Hayati Magufuli alimtumbua January Makamba 21/07/2019, na Rais Samia amemtumbua 21/07/2024. Tumbuzi zote mbili ni Mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi mkuu

Hayati Magufuli alimtumbua January Makamba 21/07/2019, na Rais Samia amemtumbua 21/07/2024. Tumbuzi zote mbili ni Mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi mkuu

Mheshimiwa January Makamba ana nini na tarehe 21 July. Ukiangalia kuenguliwa kwake uwaziri mara mbili na Marais wawili tofauti ni tarehe hiihii miaka tofauti na hutumbuliwa usiku.

Kuna nini?
Akiwa Rais wa JMT anguko lake pia ni 21 July?
akiwa rais wa hapo nyumbani kwako wewe na mume wako labda
 
January anabahati ya uongozi japo hadumu ila atatoboa Tu mbele kwa mbele
 
Nappe is sacrificial lamb.
Mgogoro wa jengo la UVCCM sadaka alikuwa sadaka.
Zile sauti zilipovuja Nappe ndio alitumbuliwa.
Imekuja hii GEN Z Kenya -Uganda , .........Mu-7 !

#Agenda Setting!
Mwenye hizo sauti tafadhali atume mimi binafsi sijawahi zisikia hawa ndugu walichokuwa wanazungumza au kama unakumbuka maneno please nukuu.. natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom