Nenda kafungue darasa la kusifia sifia labda utapata chochote kikusaidie maishaniWewe huoni injustices zilizopo?Badala ya kutueleza masuala ya wafu,ungeielimisha jamii inapataje utawala bora unaozingatia haki.Au basi ungehamasisha ushiriki wa jamii kwenye maendeleo.
Siwezi kukulazimisha maana mimi ni muelewa na naheshimu mawazo ya mtu mwingineIla wewe ndiye unilazimishe nikubaliane nae?
Kusifia nini? Sifanyi ujinga wa kusifia blindly kama mtoa postNenda kafungue darasa la kusifia sifia labda utapata chochote kikusaidie maishani
Maumivu yakizidi pata dawa ya coronaIla wewe ndiye unilazimishe nikubaliane nae?
Basi pata glass ya majiKusifia nini? Sifanyi ujinga wa kusifia blindly kama mtoa post
Uliwahi kuwa contributor mzuri sana hapa,sijui kilichokupata siku hizi.Maumivu yakizidi pata dawa ya corona
HaikuhusuUliwahi kuwa contributor mzuri sana hapa,sijui kilichokupata siku hizi.
Nimekuelewa madam,uwe na siku njema.Haikuhusu
Atadumu sana mioyoni kwa majority Tanzanians, na ndicho kinachowaumiza roho mnabaki mkipambana na maiti yake, mnapoteza muda wenu, ameacha disciples wengi sana, anza nenda kawaulize machinga.Lazima ikuguse.ulidhani atadumu, na Kama angesifiwa unge kenua meza hiyo .
Pole sanaNimekuelewa madam,uwe na siku njema.
Mbowe amefungwa na nani, aya endelea kumsifia mama yenu, mama ni msafi kabisa.Tuki msifia Rais wetu mpendwa mama SSH, hampendi , tukizunguzumzia maovu yaliyo tendwa na kuweka wazi maovu ili watu na vizazi vijavyo vitambue, pia hamtaki du. Sawa semeni nyinyi yanayo wapendeza.
Acha watu wajue uovu wa yule baba ( R.I.P)! Alitutesa sana watz! Mbona kina Hitler mpaka leo habari zao zinaandikwa?Hata mods nao siwaelewi ,ukitwanga kali kuhusu mfano Mbowe au Samia au yule hakimu aliemfunga Sabaya wanaondoa uzi kwa kuunganisha ,sasa hizi Nyuzi dhidi ya hayati Magufuli zinamkono nyuma yake,amini
Tena mtawala dhalimu kabisa.JPM aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndo maana hata alipo danganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote , kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.
Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa.
Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi.
Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.
Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawzo tofauti na ya mtawala.
Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyo vaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.
Kuna wakati mbunge mmoja na mmbobezi katika siasa za nchi hii , alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.
Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.
Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja.
Na Kama awamu yatano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Tumshukuru Mungu kwa kutuhurmia watanzania.
Basi heshimu wanaompinga original poster, mbona design unatesekaSiwezi kukulazimisha maana mimi ni muelewa na naheshimu mawazo ya mtu mwingine
Mama naye anapenda sifa sana siku hizi ngoja tumwone anavyokwenda.Mbowe amefungwa na nani, aya endelea kumsifia mama yenu, mama ni msafi kabisa.
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
JPM ameshafariki.Kumbukumbu lake limefungwa tayari.Ww uliye hai jitahid ufanye ya kwako ,ili siku na ww kumbukumbu yako ikifungwa uwe umejiandaa.Ukiona MTU anamuongelea marehemu.Ujue huyo ni mnafiki,mchawi,mdini .Kwa hiyo ndugu yangu usiwe kwenye kundi hilo la wasio na maarifa .JPM aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndo maana hata alipo danganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote , kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.
Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa.
Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi.
Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.
Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawzo tofauti na ya mtawala.
Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyo vaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.
Kuna wakati mbunge mmoja na mmbobezi katika siasa za nchi hii , alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.
Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.
Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja.
Na Kama awamu yatano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Tumshukuru Mungu kwa kutuhurmia watanzania.