Hayati Magufuli alimtumbua January Makamba 21/07/2019, na Rais Samia amemtumbua 21/07/2024. Tumbuzi zote mbili ni Mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi mkuu

Hayati Magufuli alimtumbua January Makamba 21/07/2019, na Rais Samia amemtumbua 21/07/2024. Tumbuzi zote mbili ni Mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi mkuu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Haya mambo huendaga na Nyota kwahiyo mh January tarehe 21 July inakuwaga na jambo lake

Ila natania tu 😃😃

Kwako Mshana Jr kilingeni Miono

Pia soma
January-Makamba-780x470-1.jpg
 
Nappe is sacrificial lamb.
Mgogoro wa jengo la UVCCM sadaka alikuwa sadaka.
Zile sauti zilipovuja Nappe ndio alitumbuliwa.
Imekuja hii GEN Z Kenya -Uganda , .........Mu-7 !

#Agenda Setting!
 
Haya mambo huendaga na Nyota kwahiyo mh January tarehe 21 July inakuwaga na jambo lake

Ila natania tu 😃😃

Kwako Mshana Jr kilingeni Miono
Kuna mwaka wapambe wake walitushambulia ati tunavuruga nyota yake
 
Mheshimiwa January Makamba ana nini na tarehe 21 July. Ukiangalia kuenguliwa kwake uwaziri mara mbili na Marais wawili tofauti ni tarehe hiihii miaka tofauti na hutumbuliwa usiku.

Kuna nini?
Akiwa Rais wa JMT anguko lake pia ni 21 July?
 
We jamaa kiazi kweli.

Yaani tusubiri awe rais ndio tuprove hiyo 21/07??
Wewe unaona haowezekani? Kimbuka hakupaswa hata kiongozi lakini katuonozea wizara mbili. Hii nchi hata chizi anaweza kuwa Rais tukamtazama tu
 
Mheshimiwa January Makamba ana nini na tarehe 21 July. Ukiangalia kuenguliwa kwake uwaziri mara mbili na Marais wawili tofauti ni tarehe hiihii miaka tofauti na hutumbuliwa usiku.

Kuna nini?
Akiwa Rais wa JMT anguko lake pia ni 21 July?
Coincidence
 
Mheshimiwa January Makamba ana nini na tarehe 21 July. Ukiangalia kuenguliwa kwake uwaziri mara mbili na Marais wawili tofauti ni tarehe hiihii miaka tofauti na hutumbuliwa usiku.

Kuna nini?
Akiwa Rais wa JMT anguko lake pia ni 21 July?
Tarehe 21/7,21/9 au 21/6 hasa ikiwa kwa mfano za 2006,2009,2015,2024,2033 etc.ni demonic signatures, meaning the Devil is responsible.Sasa Makamba anajua mazingira yake,sisi wengine hatuwezi kumsemea sana.
 
Back
Top Bottom