Wanasayansi walikiuka utaratibu wa majaribio ya Chanjo,
Sjawahi kuona ugunduzi wa tiba unaanza majaribio moja Kwa moja Kwa binadamu, ndio mara ya Kwanza,
Wanajua wanachoitafutia hii dunia yenye uwingi wa watu na majengo mengi yanayotaka kuielemea dunia
Chanjo ni sababu ya wave inayoweza kuja tena na elements zilizobaki za ugonjwa.Kwaiyo tumetumia chanjo yoyote au mama kaleta chanjo yoyote?
Hayati aliona mbali na alikuwa na maono na ndio maana hadi leo tupo hapa kuhusiana na Corona.
Haya magonjwa ya milipuko na mengine yako tangu karne nyingi zilizopita, na binadamu anatafuta namana ya kupambana nayo ili yasimzuru kwa kiwango kikubwa na kumuua, aendelee kuishi kwa muda mrefu, hivyo chanjo ni ktk mahangaiko ya binadamu kutetea uhai wake, na chanjo inaweza kuleta mazara kidogo ila ikasaidia WATU Wengi wasife kwa ugonjwa huo au ikasababisha mazara makubwa zaidi, au hata bila kutumia dawa yeyote bado ugojwa unaweza kuondoka bila hata kujua. kuna magonjwa mengi hata binadamu hajui kama yapo, na binadamu bado anatafuta njia nyingine mbali mbali kupambana na maadui wanaomkabili, Hakuna haja ya kuwasema wengine vibaya wala kuwashutumu, WOGA na WASIWASI ni adui mkubwa, tusiwatishe watu, Tudumishe UPENDO na kutiana moyo na maisha yataendendelea kwa MAFANIKIO.Kile tunachofahamu juu ya vidonge vya damu visivyo vya kawaida vilivyounganishwa na chanjo ya J & J .
Wataalam wanafikiria jinsi ya kugundua haraka na kutibu mgando usio wa kawaida unaosababishwa na dozi za Johnson & Johnson na AstraZeneca.
Wakati mamilioni ya watu wanapata chanjo, waganga wanatarajia maeelfu kadhaa watakua na damu yenye vinasaba au visababishi vya kugandisha damu.
"Chanjo imeunganishwa wazi na shida hii adimu," anasema Warkentin, ambaye ni mwandishi mwenza kwenye moja ya majarida ya NEJM. "Tuna bunduki inayofuka moshi ."
Hatujui bado ikiwa kuna viambatisho vya maumbile au utabiri mwingine dhahiri ambao unaweza kuwafanya watu waweze kukabiliwa na hali hii. "Tunajua kutoka kwa utafiti wa HIT kwamba hatuwezi kutabiri ni nani atakayekuza shida hii," anasema Warkentin.
Kinachojulikana ni kwamba huwa inawagonga wanawake wadogo. Wagonjwa wote sita hukomarekani walikuwa wanawake kati ya umri wa miaka 18 na 48, na idadi kubwa ya wagonjwa huko Ulaya walikuwa chini ya miaka 60. Wataalam hawawezi kusema kwa hakika, lakini wana dalili za kwanini damu huganda.
Hizi dawa za chanjo naona kama zinafanyiwa majaribio direct kwa binadamu na sasa majawabu yanaanza kujitokeza. Kama haitoshi chanjo hizo aina mbili zimestishwa mpaka litakapotolewa tangazo jingine.
Tushazika tayariJibu swali dogo
Jambo lipi Si kuna Moderna na Pfizer au zile za warusi nani kaganda damu? Kuna mtu kawazuia msitumie?ni kama kuna jambo linaharakishwa kupitia chanjo mhh
Nawaza sana juu ya tume ya rais isije pendekeza tuchanjwe ilihali Mungu katuepusha sana na janga hili.Alisikika Mwenyekiti Mmoja akisema nimepata Chanjo ya Astra Zeneca kama sifa kubwa kwake kutaja neno Astra Zeneca.
Kuganda kwa damu nafikiri COVID 19 VACCINES zinasabaisha chembe hai za damu zinazojulikana kwa jina la Kisukuma Platelets/Thrombocytes kushindwa kufanya kazi yake barabara tuendelee kumtegemea Mungu ili wataalamu wetu wawe Waafrica ama Wazungu waweze kuondoa kasoro hii, Pia wataalamu tuliomo humu JF tuendelee kuumiza vichwa juu ya chanjo hii ili itoe matokeo mazuri, tusijikite kuwasifia akina Lissu, Mbowe na wengine wengi tu maana hatutafikia malengo mazuri kwa mustakabali wa Nchi yetu TANZANIA.
Sasa kwa kiwango hicho mlitegemea hizi chanjo zifanyike bila kuleta mushkel? Kwa wataalam wa afya wako katika hatua nzuri kufikia lengo la kupatikana kwa chanjo inayofanya kazi mubashara- Mkiwa mnajiuliza maswali kama haya pia mjiulize kwanini watu karibia 40 walipoteza maisha wakati wa kumuaga Jiwe na serikali kuu inasema zoezi hilo lilifanyika kwa ustadi wa hali ya juu, Je hilo zoezi lilifanyikaje vizuri wakati kuna watu walipoteza maisha?
Corona imeisha?Tushazika tayari
Jambo lipi Si kuna Moderna na Pfizer au zile za warusi nani kaganda damu? Kuna mtu kawazuia msitumie?
Tuache kuleta taharuki isiyo ya lazima
We mbona unayo?Corona imeisha?
Urusi nchi ya kidikteta hata wakiganda nani athubutu kuandika,hakuna dawa isiyo na side effects.Jambo lipi Si kuna Moderna na Pfizer au zile za warusi nani kaganda damu? Kuna mtu kawazuia msitumie?
Tuache kuleta taharuki isiyo ya lazima
Nashauri pia tuache kutumia ARV na neti za mabeberu ili tumtegemee Mungu atuponye VVU na Malaria. Au unaonaje mkuu?Nawaza sana juu ya tume ya rais isije pendekeza tuchanjwe ilihali Mungu katuepusha sana na janga hili.
Msikuze mambo walioganda hata 30 hawafiki kati ya sample ya watu million 20.... Wewe unafaham the higher the sample ndio less margin of error so huwezi conclude kwamba watu 6 wafanye dozi ipigwe marufuku!! That is not right haifiki hata 0.0001Urusi nchi ya kidikteta hata wakiganda nani athubutu kuandika,hakuna dawa isiyo na side effects.
Kile tunachofahamu juu ya vidonge vya damu visivyo vya kawaida vilivyounganishwa na chanjo ya J & J .
Wataalam wanafikiria jinsi ya kugundua haraka na kutibu mgando usio wa kawaida unaosababishwa na dozi za Johnson & Johnson na AstraZeneca.
Wakati mamilioni ya watu wanapata chanjo, waganga wanatarajia maeelfu kadhaa watakua na damu yenye vinasaba au visababishi vya kugandisha damu.
"Chanjo imeunganishwa wazi na shida hii adimu," anasema Warkentin, ambaye ni mwandishi mwenza kwenye moja ya majarida ya NEJM. "Tuna bunduki inayofuka moshi ."
Hatujui bado ikiwa kuna viambatisho vya maumbile au utabiri mwingine dhahiri ambao unaweza kuwafanya watu waweze kukabiliwa na hali hii. "Tunajua kutoka kwa utafiti wa HIT kwamba hatuwezi kutabiri ni nani atakayekuza shida hii," anasema Warkentin.
Kinachojulikana ni kwamba huwa inawagonga wanawake wadogo. Wagonjwa wote sita hukomarekani walikuwa wanawake kati ya umri wa miaka 18 na 48, na idadi kubwa ya wagonjwa huko Ulaya walikuwa chini ya miaka 60. Wataalam hawawezi kusema kwa hakika, lakini wana dalili za kwanini damu huganda.
Hizi dawa za chanjo naona kama zinafanyiwa majaribio direct kwa binadamu na sasa majawabu yanaanza kujitokeza. Kama haitoshi chanjo hizo aina mbili zimestishwa mpaka litakapotolewa tangazo jingine.
Sayansi ni 'open ended discipline'. Nadharia moja huendelea kufanyiwa kazi mpaka hapo nadharia nzuri zaidi itakapopatikana. Na ndiyo maana mwanzoni watu waliamini 'dunia ni mviringo' mpaka hapo nadharia ya kusema dunia siyo mviringo, bali ina umbo la yai (oval) ilipopatikana na ndiyo inayofanyiwa kazi. Akija mwanasayansi mwingine akisema dunia ni 'pembe tatu' na hoja zake zikakosa upinzani (zikapita bila kupingwa), then tutaanza kufanyia kazi nadharia hiyo. Vivyo hivyo, katika nyanja mbalimbali. Hivyo, kwa sasa wanasayansi bado wanatafiti juu ya chanjo ambazo zimeshapatikana kuona kama ni effective na faida zinazidi hasara au hasara zinazidi faida. Hadi sasa ukilinganisha watu ambao wameshafariki kutokana na kutumia chanjo na wale ambao bado wanaishi kutokana na kutumia chanjo, bado inaonekana faida ni nyingi kuliko hasara. Kwenye majaribio ya sayansi, matokeo chanya au hasi ya jaribio ni kitu cha kawaida sana. Ndiyo maana majaribio lazima yarudiwe rudiwe ili kujiridhisha na usahihi wa matokeo yake. Kuna jambo lingine ambalo lipo katika wasomi mbalimbali - mitazamo tofauti kuhusu jambo fulani na ujengaji wa hoja tofauti. Hili nalo lina umuhimu wake. In conclusion, niseme hadi sasa wanasayansi wamefanya kazi kubwa kudhibiti maambukizi ya Covid-19. Ukiangalia takwimu za nchi ambazo zinashirikiana kupambana na Covid-19 (ukiondoa zile ambazo zina dash-dash) watu 241, 257,65 9 (99.6%) duniani wako katika mild condition (wenye maambukizi yasiyowadhuru), watu 106,591 (0.4%) wako katika hali ya hatari, watu 111, 647, 084 (97%) wamepona na watu 2,986,118 (3%) wamefariki. Kwa takwimu hizi, we on track kutokana na juhudi ambazo zimechukuliwa worldwide. Source: Worldmoter report (last updated: April 15, 2021, 06:28 GMT).Kile tunachofahamu juu ya vidonge vya damu visivyo vya kawaida vilivyounganishwa na chanjo ya J & J .
Wataalam wanafikiria jinsi ya kugundua haraka na kutibu mgando usio wa kawaida unaosababishwa na dozi za Johnson & Johnson na AstraZeneca.
Wakati mamilioni ya watu wanapata chanjo, waganga wanatarajia maeelfu kadhaa watakua na damu yenye vinasaba au visababishi vya kugandisha damu.
"Chanjo imeunganishwa wazi na shida hii adimu," anasema Warkentin, ambaye ni mwandishi mwenza kwenye moja ya majarida ya NEJM. "Tuna bunduki inayofuka moshi ."
Hatujui bado ikiwa kuna viambatisho vya maumbile au utabiri mwingine dhahiri ambao unaweza kuwafanya watu waweze kukabiliwa na hali hii. "Tunajua kutoka kwa utafiti wa HIT kwamba hatuwezi kutabiri ni nani atakayekuza shida hii," anasema Warkentin.
Kinachojulikana ni kwamba huwa inawagonga wanawake wadogo. Wagonjwa wote sita hukomarekani walikuwa wanawake kati ya umri wa miaka 18 na 48, na idadi kubwa ya wagonjwa huko Ulaya walikuwa chini ya miaka 60. Wataalam hawawezi kusema kwa hakika, lakini wana dalili za kwanini damu huganda.
Hizi dawa za chanjo naona kama zinafanyiwa majaribio direct kwa binadamu na sasa majawabu yanaanza kujitokeza. Kama haitoshi chanjo hizo aina mbili zimestishwa mpaka litakapotolewa tangazo jingine.
Wanasayansi walikiuka utaratibu wa majaribio ya Chanjo.
Sjawahi kuona ugunduzi wa tiba unaanza majaribio moja Kwa moja Kwa binadamu, ndio mara ya Kwanza.
Wanajua wanachoitafutia hii dunia yenye uwingi wa watu na majengo mengi yanayotaka kuielemea dunia.
Vifo ni vingi, vinafichwa kwa lengo la kuipa dunia matumaini katika usalamo wa chanjo. Vifo hivyo vingekuwa vinatokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe Africa hadi picha zingewekwa hadharani. Ni vifo vya wakubwa kw ajili ya biashara za wakubwa. Acha tuone.J & J imeleta madhara kwa watu wawili, mmoja amefariki na mwingine yupo mahututi... Mbona unautisha umma
Endeleeni na propaganda na kujipa moyo. Ni kweli hadi sasa j & j na astrazeneca zimegundulika kuwa na tatizo la blood-clot, kiufupi ni idadi ndogo ya watu wanaoathirika na tatizo hilo. Nadhani pia litafanyiwa kazi.Kile tunachofahamu juu ya vidonge vya damu visivyo vya kawaida vilivyounganishwa na chanjo ya J & J .
Wataalam wanafikiria jinsi ya kugundua haraka na kutibu mgando usio wa kawaida unaosababishwa na dozi za Johnson & Johnson na AstraZeneca.
Wakati mamilioni ya watu wanapata chanjo, waganga wanatarajia maeelfu kadhaa watakua na damu yenye vinasaba au visababishi vya kugandisha damu.
"Chanjo imeunganishwa wazi na shida hii adimu," anasema Warkentin, ambaye ni mwandishi mwenza kwenye moja ya majarida ya NEJM. "Tuna bunduki inayofuka moshi ."
Hatujui bado ikiwa kuna viambatisho vya maumbile au utabiri mwingine dhahiri ambao unaweza kuwafanya watu waweze kukabiliwa na hali hii. "Tunajua kutoka kwa utafiti wa HIT kwamba hatuwezi kutabiri ni nani atakayekuza shida hii," anasema Warkentin.
Kinachojulikana ni kwamba huwa inawagonga wanawake wadogo. Wagonjwa wote sita hukomarekani walikuwa wanawake kati ya umri wa miaka 18 na 48, na idadi kubwa ya wagonjwa huko Ulaya walikuwa chini ya miaka 60. Wataalam hawawezi kusema kwa hakika, lakini wana dalili za kwanini damu huganda.
Hizi dawa za chanjo naona kama zinafanyiwa majaribio direct kwa binadamu na sasa majawabu yanaanza kujitokeza. Kama haitoshi chanjo hizo aina mbili zimestishwa mpaka litakapotolewa tangazo jingine.