TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Mwambieni Mbowe arudishe pesa za udalali wa chanjo ss😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeweka na uthibitisho wa vifo vinavyotokana na chanjo, pia na chanzo cha habari ili wengine tuweze kusoma zaid juu ya hilo. Source inayoonyesha jaribio la kwanza likifanyika kwa mwanadam. Then hata majirani zetu wameona bora wafe tuu kwa kupigwa chanjo sio? Au nao hawana akili mkuuKile tunachofahamu juu ya vidonge vya damu visivyo vya kawaida vilivyounganishwa na chanjo ya J & J .
Wataalam wanafikiria jinsi ya kugundua haraka na kutibu mgando usio wa kawaida unaosababishwa na dozi za Johnson & Johnson na AstraZeneca.
Wakati mamilioni ya watu wanapata chanjo, waganga wanatarajia maeelfu kadhaa watakua na damu yenye vinasaba au visababishi vya kugandisha damu.
"Chanjo imeunganishwa wazi na shida hii adimu," anasema Warkentin, ambaye ni mwandishi mwenza kwenye moja ya majarida ya NEJM. "Tuna bunduki inayofuka moshi ."
Hatujui bado ikiwa kuna viambatisho vya maumbile au utabiri mwingine dhahiri ambao unaweza kuwafanya watu waweze kukabiliwa na hali hii. "Tunajua kutoka kwa utafiti wa HIT kwamba hatuwezi kutabiri ni nani atakayekuza shida hii," anasema Warkentin.
Kinachojulikana ni kwamba huwa inawagonga wanawake wadogo. Wagonjwa wote sita hukomarekani walikuwa wanawake kati ya umri wa miaka 18 na 48, na idadi kubwa ya wagonjwa huko Ulaya walikuwa chini ya miaka 60. Wataalam hawawezi kusema kwa hakika, lakini wana dalili za kwanini damu huganda.
Hizi dawa za chanjo naona kama zinafanyiwa majaribio direct kwa binadamu na sasa majawabu yanaanza kujitokeza. Kama haitoshi chanjo hizo aina mbili zimestishwa mpaka litakapotolewa tangazo jingine.
WaTanzania exposure ni shida sana hvi tatizo ni chanjo au ni kampuni moja tu? Kwani mmekatazwa kutumia pfizer au Moderna?
Kwanini mnapenda ku generalise chanjo zote ni mbaya? Btw hyo Astra Zeneca imeathiri watu chini ya 100 huku watu zaidi ya million 20 wamedungwa na wapo salama.
Hvi hata ukienda pale ocean road kwa kila wagonjwa 100 wanaopigwa radiotherapy ama chemotherapy trust me watu 10 kati yao huwa wanapata side effects kibao na wengine kufariki mapema ila sijawahi sikia hapa kelele kuwa treatment za cancer zipigwe marufuku.
WaTanzania tunapenda umbea kuliko facts
Mwanzo wakati zinajadiliwa Astrazeneca mkawa mnasema mbona chanjo zengine zipo moja wapo ilikuwepo hiyo J & J ila sasa hivi tena imebaki Pfizer na moderna.WaTanzania exposure ni shida sana hvi tatizo ni chanjo au ni kampuni moja tu? Kwani mmekatazwa kutumia pfizer au Moderna?
Kwanini mnapenda ku generalise chanjo zote ni mbaya? Btw hyo Astra Zeneca imeathiri watu chini ya 100 huku watu zaidi ya million 20 wamedungwa na wapo salama.
Hvi hata ukienda pale ocean road kwa kila wagonjwa 100 wanaopigwa radiotherapy ama chemotherapy trust me watu 10 kati yao huwa wanapata side effects kibao na wengine kufariki mapema ila sijawahi sikia hapa kelele kuwa treatment za cancer zipigwe marufuku.
WaTanzania tunapenda umbea kuliko facts
Binafsi hizo ARV zinikalie mbali kabisa.Hvi watu million 10 wanywe ARV alafu 2 wafariki utaacha kutumia ARV? let's be serious.
Hizo ARV zinatengenezwa na mbongo? Insuline inatengenezwa na nani?We unafikir hizo effects zinaonekana siku moja? Hiyo ni long term effects , sasa wazungu wakupe tiba wewe nguruwe pori una faida gan kwao? Yan wamalize energy yao et waku save wewe mbwa uliyepo kwenye nchi ambayo haijulikan dunian mxieew mmekazaniq upumbavu tu mbwa hiz
Anhaaaa sasa unaonaje tuandae petition tuzuie ARVs ili sasa wagonjwa wetu wa VVU wamtegemee tu Mungu na kula malimao?Binafsi hizo ARV zinikalie mbali kabisa.
Unaonekana ni Wakala wa Biligate Tanzania Liz oneTanzania wameputukutika baada ya kutumia chanjo ipi?
Hayati JPM mlikuwa mnamsingizia kucha kuchwa eti wananchi wanakufa kwa corona, zile kelele zimeishia wapi au watanzania tumetumia chanjo?
Hilo haliepukiki maana anataka kurudisha mahusiano mazuri na wazungu kwa hivyo huwezi kuelewana na hao wazungu bila hicho chanjo.Nawaza sana juu ya tume ya rais isije pendekeza tuchanjwe ilihali Mungu katuepusha sana na janga hili.
Tungefika tu huko kupitia Magufuli sema ndio hivyo kaondoka mapema, japo hilo la ARV wazungu wenyewe huwa wakali sana.Nashauri pia tuache kutumia ARV na neti za mabeberu ili tumtegemee Mungu atuponye VVU na Malaria. Au unaonaje mkuu?
Mwanzo na nani? Mie msimamo wangu siku zote ni kwamba dawa zote duniani zina side effects ila cha msingi ni kwamba maadam 99.9% wanaipata successfully then hyo 0.001% ikipata madhara sio issue kubwa.Mwanzo wakati zinajadiliwa Astrazeneca mkawa mnasema mbona chanjo zengine zipo moja wapo ilikuwepo hiyo J & J ila sasa hivi tena imebaki Pfizer na moderna.
Lakini pia mkuu hili suala tunachokiongea sisi huku hutokana na kinachoendelea huko kwa wenzetu kama tunavyoona wamesitisha chanjo fulani au wameacha kutumia kwa makundi fulani ya watu, hayo yote wasingeyafanya kama kusingekuwa na shida yeyote kama ambavyo wewe unaeleza ila tatizo sisi tukijadili hili suala unaona ni kwa sababu tu tunapinga chanjo.
Hizo tiba zengine unazopenda kuzitaja tunajua kuwa zina madhara lakini nakushangaa unalinganisha vp tiba na chanjo?
unamaanisha majengo yanailemea dunia kwa uzito au sijaelewa vizuri mkuu [emoji848]Wanasayansi walikiuka utaratibu wa majaribio ya Chanjo.
Sjawahi kuona ugunduzi wa tiba unaanza majaribio moja Kwa moja Kwa binadamu, ndio mara ya Kwanza.
Wanajua wanachoitafutia hii dunia yenye uwingi wa watu na majengo mengi yanayotaka kuielemea dunia.
Dawa ni kwa ajiri ya wagonjwa ila hapa tunazungumzia chanjo sio dawa, kama kuganda damu ni moja ya side effects za hizo chanjo basi wangetuambia kabisa ili tujue.Hakuna dawa inayomkubali kila mtu duniani... kinachoangaliwa ni katika watu wanatumia ni asilimia ngapi inawaathiri vibaya. Kama faida ni kubwa kuliko hasara, twende kazi.
JPM alidungwa Yellow fever vaccine ya mabeberu.... Alinunua bombardier za mabeberu.... Alinunua MRI scan from mabeberu.... Aliongeza bajeti ya dawa ambapo zote zinatoka kwa mabeberu.... Aliagiza ARVs za mabeberu!!Hilo haliepukiki maana anataka kurudisha mahusiano mazuri na wazungu kwa hivyo huwezi kuelewana na hao wazungu bila hicho chanjo.
Hizo ARV zinatengenezwa na mbongo? Insuline inatengenezwa na nani?
Ni vizuri ubaki majukwaa ya MMU kule hizi mada ziko above your IQ to say the least.
Kwahiyo hizi chanjo cha corona zipo kwenye majaribio?Ukiweka pembeni sayansi
Sayansi ni 'open ended discipline'. Nadharia moja huendelea kufanyiwa kazi mpaka hapo nadharia nzuri zaidi itakapopatikana. Na ndiyo maana mwanzoni watu waliamini 'dunia ni mviringo' mpaka hapo nadharia ya kusema dunia siyo mviringo, bali ina umbo la yai (oval) ilipopatikana na ndiyo inayofanyiwa kazi. Akija mwanasayansi mwingine akisema dunia ni 'pembe tatu' na hoja zake zikakosa upinzani (zikapita bila kupingwa), then tutaanza kufanyia kazi nadharia hiyo. Vivyo hivyo, katika nyanja mbalimbali. Hivyo, kwa sasa wanasayansi bado wanatafiti juu ya chanjo ambazo zimeshapatikana kuona kama ni effective na faida zinazidi hasara au hasara zinazidi faida. Hadi sasa ukilinganisha watu ambao wameshafariki kutokana na kutumia chanjo na wale ambao bado wanaishi kutokana na kutumia chanjo, bado inaonekana faida ni nyingi kuliko hasara. Kwenye majaribio ya sayansi, matokeo chanya au hasi ya jaribio ni kitu cha kawaida sana. Ndiyo maana majaribio lazima yarudiwe rudiwe ili kujiridhisha na usahihi wa matokeo yake. Kuna jambo lingine ambalo lipo katika wasomi mbalimbali - mitazamo tofauti kuhusu jambo fulani na ujengaji wa hoja tofauti. Hili nalo lina umuhimu wake. In conclusion, niseme hadi sasa wanasayansi wamefanya kazi kubwa kudhibiti maambukizi ya Covid-19. Ukiangalia takwimu za nchi ambazo zinashirikiana kupambana na Covid-19 (ukiondoa zile ambazo zina dash-dash) watu 241, 257,65 9 (99.6%) duniani wako katika mild condition (wenye maambukizi yasiyowadhuru), watu 106,591 (0.4%) wako katika hali ya hatari, watu 111, 647, 084 (97%) wamepona na watu 2,986,118 (3%) wamefariki. Kwa takwimu hizi, we on track kutokana na juhudi ambazo zimechukuliwa worldwide. Source: Worldmoter report (last updated: April 15, 2021, 06:28 GMT).
Effects zina vary kutokana na mwili wa host.... Mfano mimi binafsi nikiogea tu sabuni za antibiotic nawashwa na mapele yanajaa lakini wengine wakiogea ndio inawasaidia ngozi.Dawa ni kwa ajiri ya wagonjwa ila hapa tunazungumzia chanjo sio dawa, kama kuganda damu ni moja ya side effects za hizo chanjo basi wangetuambia kabisa ili tujue.
Hivi ichi kiswahili umeGoogle au?..naona kizungumkuti tuuKile tunachofahamu juu ya vidonge vya damu visivyo vya kawaida vilivyounganishwa na chanjo ya J & J .
Wataalam wanafikiria jinsi ya kugundua haraka na kutibu mgando usio wa kawaida unaosababishwa na dozi za Johnson & Johnson na AstraZeneca.
Wakati mamilioni ya watu wanapata chanjo, waganga wanatarajia maeelfu kadhaa watakua na damu yenye vinasaba au visababishi vya kugandisha damu.
"Chanjo imeunganishwa wazi na shida hii adimu," anasema Warkentin, ambaye ni mwandishi mwenza kwenye moja ya majarida ya NEJM. "Tuna bunduki inayofuka moshi ."
Hatujui bado ikiwa kuna viambatisho vya maumbile au utabiri mwingine dhahiri ambao unaweza kuwafanya watu waweze kukabiliwa na hali hii. "Tunajua kutoka kwa utafiti wa HIT kwamba hatuwezi kutabiri ni nani atakayekuza shida hii," anasema Warkentin.
Kinachojulikana ni kwamba huwa inawagonga wanawake wadogo. Wagonjwa wote sita hukomarekani walikuwa wanawake kati ya umri wa miaka 18 na 48, na idadi kubwa ya wagonjwa huko Ulaya walikuwa chini ya miaka 60. Wataalam hawawezi kusema kwa hakika, lakini wana dalili za kwanini damu huganda.
Hizi dawa za chanjo naona kama zinafanyiwa majaribio direct kwa binadamu na sasa majawabu yanaanza kujitokeza. Kama haitoshi chanjo hizo aina mbili zimestishwa mpaka litakapotolewa tangazo jingine.
Hivi mkuu hujui kama kuna dawa za miti shamba ambazo zimefanyiwa uchunguzi wa kisayansi na kuonekana zinatibu magonjwa? Tatizo sio mitishamba(maana hata hizo dawa za kizungu hutumika hiyo mitishamba) bali ni uchunguzi wa kisayansi, sasa wewe unataka kutuambia kila dawa lazima itoke maabara kwa maana lazima iwe na mikemikali ndio uone dawa bora.Endeleeni na propaganda na kujipa moyo. Ni kweli hadi sasa j & j na astrazeneca zimegundulika kuwa na tatizo la blood-clot, kiufupi ni idadi ndogo ya watu wanaoathirika na tatizo hilo. Nadhani pia litafanyiwa kazi.
Sioni kama changamoto hii ndogo ndio sababu ya kukimbilia kufusha na miti shamba. Hii ina sehemu yake, lakini katu siamini kama bila ya sayansi tutavuka kwenye covid-19. Mungu yupo, lakini tusipange lazima dawa itoke kwenye miti shamba.
Ikiwa Malaraia na magonjwa mengine yote tunatumia dawa za sayansi, basi na hili pia lazima sayansi itumike. Untengenezaji na testing ya hizi vacine za covid ulikuwa mfupi kwa pressure ya watu kutaka tatizo liondoke. Ndio chanzo kikuu cha issue ndogo ndogo kama hizo za blood-cloting hazikuonekana wakati wa testing.
Wewe baki MMU tu huku unajidhalilisha..... Badala umuelekeze mtu aende research gate au google scholar eti GOOGLE!! Utadhani google ina scholarly papers ama empirical studies pekee!!Again hizo ARV hujui implications zake Ndio maana unaropoka hovyo , kwa kukusaidia tu ingia google usome negative effects za ARVs , hizo shule zenu mmesoma hawawez kuwafumbua akili mbwa nyie , shule yenyew toka primary had form 4( kama umefika) ni free education , mnadhan mtafundishwa nini ???.
Unajua nini mbwa wewe? Nimekuzid pesa, Elimu na kila kitu , chokoraa wewe sifai hata kuongea na wewe