Hayati Magufuli alikuwa anaheshimu sana takwimu

Hayati Magufuli alikuwa anaheshimu sana takwimu

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme.

Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.
 
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme. Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.
Huyu Mama anaanza kushindwa kuongoza nchi, sidhani kama anajua alifanyalo....hafanyi chochote bila kumshirikisha Kikwete tena mtu aliyeshindwa kuongoza nchi na wapinzani pamoja na CCM wenzake walimbeza kuwa ni zezeta na rais dhaifu leo hii anarudishwa madarakani na huyu Mama kuja kuendelea kuharibu pale alipoachia kwa kumpa ushauri potofu.
 
Huyu Mama anaanza kushindwa kuongoza nchi, sidhani kama anajua alifanyalo....hafanyi chochote bila kumshirikisha Kikwete tena mtu aliyeshindwa kuongoza nchi na wapinzani pamoja na CCM wenzake walimbeza kuwa ni zezeta na rais dhaifu leo hii anarudishwa madarakani na huyu Mama kuja kuendelea kuharibu pale alipoachia kwa kumpa ushauri potofu.
Hata ww,unaweza kuwa mshauri kwa nchi yako. Mawazo finyu. Kwahiyo ww huna washauri..?
 
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme. Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.
Na hilo ndiyo tatizo la nchi yetu kwa sasa chini ya huyu ZUZU SA 100 .....ZUZU AONGOZI NCHI KWA KUONGOZWA NA TAKWIMU NA NDIYO MAANA TUNAWAITA MAZUZU
 
Takwimu za kusema ATCL inatengeneza faida nono ilhali ni kinyume chake?
Ujui mahesabu za faida ATCL kwa nchi mfano mtalii amelipa nauli ya mil4 kuja tz na kuondoka tz ila mfukoni ana milioni 100 za dola kwa ajili ya matumizi atskapo kuwa nchini ,sasa sijui unajua upana wa faida ya shirika la ndege siyo lazima faida ionekane kwenye nauli tu
 
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme. Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.

Zanzibar Rais Hussein Mwinyi bado anasimamia sera zile zile za JPM. Umeme bado ni 27%. Ndiyo maana ana mafanikio. Hajawahi hata siku moja kumtukana .JPM anajua mchango wake. Anajua jukumu la serikali.

Jukumu la serikali ni kupunguza ukali wa maisha, kuwapa huduma muhimu (umeme maji, pembejeo, chakula,makazi, kazi, afya, usalama wa mali nabmaisha) wananchi wote kwa bei himilivu. Kuuthibiti mfumuko wa bei, rasilimali za taifa zinanufaisha taifa.

Huyu wa bara anafeli kwa kila eneo. Majukukumu yote ya serikali.

Kazi ya serikali hii awamu ya sita ni kurudisha mafisadi, kuwatukana wasiokubaliana nao na kuwafukuza kazi ,(wanasema wanasimamia demokrasia) kutengeza magenge, ukabila, ukanda, udini.
 
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme. Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.

Huyo mpika data alikuwa anaheshimu takwimu gani?
 
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme. Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.
Mpenda takwimu gani, alikuwa mwizi tu yule
 
Alikuwa na akili nyingi na msomi. Msomi yoyote anapenda takwimu. Ila ukiwa si msomi japo umesoma takwimu kwako ni kama sentence tuu. Hata kuzishika utakuwa huwezi.
Nimefurahishwa sana na mbunge Prof Kitila mkumbo alipotoa mchango wake bungeni hivi karibuni alicheza na takwimu tuu mpaka raha. Kwa kweli watakaopambana nae 2025 wana kazi kubwa yule bonge wa chadema kama atagombea saa tano mchana atapigwa vibaya sana kwa kura.
 
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme. Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.
Kwa kutunga Ile sheria ya hovyo kabisa ya takwimu na kutoa takwimu za uongo?!
 
Huyu Mama anaanza kushindwa kuongoza nchi, sidhani kama anajua alifanyalo....hafanyi chochote bila kumshirikisha Kikwete tena mtu aliyeshindwa kuongoza nchi na wapinzani pamoja na CCM wenzake walimbeza kuwa ni zezeta na rais dhaifu leo hii anarudishwa madarakani na huyu Mama kuja kuendelea kuharibu pale alipoachia kwa kumpa ushauri potofu.
Mama kawekwa madarakani na team kikwete, lazima alipe fadhira kwa gharama zenu.
 
Zanzibar Rais Hussein Mwinyi bado anasimamia sera zile zile za JPM. Umeme bado ni 27%. Ndiyo maana ana mafanikio. Hajawahi hata siku moja kumtukana .JPM anajua mchango wake. Anajua jukumu la serikali.

Jukumu la serikali ni kupunguza ukali wa maisha, kuwapa huduma muhimu (umeme maji, pembejeo, chakula,makazi, kazi, afya, usalama wa mali nabmaisha) wananchi wote kwa bei himilivu. Kuuthibiti mfumuko wa bei, rasilimali za taifa zinanufaisha taifa.

Huyu wa bara anafeli kwa kila eneo. Majukukumu yote ya serikali.

Kazi ya serikali hii awamu ya sita ni kurudisha mafisadi, kuwatukana wasiokubaliana nao na kuwafukuza kazi ,(wanasema wanasimamia demokrasia) kutengeza magenge, ukabila, ukanda, udini.
Hussein Mwinyi hana tofauti na wakina Livingstone Lusinde au Rashid Gwajima, wote wamefika hapo walipo kwa ubabe wa magufuli kwenye kuchezea sanduku la kura.
 
Back
Top Bottom