OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Punguani wa design hii ni wa kupuuzwa. Chanjo ni hiari full stop.Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Acha wafe...hii nchi ina wajinga wengi sana, wakipungua ni faidaMagufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo....
Lengo la chanjo ni nini?Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo...
Sasa mbona bado nchi zingine zina chanjo bado zmefunga mikapa. Mbona bado zinavaa barakoa.Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Hata huko zinapotoka Kuna mamilion ya watu wamezigomea chanjo. Nick minaj ni mmoja wa star mkubwa kuzigomea chanjoAlikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?
vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?
Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
Ambae amechanja hatakufa?Acha wafe...hii nchi ina wajinga wengi sana, wakipungua ni faida
Kama taifa tulikwama sana kuwa na kiongozi wa aina yake.Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Jiwe hukumu yake itakuwa ni ya kwanza kwa watenda maovu mbele ya MunguSasa mbona bado nchi zingine zina chanjo bado zmefunga mikapa. Mbona bado zinavaa barakoa.
Covid ingepita na wewe ingependeza sanaChanjo hazifai. Ni masumu mabaya yasiyojulikana yametoka wapi na kwa malengo gani.
Kama una hamu na chanjo fika kituo kilicho karibu waambie wakupatie furushi zima ulinywe.
Dwanzi bwabwa mchanganyiko! Soma tena uelewe mada kabla hujajichua! [emoji240][emoji240]Punguani wa design hii ni wa kupuuzwa. Chanjo ni hiari full stop.
Chanjo ni sumu na wananchi wamezigomea.Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?
vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?
Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
Magufuli alikuwa against chanjo kuwa zimeletwa kuua watu, na hakusema chanjo za Covid pekee, alilnga chanjo zoteHata huko zinapotoka Kuna mamilion ya watu wamezigomea chanjo. Nick minaj ni mmoja wa star mkubwa kuzigomea chanjo
Hao nao walimsikiliza Magufuli?
Hahaha.... propaganda za vitisho vya kifo hazina nafasi kwa sasa.Acha wafe...hii nchi ina wajinga wengi sana, wakipungua ni faida
Chanjo zitaendele kutolewa hospitali na kugharamikiwa na serikali, na wananchi wanachanja, hutaki kaandamane au hama nchiChanjo ni sumu na wananchi wamezigomea.
Cha msingi kama una hamu na chanjo nenda waambie wakupatie furushi zima ulinywe wewe na wanao.
Lakini wananchi wameyagomea hayo machanjo na wana afya tele.
Acha kuwalazimisha watu hayo mauchafu ya chanjo.Magufuli alikuwa against chanjo kuwa zimeletwa kuua watu, na hakusema chanjo za Covid pekee, alilnga chanjo zote
Mimi hiyo ya Covid pia sijachanja, sipo katika kundi la wenye risk
Ila chanjo naamini inazuia magonjwa
Ohh maskini....Chanjo zitaendele kutolewa hospitali na kugharamikiwa na serikali, na wananchi wanachanja, hutaki kaandamane au hama nchi
Kuna wengine humu nmegundua mnaakili za kuazima.Jiwe hukumu yake itakuwa ni ya kwanza kwa watenda maovu mbele ya Mungu