Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Less taxing in which ways? Physically? Mentally?
But that’s your preference and I’m fine with it.

Okay. Fine. That’s your personal preference. But death is relevant. Even the constitution recognizes that.
Magufuli’s heart condition never prevented him from carrying out his responsibilities, though.

What is work as president? How was Magufuli limited to work as president?

International travel is part of the president’s job description? Per what?

Nope. Not at all . Your opinions are very misguided on this.

A selfish man wouldn’t want to serve others. A selfish man would be all about himself.

Magufuli served his country selflessly. An argument can be made that he even gave his life serving his country and his people.

He is, flaws and all, a true son of the soil.

Anyone who is willing to put his life on the line while serving his country should be revered. And that is not selfishness. Far far from it.

Dying is a natural thing. We’ve had a Vice President who died in office. Now we’ve had a president. I suspect this won’t be the last time a president or Vice President dies while still in office.

Death happens. The constitution recognizes that. It provides for a way forward for what to do should it happen.

He is dead. The country is still here. Intact.

It’s life. It goes on. And so on we go.
If Magufuli couldn't travel abroad because of his heart condition and not due to the orchestrated charade about cost cutting, then he shortchanged this country greatly in a very selfish way.
 
If Magufuli couldn't travel abroad because of his heart condition and not due to the orchestrated charade about cost cutting, then he shortchanged this country greatly in a very selfish way.
We don’t know that for sure. It’s just speculation for now.
 
We don’t know that for sure. It’s just speculation for now.
There is nothing sure in this world, even that statement. So, that whole business is division by zero right there.

We can examine facts and draw logical conclusions though.

You even expressed some kind of regret on judging him unfairly without linking this fact properly.

You can't eat your cake and still have it.
 
Nadhani wewe si mwana sayansi...kama ni kweli alikuwa na pacemaker, kupiga nyungu kama nilivyoshuhudia Watanzania wakifanya, ni hatari sana kwa mtu mwenye tatizo la moyo na aliyewekewa pacemaker kifuani. Labda hii ndiyo sababu kubwa iliyofanya akae karibu na feni muda mwingi...to cool down!

If you have a heart problem, extreme heat may place an extra burden on your heart and circulation, so it’s particularly important to stay cool and look after yourself. Hot, humid weather can be especially hard for people with heart failure, or those on the verge of it. Always remember...cool is cool!
Mwanasayansi siyo lazima awa anajua human anatomy na physiology.
 
Wanasemaje?
Wanasema alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu sana, na alikuwa akikaguliwa mara kwa mara gapo JKI ambapo pia alikuwa ameshauriwa kuwa anachukua na mapumziko marefu. Ndiyo maana ya kuwa na trip nyingi za Chato, na hata wakati wa kampeini alikuwa akirudi Chato mara kwa mara sana.

Safari hii alishauriwa apumzike lakini wao wanadhani hakuwa anapumzika kama anavyoshauriwa, na inaonekana pia kuwa alikuwa na msongo mkubwa sana wa mawazo ambayo ni recipe for disaster kwa mtu mwenye matatizo aliyokuwa nayo.

Kwa hiyo kuna wanayojua thabiti na pia kuna speculations kuhusu jinsi alivyokuwa akiendesha maisha yake anapokuwa hayuko hospitali.
 
Wanaomshambulia Magufuli wote wanasukumwa na chuki binafsi hayo mengine ni blah bkah tu.
Hayo matatizo ya moyo amekaa nayo tangu akiwa anasoma Master degree miaka takribani thelathini. Na katika miaka hiyo 30 ameifanyia makubwa sana nchi hii: yeye ndiye baba wa miundombinu tangu akiwa waziri na hadi alipokuwa Rais. Pili alikomesha ufisadi uliokuwa umetalaki serikalini .
Hivi uliona wapi mtu anaacha kazi ili asubiri kifo? Mbona wale wanaomkosoa wao hawakai wakasubiri vifo vyao na wanaendelea na kazi zao? Kifo ni siri ya Mwenyezi Mungu kila mmoja kitamfika kwa namna yake lakini hatutakiwi tukae tu kusubiri kifo.
Kimsingi watanzania tumegawanyika makundi mawili tu bila kujali vyama vyetu: wanaotaka kuiba na wanaopinga wizi. Wale wanaopinga wizi wanamunga mkono Magufuli wamo ndani ya CCM na pia nje ya CCM; na wale wanaounga mkono wizi/ufisadi wanampinga JPM na wamo ndani ya CCM na pia vyama vya upinzani.

Watu kama kina Maria wakati wa JK alikuwa anapata sana kazi ya kuwa moderator katika mikutano ya taasisi za serikali na kulipwa pesa lukuki, lakini wakati wa Magufuli alipoteza hizo kazi ndio sababu mojawapo ya kumchukia JPM.

Watu walivyo wajinga eti wanahoji kwa nini aligombea urais! Hivi mtu akiwa anaumwa ndio akae asifanye shughuli? Wao hawaumwi?

Rais Buhari wa Nigeria alilazwa nje ya nchi muda mrefu sana lakini baadae alirejea na bado aligombea urais kwa mara ya pili na hadi sasa yupo. Marais kufia madarakani hutokea na hakuna anayeweza kujua kama yupi atamaliza kipindi chake na yupi hatamaliza. Rais wa Malawi alikufa akiwa madarakani, Rais Mwanawasa wa Zambia naye alifia madarakani; pia huko miaka ya 1979 Rais Neto wa Angola alikufa akiwa anatibiwa huko Urusi. Katiba kwa kulitambua hilo ndio maana imeweka utaratibu mzuri pindi likitokea. Sio marais tu hata wabunge/madiwani pia wanakufa mara tu baada ya kuchaguliwa au wakati wa kampeni. Kifo hakina uhusiano na shughuli anazozifanya mtu.

Kazi alizozifanya JPM zimeacha alama ya kudumu katika nchi hii na zitaendelea kuchangia sana kuchochea ukuaji wa uchumi kwa miaka mingi ijayo.

Tunamwomba Mwenyezi Mungu ampokee mbinguni, akishafika mbinguni atakuwa mwombezi wa nchi yetu.
Amen.
 
Wanasema alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu sana, na alikuwa akikaguliwa mara kwa mara gapo JKI ambapo pia alikuwa ameshauriwa kuwa anachukua na mapumziko marefu. Ndiyo maana ya kuwa na trip nyingi za Chato, na hata wakati wa kampeini alikuwa akirudi Chato mara kwa mara sana.

Safari hii alishauriwa apumzike lakini wao wanadhani hakuwa anapumzika kama anavyoshauriwa, na inaonekana pia kuwa alikuwa na msongo mkubwa sana wa mawazo ambayo ni recipe for disaster kwa mtu mwenye matatizo aliyokuwa nayo.

Kwa hiyo kuna wanayojua thabiti na pia kuna speculations kuhusu jinsi alivyokuwa akiendesha maisha yake anapokuwa hayuko hospitali.
Duh asante mkuu [emoji120]
 
Changamoto kubwa ya mgonjwa wa Moyo Ni kukosa usingizi.

Huwa ninapata pressure kwa kukosa kulala wiki kadhaa mfululizo. Ndio maana huwa naachaga kuzinywa kwa kuwa najuwa chanzo Cha pressure zinazonikumba...


Sasa hivi nikiwa safarini nikichoka kuendesha na usiku ikichanganya nalalanjiani. Safari nitamaliza kesho.
 
Keshamaliza zamu yake, bado yako na yangu, tengeneza maisha yako kabla hujatembelewa na umauti, haitasaidia kumsema vibaya zamu zetu ziko palepale iwe Kwa magonjwa ama ajali ama vyovyote vile

Mwacheni apumzike Jembe

Aliingia kwenye kinyang'anyilo cha Uraisi Kwa miujiza, kafanya kazi zake nyingi na kubwa Kwa miujiza na ametutoka Kwa miujiza kwani hakuna aliyefahamu kuwa ataondoka
The best post ever!
 
Halafu wewe vipi !? Unasema kwamba yeye mwenyewe alisema ndio alisema lakini alikuwa anapanda hizo ndege na kwenda huko abroad wakati gani na mwaka gani ... Je kama alifanya hizo trip miaka 15 ilyopitqa kabla hajawa raisi ... Pia yaweza kuwa alikuwa anakwenda halafu baadae akapatwa na hitilafu ndio madaktari wake wakaja kumshauri kuwa asiwe anapanda ndege na kusafiri umbali wa muda mrefu
Kuna thread zimo humu soma zote unganisha dots ndipo uje tujenge hoja
 
Kila alipotokea hadharani alikua na feni nyuma yake. Hakua anasimama muda mrefu. Na inawezekana miguu yake ilikua inavimba kila mara ndiyo maana alikua na muda mwingi wa kufanyia kazi Chato akiwa amepumzika.

Lakini alikuwa mpiga push-ups huyu akimbeza mamvi. Alikuwa akinyakua nyakua majukwaani pia.

Kuna vitu bado haviko sawa.
 
Tuko pamoja.

Mikusanyiko isiyokuwa ya lazima siyo dili hasa kwetu wengine ambao afya ni full migogoro.
Kwanza yuko above 60 yrs old, wazee wako hatari I kupata maambukizi haraka
 
tatizo ni wale waliokua wanamruhusu kuzurula bila kuchukua tahadhari ya covid19 huku wakijua jembe ni mgonjwa na ana afya ya mgogoro.
 
..Katika suala zima la Uraisi wa Magufuli nadhani VYOMBO VYA HABARI vya Tanzania havikufanya kazi yake inavyotakiwa.

..Moja ni hilo la kushindwa kudadisi kuhusu afya yake na kujua kwamba alikuwa mgonjwa kwa muda mrefu sana.

..Kwamba tangu miaka ya 1990 aligundulika kuwa na matatizo ya moyo na akatibiwa nchini Uingereza kwa msaada wa waliokuwa wakimsomesha.

..Pia hapa nyumbani kuna matukio kadhaa ambayo yangefuatiliwa waandishi wangegundua kwamba afya ya Magufuli ilikuwa ktk hatihati.

..Kwa mfano, hakuna aliyeuliza kwanini Magufuli alikuwa akikatiza kampeni zake za Uraisi mara kwa mara na kwenda kupumzika.

..Magufuli pia aliwahi kwenda Chato na kukaa huko muda mrefu bila kuwa na maelezo ya kutosha kwanini akae kijijini muda mrefu.

..Kwenye msiba wa Mkapa, Magufuli alichelewa mno kufika ktk shughuli za mazishi na kwenda kinyume kabisa na ratiba ya siku hiyo.

..Kuna mtambo mkubwa wa hewa ulikuwa ukiweka karibu na Magufuli ktk majukwaa kila mahali alipofanya mikutano. Wadadisi wangeuliza kwanini Magufuli alihitaji mtambo huo kila alipokwenda.

..Wakati mwingine kulikuwa na HELIKOPTA inayomfuata Magufuli ktk msafara wake. Wapo wanaodhani ni kwa ajili ya usalama, lakini inawezekana ni kwa ajili ya kumsafirisha haraka ikiwa angepata tatizo la kiafya.

..Mwisho, ktk msafara waka kuna gari ambayo inasemekana ni gari ya wagonjwa. Sasa kama angekuwa ni mzima asingekuwa akiambatana na gari ya wagonjwa kila anapokuwa ktk ziara.

..Naamini kuna watu ambao msiba huu haukuwashtukiza kwasababu walijua kuhusu afya ya Magufuli. Hapa nawazungumzia wale waliotabiri kifo chake baada ya Magufuli kutoonekana kwa siku chache.
 
Back
Top Bottom