Mwanzo na nani? Mie msimamo wangu siku zote ni kwamba dawa zote duniani zina side effects ila cha msingi ni kwamba maadam 99.9% wanaipata successfully then hyo 0.001% ikipata madhara sio issue kubwa.
Sasa watu zaidi ya 17 M wamedungwa Astra Zeneca alafu waliopata blood clots ni watu 18 cjui.... Hvi kweli ni percentage ya kudoubt dawa?
Chanjo na tiba naziongelea sababu zote zina side effects as long as zinaingia kwenye mzunguko wa damu. Na kama hufahamu katika kila watu laki 2 mmoja anakufa kwa chanjo ya YF Vax uya homa ya manjano ambayo kila mbongo mwenye passport amedungwa ukiwemo wewe.
Una maoni gani? Ipigwe marufuku pia
View attachment 1752813