Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kwa hiyo weye huwezi kumzungumzia Joni kwa lolote lile? Tatizo unataka azungumzwe katika uga uupendao tu.Pokea yote ili umpime.JPM ameshafariki.Kumbukumbu lake limefungwa tayari.Ww uliye hai jitahid ufanye ya kwako ,ili siku na ww kumbukumbu yako ikifungwa uwe umejiandaa.Ukiona MTU anamuongelea marehemu.Ujue huyo ni mnafiki,mchawi,mdini .Kwa hiyo ndugu yangu usiwe kwenye kundi hilo la wasio na maarifa .
Kwa hiyo nimpime marehemu.Ambaye hayupo.Ambaye hawezi kujibu.Tusikose maarifa kiasi hicho.Kwa hiyo weye huwezi kumzungumzia Joni kwa lolote lile? Tatizo unataka azungumzwe katika uga uupendao tu.Pokea yote ili umpime.
Kwani wamachinga kupangiwa maeneo maalum kwa ajili ya biashara zao ni kosa ? Hawajafungiwa biashara Bali wame elekezwa maeneo . Ebu angalia miji yetu ilivyo kuwa misafi, Ila kwako Hilo nalo ni upofu.Atadumu sana mioyoni kwa majority Tanzanians, na ndicho kinachowaumiza roho mnabaki mkipambana na maiti yake, mnapoteza muda wenu, ameacha disciples wengi sana, anza nenda kawaulize machinga.
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Hujui ya nayo tokea mwanza, lile eneo hawakustahili kutolewa.Kwani wamachinga kupangiwa maeneo maalum kwa ajili ya biashara zao ni kosa ? Hawajafungiwa biashara Bali wame elekezwa maeneo . Ebu angalia miji yetu ilivyo kuwa misafi, Ila kwako Hilo nalo ni upofu.
Inapimwa nyama ya ng'ombe aliyekwisha chinjwa sembuse "regase"!Unapima aliyoyatenda na wala haujaambiwa ukamuhoji ili atoe majibu.Hajaulizwa maswali ila kaacha aliyoyaishi.Jaribu kuelewa.Kwa hiyo nimpime marehemu.Ambaye hayupo.Ambaye hawezi kujibu.Tusikose maarifa kiasi hicho.
Nilikuwa si elewi kumbe Mbowe Kisha fungwa ? Nilidhani bado anatuhumiwa, naona uko vizuri Sana kwenye Mambo ya kisheria, bigup.Mbowe amefungwa na nani, aya endelea kumsifia mama yenu, mama ni msafi kabisa.
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo Ngo'mbe huwa INA akili.?I
Inapimwa nyama ya ng'ombe aliyekwisha chinjwa sembuse "regase"!Unapima aliyoyatenda na wala haujaambiwa ukamuhoji ili atoe majibu.Hajaulizwa maswali ila kaacha aliyoyaishi.Jaribu kuelewa.
Wewe nikikuita Zumbukuku nitakuwa nimekosea?Wewe tunakuona humu! Unajua unapokaa unamzungumzia Maguguli inamaanisha alikushika pabaya na mataahira wenzako! Ndo maana kashakufa bado unamzungumzia hapa! Leta basi hata maada za mama Samia au maendeleo unazungumzia mtu ambaye hayupo na wala hatakuwepo tena! Ndo maana unaomekana mpumbavu usiyejitambua!
Woi, kumbe najadiliana na ujinga. Kwa iyo kwa upeo na akili zako, mbowe yupo huru pale, ulimsikia Samia BBC lkn? Umesikia hoja kinzani za kina mbowe zilivyotupiliwa mbali mahakamani.Nilikuwa si elewi kumbe Mbowe Kisha fungwa ? Nilidhani bado anatuhumiwa, naona uko vizuri Sana kwenye Mambo ya kisheria, bigup.
Kwamba hakuna wanaomzungumzia nyerere vibaya, au unadhani hakuna wanaomzungumzia magufuli vizuriWewe nikikuita Zumbukuku nitakuwa nimekosea?
Nyerere, Mkapa na Magufuli walishafariki. Ila ni wawili tu wanazungumziwa, Nyerere ambaye anazungumziwa kwa mazuri yake na huyo Jiwe ambaye anazungumziwa kwa mabaya. Kwa hiyo kaa kwa kutulia, acha muambiwe namna Jiwe alivyoharibu hii nchi.
Hivi Jiwe wa kutaka kubadili Historia yetu kweli? Na kulazimisha watoto wetu wamsome kuanzia vidudu mpaka Chuo! Ule mtaala wa somo wa Historia umeyeyuka kama barafu juani.
Hivi Jiwe alikuwa anajisikiaje alipokuwa anatoa amri Sio Binadamu wenzake, ila Watanzania wenzake wauae!
Umeonaeee?Bora afanye hivyo, asije Pata ugonjwa wa moyo
Siwezi kuteseka kisa mteswajiBasi heshimu wanaompinga original poster, mbona design unateseka
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Kumbe mahakani sasa anafuata Nini, mi najua kuwa ataanza kutumikia kifungo Mara tu mahakama itakapo thibisha na kutoa hukumu kuwa amebainika na kosa.Woi, kumbe najadiliana na ujinga. Kwa iyo kwa upeo na akili zako, mbowe yupo huru pale, ulimsikia Samia BBC lkn? Umesikia hoja kinzani za kina mbowe zilivyotupiliwa mbali mahakamani.
Nakwambiaje, soon, mtajua hamjui.
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Maombolezo yalikuwa mengi ndugu. Mungu ama kweli ni mtengeneza njia pasipo na njia.Raisi alikuwa wa Tz sio wangu......
kafanya mengi mazuri......
tumeona wanaomchukia wote wakikuwa upande wa mfumo taka
Wewe mpumbavu na wenzako mnaotunga maada kila siku humu na Chagadema yako ndo unawakirisha mawazo ya wote? Unataka kusema Magufuli ana mabaya tu hana mazuri? Au huyo Nyerere anamazuri tu hana mabaya! Hoja hauna ushabaki kijifariji ujinga na upumbavu na kikundi chenu hasa nyinyi wachaga na chadema ndo mna akili hizi za kipumbavu!Wewe nikikuita Zumbukuku nitakuwa nimekosea?
Nyerere, Mkapa na Magufuli walishafariki. Ila ni wawili tu wanazungumziwa, Nyerere ambaye anazungumziwa kwa mazuri yake na huyo Jiwe ambaye anazungumziwa kwa mabaya. Kwa hiyo kaa kwa kutulia, acha muambiwe namna Jiwe alivyoharibu hii nchi.
Hivi Jiwe wa kutaka kubadili Historia yetu kweli? Na kulazimisha watoto wetu wamsome kuanzia vidudu mpaka Chuo! Ule mtaala wa somo wa Historia umeyeyuka kama barafu juani.
Hivi Jiwe alikuwa anajisikiaje alipokuwa anatoa amri Sio Binadamu wenzake, ila Watanzania wenzake wauae!
Tunataka watawala wengi zaidi wa kutulindia rasilimali zetuHayati Magufuli aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipodanganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.
Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa.
Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi.
Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.
Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.
Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.
Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.
Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.
Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Tumshukuru Mungu kwa kutuhurmia watanzania.
JPM aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipo danganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.
Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa.
Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi.
Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.
Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.
Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.
Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.
Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.
Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Tumshukuru Mungu kwa kutuhurmia watanzania.
Una ukabila wa kipuuzi. Na mm sio mchaga wala mpinzani. Narudia..... UNA UKABILA WA KIPUUZI.Wewe mpumbavu na wenzako mnaotunga maada kila siku humu na Chagadema yako ndo unawakirisha mawazo ya wote? Unataka kusema Magufuli ana mabaya tu hana mazuri? Au huyo Nyerere anamazuri tu hana mabaya! Hoja hauna ushabaki kijifariji ujinga na upumbavu na kikundi chenu hasa nyinyi wachaga na chadema ndo mna akili hizi za kipumbavu!