Hayati Magufuli alikuwa anaheshimu sana takwimu

Hayati Magufuli alikuwa anaheshimu sana takwimu

Hussein Mwinyi hana tofauti na wakina Livingstone Lusinde au Rashid Gwajima, wote wamefika hapo walipo kwa ubabe wa magufuli kwenye kuchezea sanduku la kura.

Kipanga tupe better alternatives, mbadala, watu wanaosimamia maslahi ya wananchi leo kwenye bunge hili.
 
Kipanga tupe better alternatives, mbadala, watu wanaosimamia maslahi ya wananchi leo kwenye bunge hili.
Mbadala ni kuondoa mfumo wote wa watawala waliopo sasa na kuingiza dimbani kikosi kipya kisicho na mawaa.
 
Takwimu za kusema ATCL inatengeneza faida nono ilhali ni kinyume chake?
Lini alisema ivo unaweza kuleta ushahidi apa Mh. Rais alikuwa anahubiri umhimu wa kuwa na shirika imara kwa ajili ya maendeleo.
 
Hakusema ameanzisha Magufuli aliendeleza au chuki zimepofua akili zako
Huna jicho la kutaza kwa kina,mnamaanisha Kama akianza mkapa,akaendeleza kikwete...yakupasa uchambue takwimu zao katika Hilo,usimsifie aliyepiga bati ukamdharau aliyenunua kiwanja,kusimamisha boma
 
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme.

Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.
Acha huu ujinga wa kusema uongo sijui inakusaidia nini! Hadi leo takwimu za corona Tanzania hazijulikani kwa Magufuli kuzuia zisikusanywe wala kuwekwa wazi halafu wewe unasema nini?
 
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme.

Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.
Magufuli hajawahi kuheshimu TAKWIMU kamwe kwa kuwa yeye alikuwa ANACHAKACHUA kila ripoti. Magufuli alikuwa ni FORGERY tupu kuanzia PhD yake, biashara ya korosho hadi kilo za makinikia kwenye container ya 20 ft ya ACACIA.

Alisema tungepata USD 190 Billion sawa na Tsh 450 Trillion!

Ni kichaa tu anayeweza kumsifu Magufuli kwa kuziamini TAKWIMU
 
Magufuli hajawahi kuheshimu TAKWIMU kamwe kwa kuwa yeye alikuwa ANACHAKACHUA kila ripoti. Magufuli alikuwa ni FORGERY tupu kuanzia PhD yake, biashara ya korosho hadi kilo za makinikia kwenye container ya 20 ft ya ACACIA.

Alisema tungepata USD 190 Billion sawa na Tsh 450 Trillion!

Ni kichaa tu anayeweza kumsifu Magufuli kwa kuziamini TAKWIMU
Hawa wa trilioni 450 walikuwa ni maprofesa vilaza. Sijui wako wapi vilaza wale!!!?
 
Hawa wa trilioni 450 walikuwa ni maprofesa vilaza. Sijui wako wapi vilaza wale!!!?
Tukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!

1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo

2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!

3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo

4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida

5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda

6. Tanzania hakuna Corona

7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo

8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini

9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani

10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!

11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.

12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah

13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa
 
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme.

Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.
 
Moja ya takwa la mtu kuwa kiongozi mzuri ni kufahamu takwimu na kuziheshimu. Kama hili eneo upo mtupu huwezi kuongoza vizuri.

Kwa mfano, Tanzania ni nchi ambayo raia wake wengi hawana umeme. Magufuli alilijua hili. Kwa Africa nchi za kiarabu, karibu asilimia 100 ya wananchi wao wanapata umeme.

Kusini mwa Sahara nchi zinazoongoza ni South Africa kwenye 85 na Ghana 83. Kenya asilimia 70 ya wananchi wao wana umeme. Sasa vipi Tanzania? Asilimia 40 tu ya wananchi ndiyo wana access ya umeme.

Magufuli kama mpenda takwimu alitambua hili. Akaanzisha mpango wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Lakini kikubwa alifanya ni kushusha bei ya kuunganisha umeme. Nafikiri hakuna kipindi watu wengi wameunganishiwa umeme kama kipindi cha Magufuli. Sasa awamu ya sita imetengua hilo, kama vile lilikuwa ni anasa tu.

Mtu hawezi kuwa kiongozi mzuri kama hafahamu wala haheshimu takwimu.
Kuheshimu takwimu? HALAFU MAISHA YA AZORY, BENI SAANANE, TUNDU LISSU, AKWILINA HUYAHESHIMU
 
Back
Top Bottom