Hayati Magufuli alikuwa mtawala na siyo kiongozi

Hayati Magufuli alikuwa mtawala na siyo kiongozi

Una ukabila wa kipuuzi. Na mm sio mchaga wala mpinzani. Narudia..... UNA UKABILA WA KIPUUZI.
Huo ukabila wa kipuuzi nimi wewe pimbi? Hata kama sio mchaga ila nakwambia unachuki sana za kichama na kikabila! Umejaa utaahira kichwani mwako!
 
Chadomo hadi inafika 2025 watakuwa wanamjadili marehemu.

Wakati wenzao wako busy kujenga chama wao wanamjadili marehemu
 
Ooh, sasa kumbe una tatizo kubwa zaidi ya matamshi ya ukabila yasio na maana. SAMBULUGU.

" Ukabila, upuuzi nimi wewe pimbi?" Umejaa utaahira.🤣🤣.
Wewe endelea na ID yako feki tatizo la Magufuli kumshambulia na kuhusisha jamii ndo linatufanya watu kama nyinyi tuone mnaajenda ya siri lakini ikifika 2025 mnaenda mwanza ,kahama,simiyu,geita ,tabora,katavi kwenye jamii hiyo kuomba kura! Punguzeni kashfa na matusi hao mnaowashambulia kutokana ma mtu wao aliyetawala kuw na Mapungufu ni binadamu!
 
Wewe endelea na ID yako feki tatizo la Magufuli kumshambulia na kuhusisha jamii ndo linatufanya watu kama nyinyi tuone mnaajenda ya siri lakini ikifika 2025 mnaenda mwanza ,kahama,simiyu,geita ,tabora,katavi kwenye jamii hiyo kuomba kura! Punguzeni kashfa na matusi hao mnaowashambulia kutokana ma mtu wao aliyetawala kuw na Mapungufu ni binadamu!
Majibu marefu ya nn? Nilichokuambia ni UNA UKABILA WA KIPUUZI maana hujui hata kuwa JPM alikuwa raisi wa wachaga pia na kuna waliompenda.

Ila sasa unaandika mambo mengiiii ambayo wala hayahusiani na suala la UKABILA WAKO WA KIPUUZI.

Ndo maana nikacheka na kukuambia kumbe una tatizo zaidi ya matamshi ya ukabila usio na maana sababu unatiririka tu kuandika praaaaa praaaaaa waaaaaa🤣
 
Majibu marefu ya nn? Nilichokuambia ni UNA UKABILA WA KIPUUZI maana hujui hata kuwa JPM alikuwa raisi wa wachaga pia na kuna waliompenda.

Ila sasa unaandika mambo mengiiii ambayo wala hayahusiani na suala la UKABILA WAKO WA KIPUUZI.

Ndo maana nikacheka na kukuambia kumbe una tatizo zaidi ya matamshi ya ukabila usio na maana.
Mimi nakuambia wewe ni mojawao ya watu hao mlojipanga kutukana na kuanzisha maada za kuzungumzia maovu ya mwendazake kana kwamba katika jamii hakuna alichofanya! Usihukumu usije ukahukumiwa! Ndo maana kuna wengine wanamwita mwendakuzimu je wewe unauhakika gani hutakwenda kuzimu? Ukabila unaosema upo sana hapa jamii forum na kuna kikundi cha chadema na wachaga ndo kazi yao!
 
Nimemsikia Gambo juzi anasema Arusha kwa sasa mikutano imeanza kurudi na mzunguko wa hela umeanza kurudi kama zamani! Kwa sasa hata makongamano mbalimbali yanafanyika na watu wana uhuru wa kujadili chochote kuhusu nchi yao! Wiki za vijana, habari, TEHAMA, sheria, zimeanzwa kuadhimishwa tena kwa uhuru wote bila kuwa monitored na TISS! NGO's zimerudi kama zamani na wameahidiwa kupata ushirikiano 100% kutoka serikalini! Akina Ulimwengu na wengineo wanatupa vidongo serikalini na hatusikii wanatumiwa watu kuwasumbua!! Since March 17 haijasikika kesi yeyote ya mtu kutekwa, kutishiwa ama kupotezwa! Wateule wa Rais wamekuwa na adabu pia, yule aliyemwambia Machinga atulize makalio leo hii yeye ndiye katuliza makalio
 
Mimi nakuambia wewe ni mojawao ya watu hao mlojipanga kutukana na kuanzisha maada za kuzungumzia maovu ya mwendazake kana kwamba katika jamii hakuna alichofanya! Usihukumu usije ukahukumiwa! Ndo maana kuna wengine wanamwita mwendakuzimu je wewe unauhakika gani hutakwenda kuzimu? Ukabila unaosema upo sana hapa jamii forum na kuna kikundi cha chadema na wachaga ndo kazi yao!
Ona sasa, unarudi pale pale.
Kwa hiyo kukuambia una ukabila wa kipuuzi ambao ni kweli unao tayari kwako ni kigezo tosha cha kunipa kundi na kunihutubia kuhusu hilo kundi?

Halafu unadhihirisha tatizo lako la ukabila sababu wewe humu JF unatumia kipimo gani kuhitimisha pasipo shaka kabila la mchangiaji?


SHAMBULIA TABIA USIYO IPENDA SIYO KABILA. NA ACHANA NA POROJO ZA KIKABILA ZISIZO NA MAANA.
 
Aliyekuambia watanzania ukiwa kiongozi utaweza kuwaongoza ni nani? Hujui kama kila mtanzania ana kipaumbele chake na kila mtu anataka kifanyiwe kazi?
Ila tuwe wakweli jamani, jamaa alikuwa na fix sana!!mfano inakuwaje leo tunaambiwa kuwa TTCL, ina deni linalozidi mtaji wake mala mbili, lakini jpm alikuwa akilisifia kwa kutoa gawio serikalini??sasa hapa walikuwa wana mdanganya nani?ndio maana jamaa anasema alikuwa mtawala kwani vitisho vilikuwa vingi sana, na hao viongozi wa makampuni walikuwa wakimuogopa hivyo ili kulinda vyeo vyao ndio maana walikuwa wakifanya anavyotaka yeye ili kumfurahisha.Na watu walikuwa wakijiuliza shirika linakosa pesa ya kulipa mishahara lakini lina pesa ya gawiwo hapi inakuwaje???MUNGU FUNDI
 
Nimemsikia Gambo juzi anasema Arusha kwa sasa mikutano imeanza kurudi na mzunguko wa hela umeanza kurudi kama zamani! Kwa sasa hata makongamano mbalimbali yanafanyika na watu wana uhuru wa kujadili chochote kuhusu nchi yao! Wiki za vijana, habari, TEHAMA, sheria, zimeanzwa kuadhimishwa tena kwa uhuru wote bila kuwa monitored na TISS! NGO's zimerudi kama zamani na wameahidiwa kupata ushirikiano 100% kutoka serikalini! Akina Ulimwengu na wengineo wanatupa vidongo serikalini na hatusikii wanatumiwa watu kuwasumbua!! Since March 17 haijasikika kesi yeyote ya mtu kutekwa, kutishiwa ama kupotezwa! Wateule wa Rais wamekuwa na adabu pia, yule aliyemwambia Machinga atulize makalio leo hii yeye ndiye katuliza makalio
Cha kusema ni MUNGU FUNDI, kwani daaa, kweli Mungu anatupenda sana watanzania!!
 
Ila tuwe wakweli jamani, jamaa alikuwa na fix sana!!mfano inakuwaje leo tunaambiwa kuwa TTCL, ina deni linalozidi mtaji wake mala mbili, lakini jpm alikuwa akilisifia kwa kutoa gawio serikalini??sasa hapa walikuwa wana mdanganya nani?ndio maana jamaa anasema alikuwa mtawala kwani vitisho vilikuwa vingi sana, na hao viongozi wa makampuni walikuwa wakimuogopa hivyo ili kulinda vyeo vyao ndio maana walikuwa wakifanya anavyotaka yeye ili kumfurahisha.Na watu walikuwa wakijiuliza shirika linakosa pesa ya kulipa mishahara lakini lina pesa ya gawiwo hapi inakuwaje???MUNGU FUNDI
Hivi unajua hata ATCL ina madeni?? na kama ingeachwa kama ilivyo ndege zingetaifishwa na wadai. Lakini si unaona ndege zinaruka na kutua. Sasa jiulize mbona hazikamatwi na wadai.
 
Hayati Magufuli aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipodanganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.

Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa.
Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi.
Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.

Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.

Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.

Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.

Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.

Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Yule alikuwa zaidi ya shetani asee
 
Tozonia kuna watawala wengi tuu halikadhalika kuna viongozi wengi sana ila sijaona mwakilishi hata mmoja. Sauti na maslahi ya wanyonge haijawasilishwa au kuwakilishwa ipasavyo. Hatuna wawakilishi tusijidanganye. Viongozi wetu wachumia tumbo. Nilipata kupiga story na mmoja wa waandamizi toka shirika la UN akaniambia Africa tunawapa misaada sana ila viongozi wenu ni WAPIGAJI sana kuliko maelezo maana misaada ya kifedha ikifika kwenye nchi zenu hawa viongozi wenu account zao zolizopo ulaya na america zinajaa kwa kasi sana
Huu ndiyo ukweli
 
Hivi unajua hata ATCL ina madeni?? na kama ingeachwa kama ilivyo ndege zingetaifishwa na wadai. Lakini si unaona ndege zinaruka na kutua. Sasa jiulize mbona hazikamatwi na wadai.
Hoja yangu hapo ni kwanini ttcl walikuwa wanatoa gawiwo wakati hata mishahara tu ilikuwa inawashinda kulipa??au mimi ndio sijui maaana ya GAWIWO?!!Na madeni ya ATCL, kuja kumalizika kulipwa sio leo wala kesho, kwani kama gharama tu za uendeshaji zinazidi mapato hapo kuna nini??sawa serikali itakuwa inachota pesa huku inaweka huko ili lijiendeshe tu!!eti mzee wa fix aliwahi kusema kuwa serikali haina hasara!!hata "hizi korosho serikali izinunue izimwage bahari hakuna hasara!!!hahaaaa, haya angalia huko TANROAD, bilioni 600, zimetumika bila kibali, na jembe lake mfugale ndio alikuwa huko!!
 
Hayati Magufuli aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipodanganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.

Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa.
Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi.
Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.

Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.

Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.

Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.

Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.

Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.

Pole

haujamsahau bado?

alikubana wapi??

ashafariki
 
Nafuu alikuwa mtawala kuliko wale viongozi waliotuletea wafanyakazi hewa, vyeti vya kugushi, ESCROW,EPA, RICHMOND, Serikali ya BMW.
 
Hayati Magufuli aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipodanganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.

Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa.
Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi.
Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.

Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.

Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.

Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.

Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.

Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Acha akili ndogo,
Raisi ni mtawala, sio kiongozi!
Umesahau kuwa Raisi Ana dola? Au hujui lengo la dola?

Kazi ya bunge ni kupanga taratibu za namna Nchi iendeshwe

Raisi na dola yake ni kusimamia taratibu zinazopangwa na wananchi (wabunge) zifuatwe,

Raisi amepewa majukumu tayari, ni wajibu wake kutekeleza kwa mujibu wa Sheria bila kujadiliana na yoyote

Narudia Tena, RAIS wa Nchi ni mtawala, ukitaka awe kiongozi nenda ukairekebishe Katiba,
 
Nafuu alikuwa mtawala kuliko wale viongozi waliotuletea wafanyakazi hewa, vyeti vya kugushi, ESCROW,EPA, RICHMOND, Serikali ya BMW.
Kwa hiyo kwako muuwaji ni bora.
 
Acha akili ndogo,
Raisi ni mtawala, sio kiongozi!
Umesahau kuwa Raisi Ana dola? Au hujui lengo la dola?

Kazi ya bunge ni kupanga taratibu za namna Nchi iendeshwe

Raisi na dola yake ni kusimamia taratibu zinazopangwa na wananchi (wabunge) zifuatwe,

Raisi amepewa majukumu tayari, ni wajibu wake kutekeleza kwa mujibu wa Sheria bila kujadiliana na yoyote

Narudia Tena, RAIS wa Nchi ni mtawala, ukitaka awe kiongozi nenda ukairekebishe Katiba,
Hayo nayo ni mawazo yako yana heshimika Weakman
 
Back
Top Bottom