zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Ikija nitachanjwa ukiwa mtu wa safari chanjo hazikwepeki kwa afya yako na ya unapokwendaWw umeshachanjwa!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikija nitachanjwa ukiwa mtu wa safari chanjo hazikwepeki kwa afya yako na ya unapokwendaWw umeshachanjwa!!?
Ndio maana nimeshauri ARV na Chemotherapy/Radiotherapy/CT Scan zipigwe marufuku maana zina fatality rate kubwa zaidi au mabeberu wana nia mbaya kwenye Corona tu ila magonjwa mengine ni watu wema?Wewew .ukipiga dawa ya kuuwa mbu ,mbu wote hawaanguki au kufa kwa pamoja ,anaanza mmoja mmoja na wengine wanasepa ila mwisho utwakuta wengi wamepotea au tuseme wamefariki.
Hujawahi kuona au hujawahi tafiti? Changamoto yetu watu mliosoma HKL mnataka kuchambua methodology za chanjo hvi tutafika kweli!?Wanasayansi walikiuka utaratibu wa majaribio ya Chanjo.
Sjawahi kuona ugunduzi wa tiba unaanza majaribio moja Kwa moja Kwa binadamu, ndio mara ya Kwanza.
Wanajua wanachoitafutia hii dunia yenye uwingi wa watu na majengo mengi yanayotaka kuielemea dunia.
Ramli? Mnavyopewa chanjo za pepopunda na surua huwa ni ramli? Vp chanjo za homa ya ini na yellow fever ni ramli?Kumbe unapiga ramli
Hamna binadamu mwenye uhakika kuwa atashuhudia kifo cha binadamu mwenzake.hadi sasa vaccine ya china bado haijalalamikiwa, na ndio watu wengi wanaipendelea, kama yule kiongozi amepigwa astra basi tumuisabie masiku anakwenda tu 😎
Hujawahi kuona au hujawahi tafiti? Changamoto yetu watu mliosoma HKL mnataka kuchambua methodology za chanjo hvi tutafika kweli!?
Kile tunachofahamu juu ya vidonge vya damu visivyo vya kawaida vilivyounganishwa na chanjo ya J & J .
Wataalam wanafikiria jinsi ya kugundua haraka na kutibu mgando usio wa kawaida unaosababishwa na dozi za Johnson & Johnson na AstraZeneca.
Wakati mamilioni ya watu wanapata chanjo, waganga wanatarajia maeelfu kadhaa watakua na damu yenye vinasaba au visababishi vya kugandisha damu.
"Chanjo imeunganishwa wazi na shida hii adimu," anasema Warkentin, ambaye ni mwandishi mwenza kwenye moja ya majarida ya NEJM. "Tuna bunduki inayofuka moshi ."
Hatujui bado ikiwa kuna viambatisho vya maumbile au utabiri mwingine dhahiri ambao unaweza kuwafanya watu waweze kukabiliwa na hali hii. "Tunajua kutoka kwa utafiti wa HIT kwamba hatuwezi kutabiri ni nani atakayekuza shida hii," anasema Warkentin.
Kinachojulikana ni kwamba huwa inawagonga wanawake wadogo. Wagonjwa wote sita hukomarekani walikuwa wanawake kati ya umri wa miaka 18 na 48, na idadi kubwa ya wagonjwa huko Ulaya walikuwa chini ya miaka 60. Wataalam hawawezi kusema kwa hakika, lakini wana dalili za kwanini damu huganda.
Hizi dawa za chanjo naona kama zinafanyiwa majaribio direct kwa binadamu na sasa majawabu yanaanza kujitokeza. Kama haitoshi chanjo hizo aina mbili zimestishwa mpaka litakapotolewa tangazo jingine.
Nyie kwenu mmefariki wangapi ukijitoa wewe unayeandika ukiwa kaburini?Kwani Tanzania hawajapukutika?
Mkuu hivi kwa akili yako maprofessor wa Virology na Epidemiology wa WHO na CDC-US hawajui hili? Yaani hawana justification ya kufanya clinical tests kwa binadamu direct? Hawana justification ya kutoa chanjo mapema?Badala ya kujibu hoja aliyoitoa, wewe unaanza personality, mara sijui HGL and other blah blah. Nenda moja kwa moja kwenye hoja bila na kuishambulia au kuidadavua vilivyo ndiyo ukomavu.
Kaongee huu upuuzi pale reception ya Aga khan ER!! Ukirudi ukiwa na vidole vya kutype humu basi ww ni shujaa.Nyie kwenu mmefariki wangapi ukijitoa wewe unayeandika ukiwa kaburini?
Kwahiyo ID yako sioni sababu ya kukujibu maana ni sawa na kumpigia mbuzi gitaaNyie kwenu mmefariki wangapi ukijitoa wewe unayeandika ukiwa kaburini?
Mkuu nimeshindwa kumjibu baada ya kuangalia hiyo ID yake.Kaongee huu upuuzi pale reception ya Aga khan ER!! Ukirudi ukiwa na vidole vya kutype humu basi ww ni shujaa.
Mkuu hivi kwa akili yako maprofessor wa Virology na Epidemiology wa WHO na CDC-US hawajui hili? Yaani hawana justification ya kufanya clinical tests kwa binadamu direct? Hawana justification ya kutoa chanjo mapema?
Ndio maana nikasema kama hatuna utaalamu na kitu ni bora kujifunza au kukaa kimya.
Nakumbuka kuna watu humu walikua wanakejeli ma engineer kutumia miezi 6 kufanya pre-feasibility kabla ya mradi kuanza. Lakini ukiingia kwenye taalum utagundua hyo miezi ipo justified mfano kupima mabadiliko ya tabia nchi, kupima uhimilivu wa misimu tofauti ya mvua na kiangazi, tectonic movements ama earthquake occurences eneo hilo, so wakijiridhisha ndio mradi unaanza.
So tukosoe vitu ambavyo tuna utaalam navyo. Tusijione wanasayansi wa bongo ndio wana uelewa sana wa Covid kuliko maprofesa wa Oxford ni ujinga
Dosari ya watu 20 kati ya chanjo million 10 plus ni kubwa kiasi cha kuipinga chanjo?Yaa wanaweza wakajua, lkn unajua kuwa hii chanjo haijapitia hatua za kawaida za chanjo? wamefanya kitu kinachoitwa emergence approval. Katika maana ya kwamba kuna some steps ambazo ziko skipped. Na hata hizo dosari zinazojitokeza, wakosoaji wanakuwa na sababu za msingi za kuhoji.
Ukoo wako tu ndio wamepukutikaKwani Tanzania hawajapukutika?
Kafa lakini, au?Kile tunachofahamu juu ya vidonge vya damu visivyo vya kawaida vilivyounganishwa na chanjo ya J & J .
Wataalam wanafikiria jinsi ya kugundua haraka na kutibu mgando usio wa kawaida unaosababishwa na dozi za Johnson & Johnson na AstraZeneca.
Wakati mamilioni ya watu wanapata chanjo, waganga wanatarajia maeelfu kadhaa watakua na damu yenye vinasaba au visababishi vya kugandisha damu.
"Chanjo imeunganishwa wazi na shida hii adimu," anasema Warkentin, ambaye ni mwandishi mwenza kwenye moja ya majarida ya NEJM. "Tuna bunduki inayofuka moshi ."
Hatujui bado ikiwa kuna viambatisho vya maumbile au utabiri mwingine dhahiri ambao unaweza kuwafanya watu waweze kukabiliwa na hali hii. "Tunajua kutoka kwa utafiti wa HIT kwamba hatuwezi kutabiri ni nani atakayekuza shida hii," anasema Warkentin.
Kinachojulikana ni kwamba huwa inawagonga wanawake wadogo. Wagonjwa wote sita hukomarekani walikuwa wanawake kati ya umri wa miaka 18 na 48, na idadi kubwa ya wagonjwa huko Ulaya walikuwa chini ya miaka 60. Wataalam hawawezi kusema kwa hakika, lakini wana dalili za kwanini damu huganda.
Hizi dawa za chanjo naona kama zinafanyiwa majaribio direct kwa binadamu na sasa majawabu yanaanza kujitokeza. Kama haitoshi chanjo hizo aina mbili zimestishwa mpaka litakapotolewa tangazo jingine.
Hakuna shida mtawahi kwa mara nyingine tenaSasa itakuaje Mkuu,mbona unatutisha sisi tulijiona tumewahi.