Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Achana na Magufuli, hayupo. Hangaika na Mama yako.Ni kipindi chake ndo machinga(wanyonge) walikuwa wengi na wanaongezeka daily na hakuna mpango mkakati wowote wa kuwapunguza kwa kupanua sector binafsi mana serikali ilikataa kabisa kuajiri kisa Barbara.
Sector binafsi ilikufa kabisa au iikuwa inapumulia mashine kiasi ambacho wote waliokuwa wameajiriwa kule walikuja kulingana na wenzao kutembeza nguo, vyombo na dawa za panya barabarani halafu ni graduates.
Huwezi kuwa mtetezi wa wanyonge na wakati huohuo unawanyonga zaidi.
Kipindi hiki sector binafsi inashine Yale mahoteli yote pale manzeshe, Arusha nk yanafanya kazi na watalii wamefurika huko pia viwanda vyote vya chumvi bagamoyo vilivyofunga biashara kipindi Cha jpm vinafanya kazi na wanyonge wameajiriwa huko.
Sasa kwa mantiki hii nani anapaswa kuwa mtetezi wa wange? Samia au jpm!!
Wewe ni Mzushi na Mwongo.Ni kipindi chake ndo machinga(wanyonge) walikuwa wengi na wanaongezeka daily na hakuna mpango mkakati wowote wa kuwapunguza kwa kupanua sector binafsi mana serikali ilikataa kabisa kuajiri kisa Barbara.
Muongo! Umebandika haya maneno juu kuja kuwatukana Watanzania.Sector binafsi ilikufa kabisa au iikuwa inapumulia mashine kiasi ambacho wote waliokuwa wameajiriwa kule walikuja kulingana na wenzao kutembeza nguo, vyombo na dawa za panya barabarani halafu ni graduates.
Ati ndio unataka kusema nini?
Haita kusaidia sana. Huyu aliyepo ajiuzulu tu nchi imemshinda kuongoza.Ni kipindi chake ndo machinga(wanyonge) walikuwa wengi na wanaongezeka daily na hakuna mpango mkakati wowote wa kuwapunguza kwa kupanua sector binafsi mana serikali ilikataa kabisa kuajiri kisa Barbara.
Sector binafsi ilikufa kabisa au iikuwa inapumulia mashine kiasi ambacho wote waliokuwa wameajiriwa kule walikuja kulingana na wenzao kutembeza nguo, vyombo na dawa za panya barabarani halafu ni graduates.
Huwezi kuwa mtetezi wa wanyonge na wakati huohuo unawanyonga zaidi.
Kipindi hiki sector binafsi inashine Yale mahoteli yote pale manzeshe, Arusha nk yanafanya kazi na watalii wamefurika huko pia viwanda vyote vya chumvi bagamoyo vilivyofunga biashara kipindi Cha jpm vinafanya kazi na wanyonge wameajiriwa huko.
Sasa kwa mantiki hii nani anapaswa kuwa mtetezi wa wange? Samia au jpm!!
Alitaka wote tz kuwa wanyongeNi kipindi chake ndo machinga(wanyonge) walikuwa wengi na wanaongezeka daily na hakuna mpango mkakati wowote wa kuwapunguza kwa kupanua sector binafsi mana serikali ilikataa kabisa kuajiri kisa Barbara.
Sector binafsi ilikufa kabisa au iikuwa inapumulia mashine kiasi ambacho wote waliokuwa wameajiriwa kule walikuja kulingana na wenzao kutembeza nguo, vyombo na dawa za panya barabarani halafu ni graduates.
Huwezi kuwa mtetezi wa wanyonge na wakati huohuo unawanyonga zaidi.
Kipindi hiki sector binafsi inashine Yale mahoteli yote pale manzeshe, Arusha nk yanafanya kazi na watalii wamefurika huko pia viwanda vyote vya chumvi bagamoyo vilivyofunga biashara kipindi Cha jpm vinafanya kazi na wanyonge wameajiriwa huko.
Sasa kwa mantiki hii nani anapaswa kuwa mtetezi wa wange? Samia au jpm!!
Wewe ni Muongo, na Ulaaniwe.
Maguli allikuwa anapika data ndo mana akapeleka mswada bungeni kwamba takwimu ili mtu yeyote asihoji. Hali ilikuwa mbaya kwenye ground mpaka akina Mo walitaka kukimbia. Manji yeye alikimbiza nchi kabisa na kusabisha ajira za vijana elfu 3 kupoteza wakaanza kuuza vyombo tu mtaaniMuongo! Umebandika haya maneno juu kuja kuwatukana Watanzania.
Haya chini yalisemwa na Sekta Binafsi Tanzania. TPSF
View: https://m.youtube.com/watch?v=uX1Y9jeOmOw&pp=ygUwV2FmYW55YWJpYXNoYXJhIHdhIFNla3RhIEJpbmFmc2kgV2FtcG9uZ2V6YSBSYWlz
Huna takwimu wala data.
Wewe ni Mzushi na Mwongo. Tetea hoja zako badala ya kuanza kuja na Uwongo mwingine.Maguli allikuwa anapika data ndo mana akapeleka mswada bungeni kwamba takwimu ili mtu yeyote asihoji. Hali ilikuwa mbaya kwenye ground mpaka akina Mo walitaka kukimbia. Manji yeye alikimbiza nchi kabisa na kusabisha ajira za vijana elfu 3 kupoteza wakaanza kuuza vyombo tu mtaani
Wanyonge ilikua ni approaching yake ili ku win political popularity ingaw sio mbaya maan kila kiongoz huja na trick zake. Btw yapo mamb aliweka on track very well!!Ni kipindi chake ndo machinga(wanyonge) walikuwa wengi na wanaongezeka daily na hakuna mpango mkakati wowote wa kuwapunguza kwa kupanua sector binafsi mana serikali ilikataa kabisa kuajiri kisa Barbara.
Sector binafsi ilikufa kabisa au iikuwa inapumulia mashine kiasi ambacho wote waliokuwa wameajiriwa kule walikuja kulingana na wenzao kutembeza nguo, vyombo na dawa za panya barabarani halafu ni graduates.
Huwezi kuwa mtetezi wa wanyonge na wakati huohuo unawanyonga zaidi.
Kipindi hiki sector binafsi inashine Yale mahoteli yote pale manzeshe, Arusha nk yanafanya kazi na watalii wamefurika huko pia viwanda vyote vya chumvi bagamoyo vilivyofunga biashara kipindi Cha jpm vinafanya kazi na wanyonge wameajiriwa huko.
Sasa kwa mantiki hii nani anapaswa kuwa mtetezi wa wange? Samia au jpm!!