikuwa ni mvunja sheria mkubwa?

Huna mfano mwingine wowote uliokuonyesha bila ya shaka yoyote kwamba tulikuwa na kiongozi jambazi hasa?
 
Hii nchi ni ngumu sana,fikiria leo hii risiti feki za efd zipo kariakoo tena wazi wazi nje ya maduka.
Zinauzwa hadi laki moja kutokana na uhitaji wako.Hapa serikali na vyombo vyake vipo na yote yanaendelea.Unatarajia wasipojitokeza watu kama Sabaya mambo yataenda kweli?
Mfanyabiashara anafanya uhuni na yeye afanyiwe hivyo aone kama ni vizuri
Kwani sheria inakataza kuwashughulikia hawa mkuu kwa taratibu zilizopo?

Kila mpenda haki angefuraha hii mihujumu nchi ishughulikiwe ipasavyo kwa taratibu za sheria zilizopo. Kama sheria zenyewe ni mbovu, basi zibadilishwe kwa utaratibu uliopo ili kuwabana hawa.

Huwezi kushadadia uvunjifu wa sheria, eti kwa vile unaowashughulikia ni wavunjifu wa sheria pia.
 
Kila aliyeporwa atamkumbuka kwa mabaya.
Magufui alipenda sana akumbukwe kwa mema, lakini matukio kama hili la Sabaya na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Makonda n hata wengine kama kina Chalamila, alionyesha jinsi tabia yake ilivykuwa haieleweki.
 
Back
Top Bottom