Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Well organised planIt is not,hakuna kitu kinachotokea kwa mtu,au in politics is coincidence,nothing.Everything is planned.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well organised planIt is not,hakuna kitu kinachotokea kwa mtu,au in politics is coincidence,nothing.Everything is planned.
It is not,hakuna kitu kinachotokea kwa mtu,au in politics is a coincidence,nothing mkuu,everything is planned.
akiwa rais wa hapo nyumbani kwako wewe na mume wako labdaMheshimiwa January Makamba ana nini na tarehe 21 July. Ukiangalia kuenguliwa kwake uwaziri mara mbili na Marais wawili tofauti ni tarehe hiihii miaka tofauti na hutumbuliwa usiku.
Kuna nini?
Akiwa Rais wa JMT anguko lake pia ni 21 July?
Ndiyo akili zao haoakiwa rais wa hapo nyumbani kwako wewe na mume wako labda
Labda Rais wa TFFWe jamaa kiazi kweli.
Yaani tusubiri awe rais ndio tuprove hiyo 21/07??
Kabisa na imeshatokea.Hii nchi hata chizi anaweza kuwa Rais tukamtazama tu.
Alimhonga Rais?Makamba hapaswi kuwa kiongozi sema rushwa na kujuana ndiyo kinambeba
Siasa mchezo mchafu
Hiyo utajua mwenyeweAlimhonga Rais?
Jamaa kawa kimya baada ya utumbuzi. Huwa namsifia kwa uvumilivu na kutokuwa roporopo.Hiyo utajua mwenyewe
Hata wa TFF hatoboiLabda Rais wa TFF
Hatari snJamaa kawa kimya baada ya utumbuzi. Huwa namsifia kwa uvumilivu na kutokuwa roporopo.
Mwenye hizo sauti tafadhali atume mimi binafsi sijawahi zisikia hawa ndugu walichokuwa wanazungumza au kama unakumbuka maneno please nukuu.. natanguliza shukraniNappe is sacrificial lamb.
Mgogoro wa jengo la UVCCM sadaka alikuwa sadaka.
Zile sauti zilipovuja Nappe ndio alitumbuliwa.
Imekuja hii GEN Z Kenya -Uganda , .........Mu-7 !
#Agenda Setting!
Mkuu haya majitu ni mashirikina vibaya na yanatoa rushwa haswaHata wa TFF hatoboi
Ni mkimya ila kwa vita vya siri ni komando.Hatari sn
Hana ukomandoo wowote ni mhuni fulani na wiziNi mkimya ila kwa vita vya siri ni komando.