Hayati Magufuli alikuwa mtawala na siyo kiongozi

Una ukabila wa kipuuzi. Na mm sio mchaga wala mpinzani. Narudia..... UNA UKABILA WA KIPUUZI.
Huo ukabila wa kipuuzi nimi wewe pimbi? Hata kama sio mchaga ila nakwambia unachuki sana za kichama na kikabila! Umejaa utaahira kichwani mwako!
 
Chadomo hadi inafika 2025 watakuwa wanamjadili marehemu.

Wakati wenzao wako busy kujenga chama wao wanamjadili marehemu
 
Ooh, sasa kumbe una tatizo kubwa zaidi ya matamshi ya ukabila yasio na maana. SAMBULUGU.

" Ukabila, upuuzi nimi wewe pimbi?" Umejaa utaahira.🤣🤣.
Wewe endelea na ID yako feki tatizo la Magufuli kumshambulia na kuhusisha jamii ndo linatufanya watu kama nyinyi tuone mnaajenda ya siri lakini ikifika 2025 mnaenda mwanza ,kahama,simiyu,geita ,tabora,katavi kwenye jamii hiyo kuomba kura! Punguzeni kashfa na matusi hao mnaowashambulia kutokana ma mtu wao aliyetawala kuw na Mapungufu ni binadamu!
 
Majibu marefu ya nn? Nilichokuambia ni UNA UKABILA WA KIPUUZI maana hujui hata kuwa JPM alikuwa raisi wa wachaga pia na kuna waliompenda.

Ila sasa unaandika mambo mengiiii ambayo wala hayahusiani na suala la UKABILA WAKO WA KIPUUZI.

Ndo maana nikacheka na kukuambia kumbe una tatizo zaidi ya matamshi ya ukabila usio na maana sababu unatiririka tu kuandika praaaaa praaaaaa waaaaaa🤣
 
Mimi nakuambia wewe ni mojawao ya watu hao mlojipanga kutukana na kuanzisha maada za kuzungumzia maovu ya mwendazake kana kwamba katika jamii hakuna alichofanya! Usihukumu usije ukahukumiwa! Ndo maana kuna wengine wanamwita mwendakuzimu je wewe unauhakika gani hutakwenda kuzimu? Ukabila unaosema upo sana hapa jamii forum na kuna kikundi cha chadema na wachaga ndo kazi yao!
 
Nimemsikia Gambo juzi anasema Arusha kwa sasa mikutano imeanza kurudi na mzunguko wa hela umeanza kurudi kama zamani! Kwa sasa hata makongamano mbalimbali yanafanyika na watu wana uhuru wa kujadili chochote kuhusu nchi yao! Wiki za vijana, habari, TEHAMA, sheria, zimeanzwa kuadhimishwa tena kwa uhuru wote bila kuwa monitored na TISS! NGO's zimerudi kama zamani na wameahidiwa kupata ushirikiano 100% kutoka serikalini! Akina Ulimwengu na wengineo wanatupa vidongo serikalini na hatusikii wanatumiwa watu kuwasumbua!! Since March 17 haijasikika kesi yeyote ya mtu kutekwa, kutishiwa ama kupotezwa! Wateule wa Rais wamekuwa na adabu pia, yule aliyemwambia Machinga atulize makalio leo hii yeye ndiye katuliza makalio
 
Ona sasa, unarudi pale pale.
Kwa hiyo kukuambia una ukabila wa kipuuzi ambao ni kweli unao tayari kwako ni kigezo tosha cha kunipa kundi na kunihutubia kuhusu hilo kundi?

Halafu unadhihirisha tatizo lako la ukabila sababu wewe humu JF unatumia kipimo gani kuhitimisha pasipo shaka kabila la mchangiaji?


SHAMBULIA TABIA USIYO IPENDA SIYO KABILA. NA ACHANA NA POROJO ZA KIKABILA ZISIZO NA MAANA.
 
Aliyekuambia watanzania ukiwa kiongozi utaweza kuwaongoza ni nani? Hujui kama kila mtanzania ana kipaumbele chake na kila mtu anataka kifanyiwe kazi?
Ila tuwe wakweli jamani, jamaa alikuwa na fix sana!!mfano inakuwaje leo tunaambiwa kuwa TTCL, ina deni linalozidi mtaji wake mala mbili, lakini jpm alikuwa akilisifia kwa kutoa gawio serikalini??sasa hapa walikuwa wana mdanganya nani?ndio maana jamaa anasema alikuwa mtawala kwani vitisho vilikuwa vingi sana, na hao viongozi wa makampuni walikuwa wakimuogopa hivyo ili kulinda vyeo vyao ndio maana walikuwa wakifanya anavyotaka yeye ili kumfurahisha.Na watu walikuwa wakijiuliza shirika linakosa pesa ya kulipa mishahara lakini lina pesa ya gawiwo hapi inakuwaje???MUNGU FUNDI
 
Cha kusema ni MUNGU FUNDI, kwani daaa, kweli Mungu anatupenda sana watanzania!!
 
Hivi unajua hata ATCL ina madeni?? na kama ingeachwa kama ilivyo ndege zingetaifishwa na wadai. Lakini si unaona ndege zinaruka na kutua. Sasa jiulize mbona hazikamatwi na wadai.
 
Yule alikuwa zaidi ya shetani asee
 
Huu ndiyo ukweli
 
Hivi unajua hata ATCL ina madeni?? na kama ingeachwa kama ilivyo ndege zingetaifishwa na wadai. Lakini si unaona ndege zinaruka na kutua. Sasa jiulize mbona hazikamatwi na wadai.
Hoja yangu hapo ni kwanini ttcl walikuwa wanatoa gawiwo wakati hata mishahara tu ilikuwa inawashinda kulipa??au mimi ndio sijui maaana ya GAWIWO?!!Na madeni ya ATCL, kuja kumalizika kulipwa sio leo wala kesho, kwani kama gharama tu za uendeshaji zinazidi mapato hapo kuna nini??sawa serikali itakuwa inachota pesa huku inaweka huko ili lijiendeshe tu!!eti mzee wa fix aliwahi kusema kuwa serikali haina hasara!!hata "hizi korosho serikali izinunue izimwage bahari hakuna hasara!!!hahaaaa, haya angalia huko TANROAD, bilioni 600, zimetumika bila kibali, na jembe lake mfugale ndio alikuwa huko!!
 

Pole

haujamsahau bado?

alikubana wapi??

ashafariki
 
Nafuu alikuwa mtawala kuliko wale viongozi waliotuletea wafanyakazi hewa, vyeti vya kugushi, ESCROW,EPA, RICHMOND, Serikali ya BMW.
 
Acha akili ndogo,
Raisi ni mtawala, sio kiongozi!
Umesahau kuwa Raisi Ana dola? Au hujui lengo la dola?

Kazi ya bunge ni kupanga taratibu za namna Nchi iendeshwe

Raisi na dola yake ni kusimamia taratibu zinazopangwa na wananchi (wabunge) zifuatwe,

Raisi amepewa majukumu tayari, ni wajibu wake kutekeleza kwa mujibu wa Sheria bila kujadiliana na yoyote

Narudia Tena, RAIS wa Nchi ni mtawala, ukitaka awe kiongozi nenda ukairekebishe Katiba,
 
Nafuu alikuwa mtawala kuliko wale viongozi waliotuletea wafanyakazi hewa, vyeti vya kugushi, ESCROW,EPA, RICHMOND, Serikali ya BMW.
Kwa hiyo kwako muuwaji ni bora.
 
Hayo nayo ni mawazo yako yana heshimika Weakman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…